Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 6:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Naye akasema: “Yehova asipokuokoa wewe, mimi nitakuokoa kutoka chanzo gani?+ ni kutoka uwanja wa kupuria au ni kutoka divai au shinikizo la mafuta?”

  • Nehemia 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ah, tafadhali, Yehova, tega sikio lako kwa sala ya mtumishi wako na kwa sala+ ya watumishi wako wanaofurahia kuliogopa jina lako;+ na, tafadhali, mpe mafanikio mtumishi wako leo+ na kumfanya ahurumiwe mbele ya mtu huyu.”+

      Basi mimi nilikuwa mnyweshaji+ wa mfalme.

  • Zaburi 62:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+

      Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki