Zaburi 54:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kuna wageni ambao wameinuka dhidi yangu,Na waonevu wanaoitafuta nafsi yangu.+Hawajamweka Mungu mbele yao.+ Sela. Zaburi 70:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wale wanaoitafuta nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaofurahia msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+ Methali 29:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ni wengi wanaoutafuta uso wa mtawala,+ lakini hukumu ya mtu hutoka kwa Yehova.+
3 Kwa maana kuna wageni ambao wameinuka dhidi yangu,Na waonevu wanaoitafuta nafsi yangu.+Hawajamweka Mungu mbele yao.+ Sela.
2 Wale wanaoitafuta nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaofurahia msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+