Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na Sauli akaogopa zaidi tena kwa sababu ya Daudi, Sauli akawa adui ya Daudi sikuzote.+

  • 1 Samweli 20:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+

  • Zaburi 112:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+

      ש [Shin]

      Atasaga meno yake na kuyeyuka.+

      ת [Taw]

      Tamaa ya waovu itaangamia.+

  • Methali 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Tamaa ya waadilifu hakika ni njema;+ tumaini la waovu ni ghadhabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki