Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Timotheo 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Timotheo 4:1

Marejeo

  • +Yoh 5:22; Mdo 17:31; 2Ko 5:10
  • +Yoh 5:28; Mdo 10:42
  • +1Ti 6:15; 1Pe 5:4
  • +Ufu 11:15; 12:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    1/2010, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 1/10 10-11

2 Timotheo 4:2

Marejeo

  • +Mt 28:20; Lu 9:2; Mdo 20:20
  • +Mdo 9:31; 28:31
  • +Mdo 8:4
  • +1Ti 5:20; Tit 1:9, 13; 2:15
  • +2Ti 2:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 165

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2012, kur. 15-16

    1/15/2008, kur. 8-9

    1/1/2003, kur. 29-30

    3/15/1999, uku. 10

    9/15/1989, kur. 11-12

    12/1/1986, uku. 12

    Shule ya Huduma, kur. 266-267

    Huduma ya Ufalme,

    2/2000, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/15 15-16; w08 1/15 8-9; w03 1/1 29-30; be 266-267; cl 165; km 2/00 1; w99 3/15 10

2 Timotheo 4:3

Marejeo

  • +1Ti 1:3, 10; 4:1
  • +Mdo 17:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2012, kur. 15-16

    7/1/2005, kur. 5-6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/15 16; w05 7/1 5-6

2 Timotheo 4:4

Marejeo

  • +Tit 1:14; 2Pe 1:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2011, uku. 17

    9/15/2002, kur. 17-19

    4/1/1994, kur. 29-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/15 17; w02 9/15 17-19

2 Timotheo 4:5

Marejeo

  • +1Th 5:6
  • +2Ti 1:8; 2:3
  • +Ro 10:15
  • +Ro 15:19; Kol 1:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2019, kur. 2-7

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2009, kur. 16-17

    3/15/2004, kur. 10, 15

    12/1/1995, uku. 8

    9/15/1989, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 16-17; w04 3/15 10, 15

2 Timotheo 4:6

Marejeo

  • +Kut 29:40
  • +Flp 1:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1987, uku. 22

2 Timotheo 4:7

Marejeo

  • +1Ko 9:26; 1Ti 6:12
  • +Flp 3:14
  • +Lu 11:28; Yoh 17:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Upeo wa Ufunuo, kur. 276-277

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1999, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 276-277; w99 10/1 17

2 Timotheo 4:8

Marejeo

  • +1Ko 9:25; Yak 1:12
  • +Yoh 5:22
  • +Ufu 2:10
  • +1Pe 5:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Upeo wa Ufunuo, kur. 276-277

    “Kila Andiko,” uku. 239

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 276-277

2 Timotheo 4:9

Marejeo

  • +2Ti 1:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 15

    5/15/2004, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 20

2 Timotheo 4:10

Marejeo

  • +Kol 4:14; Flm 24
  • +Ro 12:2
  • +Gal 1:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2018, kur. 10-11

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2015, uku. 16

    11/15/1998, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    bt 12; w98 11/15 31

2 Timotheo 4:11

Marejeo

  • +Flm 11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 118

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    3/15/2010, kur. 8-9

    11/15/2007, uku. 18

    “Kila Andiko,” kur. 187-188

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 3/15 8-9; bt 118; w07 11/15 18

2 Timotheo 4:12

Marejeo

  • +Efe 6:21; Kol 4:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1998, uku. 8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 7/15 8

2 Timotheo 4:13

Marejeo

  • +Mdo 16:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2011, kur. 18-19

    9/15/2008, uku. 31

    5/15/2008, uku. 22

    4/1/1998, uku. 11

    8/15/1988, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/15 18-19; w08 5/15 22; w08 9/15 31; w98 4/1 11

2 Timotheo 4:14

Marejeo

  • +1Ti 1:20
  • +Zb 28:4; 62:12; Met 24:12

2 Timotheo 4:16

Marejeo

  • +2Ti 1:15
  • +Ro 4:8; 1Ko 13:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2015, kur. 24-25

2 Timotheo 4:17

Marejeo

  • +Mdo 23:11; 27:23
  • +Flp 4:13
  • +Mdo 9:15
  • +Zb 22:21; 1Pe 5:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2015, kur. 24-26, 28

2 Timotheo 4:18

Marejeo

  • +2Pe 2:9
  • +Da 2:44; Ufu 20:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2015, uku. 25

2 Timotheo 4:19

Marejeo

  • +Ro 16:3
  • +2Ti 1:16

2 Timotheo 4:20

Marejeo

  • +Mdo 19:22
  • +1Ko 1:2
  • +Mdo 21:29
  • +Mdo 20:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, uku. 25

2 Timotheo 4:22

Marejeo

  • +Gal 6:18; Flm 25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2012, kur. 12-13

    2/1/1994, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 10/15 12

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Tim. 4:1Yoh 5:22; Mdo 17:31; 2Ko 5:10
2 Tim. 4:1Yoh 5:28; Mdo 10:42
2 Tim. 4:11Ti 6:15; 1Pe 5:4
2 Tim. 4:1Ufu 11:15; 12:10
2 Tim. 4:2Mt 28:20; Lu 9:2; Mdo 20:20
2 Tim. 4:2Mdo 9:31; 28:31
2 Tim. 4:2Mdo 8:4
2 Tim. 4:21Ti 5:20; Tit 1:9, 13; 2:15
2 Tim. 4:22Ti 2:25
2 Tim. 4:31Ti 1:3, 10; 4:1
2 Tim. 4:3Mdo 17:21
2 Tim. 4:4Tit 1:14; 2Pe 1:16
2 Tim. 4:51Th 5:6
2 Tim. 4:52Ti 1:8; 2:3
2 Tim. 4:5Ro 10:15
2 Tim. 4:5Ro 15:19; Kol 1:25
2 Tim. 4:6Kut 29:40
2 Tim. 4:6Flp 1:23
2 Tim. 4:71Ko 9:26; 1Ti 6:12
2 Tim. 4:7Flp 3:14
2 Tim. 4:7Lu 11:28; Yoh 17:6
2 Tim. 4:81Ko 9:25; Yak 1:12
2 Tim. 4:8Yoh 5:22
2 Tim. 4:8Ufu 2:10
2 Tim. 4:81Pe 5:4
2 Tim. 4:92Ti 1:4
2 Tim. 4:10Kol 4:14; Flm 24
2 Tim. 4:10Ro 12:2
2 Tim. 4:10Gal 1:2
2 Tim. 4:11Flm 11
2 Tim. 4:12Efe 6:21; Kol 4:7
2 Tim. 4:13Mdo 16:8
2 Tim. 4:141Ti 1:20
2 Tim. 4:14Zb 28:4; 62:12; Met 24:12
2 Tim. 4:162Ti 1:15
2 Tim. 4:16Ro 4:8; 1Ko 13:5
2 Tim. 4:17Mdo 23:11; 27:23
2 Tim. 4:17Flp 4:13
2 Tim. 4:17Mdo 9:15
2 Tim. 4:17Zb 22:21; 1Pe 5:8
2 Tim. 4:182Pe 2:9
2 Tim. 4:18Da 2:44; Ufu 20:4
2 Tim. 4:19Ro 16:3
2 Tim. 4:192Ti 1:16
2 Tim. 4:20Mdo 19:22
2 Tim. 4:201Ko 1:2
2 Tim. 4:20Mdo 21:29
2 Tim. 4:20Mdo 20:15
2 Tim. 4:22Gal 6:18; Flm 25
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Timotheo 4:1-22

2 Timotheo

4 Nakuagiza kwa uzito mbele za Mungu na Kristo Yesu,+ ambaye amekusudiwa kuhukumu+ walio hai na wafu,+ na kwa ufunuo+ wake na ufalme wake, 2 lihubiri neno,+ fanya hivyo kwa bidii katika majira yanayofaa,+ katika majira yenye taabu,+ karipia,+ kemea, himiza, kwa ustahimilivu+ wote na ufundi wa kufundisha. 3 Kwa maana kutakuwa na kipindi cha wakati ambapo hawatalivumilia fundisho lenye afya,+ bali, kwa kupatana na tamaa zao wenyewe, watajikusanyia walimu kwa ajili yao wenyewe ili masikio yao yafurahishwe;+ 4 nao watageuza masikio yao kutoka kwenye kweli, nao watageuzwa kando kufuata hadithi za uwongo.+ 5 Ingawa hivyo, wewe tunza akili zako+ katika mambo yote, vumilia uovu,+ fanya kazi ya mweneza-injili,+ timiza kwa ukamili huduma yako.+

6 Kwa maana mimi tayari ninamiminwa kama toleo la kinywaji,+ na wakati unaofaa wa kufunguliwa+ kwangu umekaribia sana. 7 Nimepigana pigano zuri,+ nimekimbia mwendo mpaka mwisho,+ nimeishika imani.+ 8 Tangu wakati huu na kuendelea nimewekewa akiba ya taji la uadilifu,+ ambalo Bwana, aliye mwamuzi mwadilifu,+ atanipa kuwa thawabu+ katika siku ile,+ lakini si mimi tu, bali pia na wale wote ambao wamependa kufunuliwa kwake.

9 Fanya kabisa yote unayoweza ili uje kwangu upesi.+ 10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo+ wa sasa, naye ameenda Thesalonike; Kresensi ameenda Galatia,+ Tito ameenda Dalmatia. 11 Luka peke yake ndiye yupo pamoja nami. Umchukue Marko na uje pamoja naye, kwa maana yeye ni mwenye faida+ kwangu kwa ajili ya huduma. 12 Lakini nimemtuma Tikiko+ aende Efeso. 13 Utakapokuja, ilete ile kanzu niliyomwachia Karpo kule Troa,+ na vile vitabu vya kukunjwa, hasa vile vya ngozi.

14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+— 15 na wewe pia ujilinde juu yake, kwa maana aliyapinga maneno yetu kwa kadiri kubwa mno.

16 Katika kujitetea kwangu mara ya kwanza hakuna yeyote aliyekuja upande wangu, bali wote waliniacha+—hilo lisihesabiwe kwao+— 17 lakini Bwana alisimama karibu nami+ na kutia nguvu ndani yangu,+ ili kupitia mimi kazi ya kuhubiri itimizwe kwa ukamili na mataifa yote yaisikie;+ nami nilikombolewa kutoka katika kinywa cha simba.+ 18 Bwana atanikomboa kutoka katika kila tendo la uovu+ naye ataniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni.+ Utukufu na uwe kwake milele na milele. Amina.

19 Uwape salamu zangu Priska+ na Akila na nyumba ya Onesiforo.+

20 Erasto+ alibaki Korintho,+ lakini nilimwacha Trofimo+ akiwa mgonjwa kule Mileto.+ 21 Fanya kabisa yote unayoweza ili ufike kabla ya majira ya baridi kali.

Eubulo anakutumia salamu zake, na pia Pudensi na Lino na Klaudia na ndugu wote.

22 Bwana na awe pamoja na roho unayoonyesha.+ Fadhili zake zisizostahiliwa ziwe pamoja nanyi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki