Kutoka 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+ 1 Samweli 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+ Zaburi 71:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakisema: “Mungu mwenyewe amemwacha.+Mfuatilieni na kumkamata, kwa maana hakuna mkombozi.”+
9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+
14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+