1 Samweli 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na Sauli akaogopa zaidi tena kwa sababu ya Daudi, Sauli akawa adui ya Daudi sikuzote.+ 1 Samweli 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+ Zaburi 112:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+ Methali 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tamaa ya waadilifu hakika ni njema;+ tumaini la waovu ni ghadhabu.+
33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+
10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+