Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+

      Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!

      Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+

  • 1 Samweli 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+

  • Zaburi 71:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakisema: “Mungu mwenyewe amemwacha.+

      Mfuatilieni na kumkamata, kwa maana hakuna mkombozi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki