Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wathesalonike 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wathesalonike 2:1

Marejeo

  • +Mt 24:3
  • +Mt 24:31; 1Th 4:17

2 Wathesalonike 2:2

Marejeo

  • +1Yo 4:1
  • +Efe 5:6
  • +2Th 3:17
  • +Isa 13:6; Sef 1:14; 2Pe 3:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1990, uku. 12

    3/15/1986, kur. 10-15, 20

    “Kila Andiko,” uku. 232

2 Wathesalonike 2:3

Marejeo

  • +Mt 13:25; 1Ti 4:1; 2Ti 2:18; 4:3; 2Pe 2:1; 1Yo 2:18
  • +Mt 7:15; 13:41; 24:24; Mdo 20:29; 2Yo 7
  • +Mt 13:30
  • +2Pe 2:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2015, kur. 14-15

    9/15/2008, uku. 30

    9/1/2003, uku. 6

    2/1/1990, kur. 10-15

    1/15/1988, uku. 10

    4/1/1986, kur. 11, 19-21

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2034

2 Wathesalonike 2:4

Marejeo

  • +Lu 11:23
  • +Eze 28:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 0, 311

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1990, kur. 11-12, 13-14

    1/15/1988, uku. 10

2 Wathesalonike 2:5

Marejeo

  • +1Th 3:4

2 Wathesalonike 2:6

Marejeo

  • +1Ko 5:3; 3Yo 10
  • +Mt 18:18
  • +Mt 10:26; Lu 8:17; 1Ko 4:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    7/2019, uku. 4

    Ufahamu, uku. 311

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1990, uku. 12

2 Wathesalonike 2:7

Marejeo

  • +Mdo 20:29; 1Ko 11:19; 1Yo 2:18
  • +2Ti 4:6; 2Pe 1:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    7/2019, uku. 4

    Ufahamu, kur. 128, 972-973

    Ufahamu, kur. 311-312

    Wapiga-Mbiu, uku. 34

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1990, uku. 10

    1/15/1990, kur. 17-19

2 Wathesalonike 2:8

Marejeo

  • +Isa 11:4; Ufu 19:15
  • +1Ti 6:15; 2Ti 4:1, 8
  • +Mal 3:2; Mk 8:38; 2Th 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    7/2019, uku. 4

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    9/15/2010, uku. 28

    9/15/2008, uku. 30

    2/1/1990, kur. 10-14, 15-16, 20-21

    Upeo wa Ufunuo, uku. 282

2 Wathesalonike 2:9

Marejeo

  • +Yoh 8:44; 2Ko 11:3; Efe 2:2
  • +Mt 24:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1990, kur. 10-11

2 Wathesalonike 2:10

Marejeo

  • +Mt 24:11; 2Ko 11:13
  • +Yer 17:13; Ufu 22:15
  • +Mt 24:12; Yud 19
  • +1Ti 2:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1991, uku. 24

    2/1/1990, kur. 10-11

2 Wathesalonike 2:11

Marejeo

  • +Mt 24:5; 1Ti 4:1; 2Ti 4:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi, 4/15/1987, uku. 21

2 Wathesalonike 2:12

Marejeo

  • +Ro 1:25
  • +Met 1:32; Ro 1:18; Yud 4

2 Wathesalonike 2:13

Marejeo

  • +Yoh 6:44; Ro 8:30; Efe 1:4
  • +Yoh 17:17; 1Ko 6:11; 1Th 4:7
  • +1Pe 1:2
  • +Yoh 8:32; Kol 1:5; 1Ti 4:3; 2Yo 2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 30

2 Wathesalonike 2:14

Marejeo

  • +1Th 2:12
  • +1Pe 5:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 30

2 Wathesalonike 2:15

Marejeo

  • +Ro 12:9; 1Ko 15:58; 16:13
  • +1Ko 11:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2013, kur. 8-9

2 Wathesalonike 2:16

Marejeo

  • +1Yo 4:10
  • +1Pe 1:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1995, uku. 19

2 Wathesalonike 2:17

Marejeo

  • +1Th 3:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1995, uku. 19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 The. 2:1Mt 24:3
2 The. 2:1Mt 24:31; 1Th 4:17
2 The. 2:21Yo 4:1
2 The. 2:2Efe 5:6
2 The. 2:22Th 3:17
2 The. 2:2Isa 13:6; Sef 1:14; 2Pe 3:10
2 The. 2:3Mt 13:25; 1Ti 4:1; 2Ti 2:18; 4:3; 2Pe 2:1; 1Yo 2:18
2 The. 2:3Mt 7:15; 13:41; 24:24; Mdo 20:29; 2Yo 7
2 The. 2:3Mt 13:30
2 The. 2:32Pe 2:3
2 The. 2:4Lu 11:23
2 The. 2:4Eze 28:2
2 The. 2:51Th 3:4
2 The. 2:61Ko 5:3; 3Yo 10
2 The. 2:6Mt 18:18
2 The. 2:6Mt 10:26; Lu 8:17; 1Ko 4:5
2 The. 2:7Mdo 20:29; 1Ko 11:19; 1Yo 2:18
2 The. 2:72Ti 4:6; 2Pe 1:14
2 The. 2:8Isa 11:4; Ufu 19:15
2 The. 2:81Ti 6:15; 2Ti 4:1, 8
2 The. 2:8Mal 3:2; Mk 8:38; 2Th 1:7
2 The. 2:9Yoh 8:44; 2Ko 11:3; Efe 2:2
2 The. 2:9Mt 24:24
2 The. 2:10Mt 24:11; 2Ko 11:13
2 The. 2:10Yer 17:13; Ufu 22:15
2 The. 2:10Mt 24:12; Yud 19
2 The. 2:101Ti 2:4
2 The. 2:11Mt 24:5; 1Ti 4:1; 2Ti 4:4
2 The. 2:12Ro 1:25
2 The. 2:12Met 1:32; Ro 1:18; Yud 4
2 The. 2:13Yoh 6:44; Ro 8:30; Efe 1:4
2 The. 2:13Yoh 17:17; 1Ko 6:11; 1Th 4:7
2 The. 2:131Pe 1:2
2 The. 2:13Yoh 8:32; Kol 1:5; 1Ti 4:3; 2Yo 2
2 The. 2:141Th 2:12
2 The. 2:141Pe 5:10
2 The. 2:15Ro 12:9; 1Ko 15:58; 16:13
2 The. 2:151Ko 11:2
2 The. 2:161Yo 4:10
2 The. 2:161Pe 1:3
2 The. 2:171Th 3:13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wathesalonike 2:1-17

2 Wathesalonike

2 Hata hivyo, akina ndugu, kwa habari ya kuwapo+ kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja kwake,+ tunawaomba ninyi 2 msitikiswe upesi kutoka kwenye kufikiri kwenu wala msisisimuliwe ama kupitia neno lililoongozwa na roho+ au kupitia ujumbe wa maneno+ au kupitia barua+ kana kwamba inatoka kwetu, ya kuwa siku+ ya Yehova ipo hapa.

3 Msiache mtu yeyote awashawishi ninyi kwa namna yoyote, kwa sababu hiyo haitakuja isipokuwa uasi-imani+ uje kwanza na yule mtu wa uasi-sheria+ afunuliwe,+ mwana wa maangamizi.+ 4 Yeye anapinga+ na kujiinua juu ya kila anayeitwa “mungu” au kitu cha kupewa heshima ya ibada, hivi kwamba yeye huketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha mwenyewe hadharani kuwa mungu.+ 5 Je, hamkumbuki kwamba, nilipokuwa ningali pamoja nanyi, nilikuwa nikiwaambia+ mambo hayo?

6 Na hivyo sasa mnajua kile kitu+ ambacho kinatenda kama kizuizi,+ ili afunuliwe katika wakati wake mwenyewe unaofaa.+ 7 Ni kweli, fumbo la uasi-sheria huu tayari linafanya kazi;+ lakini ni mpaka tu wakati atakapoondolewa njiani yule ambaye sasa ni kizuizi.+ 8 Ndipo, kwa kweli, yule mwasi-sheria atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamwangamiza kwa roho ya kinywa+ chake na kumfanya kuwa si kitu kwa ufunuo+ wa kuwapo kwake.+ 9 Lakini kuwapo kwa huyo mwasi-sheria ni kulingana na utendaji+ wa Shetani pamoja na kila tendo lenye nguvu na ishara za uwongo na mambo ya ajabu+ 10 na pamoja na kila udanganyifu+ usio wa uadilifu kwa wale wanaoangamia,+ kuwa malipo kwa sababu hawakukubali kuipenda+ ile kweli ili wapate kuokolewa.+ 11 Hiyo ndiyo sababu Mungu huacha utendaji wa kosa uwaendee wao, ili wauamini uwongo,+ 12 ili wote wahukumiwe kwa sababu hawakuiamini kweli+ bali waliupenda ukosefu wa uadilifu.+

13 Hata hivyo, sisi tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, akina ndugu mnaopendwa na Yehova, kwa sababu Mungu aliwachagua+ ninyi tangu mwanzo kwa ajili ya wokovu kwa kuwatakasa+ ninyi kwa roho+ na kwa imani yenu katika kweli.+ 14 Kwa lengo hili aliwaita ninyi kupitia habari njema tunayoitangaza,+ kwa kusudi la kujipatia utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.+ 15 Basi, akina ndugu, simameni imara+ na mwendelee kuyashika mapokeo+ mliyofundishwa, iwe kwamba ilikuwa kupitia ujumbe wa maneno au kupitia barua yetu. 16 Zaidi ya hayo, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda+ na kutupa sisi faraja ya milele na tumaini jema+ kwa njia ya fadhili zisizostahiliwa, 17 na aifariji mioyo yenu na kuwaimarisha ninyi katika kila tendo na neno jema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki