Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 14:1

Marejeo

  • +Zb 49:9; Ro 5:14
  • +2Sa 5:9; 1Fa 2:10; 14:31
  • +1Nya 3:10
  • +2Nya 20:30; Met 29:2

2 Mambo ya Nyakati 14:3

Marejeo

  • +Kum 7:5
  • +Law 26:30; 1Fa 11:7; 14:23
  • +Kut 23:24; Hes 33:52; 2Fa 23:14
  • +Amu 6:25; 2Fa 18:4; 23:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2009, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 6/15 12

2 Mambo ya Nyakati 14:4

Marejeo

  • +2Nya 30:19; Isa 55:6; Amo 5:4; Sef 2:3; Mt 7:7
  • +Ne 10:29
  • +Zb 119:10

2 Mambo ya Nyakati 14:5

Marejeo

  • +2Nya 34:4
  • +2Fa 11:20

2 Mambo ya Nyakati 14:6

Marejeo

  • +2Nya 8:2; 11:5
  • +Yos 23:1; 2Nya 15:15; Zb 46:9; Met 16:7

2 Mambo ya Nyakati 14:7

Marejeo

  • +2Nya 11:5
  • +2Nya 32:5
  • +Kum 3:5; Amu 16:3; 1Sa 23:7
  • +1Nya 16:11; Zb 105:3
  • +1Fa 5:4
  • +Zb 127:1; Mal 3:10; Mdo 9:31

2 Mambo ya Nyakati 14:8

Marejeo

  • +1Sa 17:41
  • +2Nya 11:12
  • +2Nya 11:1; 13:3
  • +2Nya 26:14
  • +Zb 68:27; Isa 60:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 169

2 Mambo ya Nyakati 14:9

Marejeo

  • +2Fa 19:9; Mdo 8:27
  • +2Nya 16:8
  • +Yos 15:44; Mik 1:15

2 Mambo ya Nyakati 14:11

Marejeo

  • +Kut 14:10; 1Nya 5:20; 2Nya 32:20; Zb 22:5; Flp 4:6
  • +Amu 7:7; 1Sa 14:6; Amo 5:9; 1Ko 1:27; 2Ko 12:9
  • +2Nya 32:8; Zb 37:5; 55:22
  • +1Sa 17:45; 2Nya 13:12; Zb 20:5; Met 18:10
  • +Kum 32:3; Mk 12:29
  • +Yos 7:9; 1Sa 2:9; Zb 9:19; Mt 6:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2012, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 8/15 8-9

2 Mambo ya Nyakati 14:12

Marejeo

  • +Kum 28:7

2 Mambo ya Nyakati 14:13

Marejeo

  • +Mwa 20:1
  • +Zb 68:21
  • +1Nya 12:22
  • +1Nya 20:2; Met 13:22

2 Mambo ya Nyakati 14:14

Marejeo

  • +Mwa 35:5; Kut 15:16; Kum 11:25; Yos 5:1; 2Nya 17:10
  • +2Nya 20:25; Zb 68:12

2 Mambo ya Nyakati 14:15

Marejeo

  • +1Nya 4:41
  • +Hes 31:9, 30
  • +1Nya 5:21

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 14:1Zb 49:9; Ro 5:14
2 Nya. 14:12Sa 5:9; 1Fa 2:10; 14:31
2 Nya. 14:11Nya 3:10
2 Nya. 14:12Nya 20:30; Met 29:2
2 Nya. 14:3Kum 7:5
2 Nya. 14:3Law 26:30; 1Fa 11:7; 14:23
2 Nya. 14:3Kut 23:24; Hes 33:52; 2Fa 23:14
2 Nya. 14:3Amu 6:25; 2Fa 18:4; 23:6
2 Nya. 14:42Nya 30:19; Isa 55:6; Amo 5:4; Sef 2:3; Mt 7:7
2 Nya. 14:4Ne 10:29
2 Nya. 14:4Zb 119:10
2 Nya. 14:52Nya 34:4
2 Nya. 14:52Fa 11:20
2 Nya. 14:62Nya 8:2; 11:5
2 Nya. 14:6Yos 23:1; 2Nya 15:15; Zb 46:9; Met 16:7
2 Nya. 14:72Nya 11:5
2 Nya. 14:72Nya 32:5
2 Nya. 14:7Kum 3:5; Amu 16:3; 1Sa 23:7
2 Nya. 14:71Nya 16:11; Zb 105:3
2 Nya. 14:71Fa 5:4
2 Nya. 14:7Zb 127:1; Mal 3:10; Mdo 9:31
2 Nya. 14:81Sa 17:41
2 Nya. 14:82Nya 11:12
2 Nya. 14:82Nya 11:1; 13:3
2 Nya. 14:82Nya 26:14
2 Nya. 14:8Zb 68:27; Isa 60:22
2 Nya. 14:92Fa 19:9; Mdo 8:27
2 Nya. 14:92Nya 16:8
2 Nya. 14:9Yos 15:44; Mik 1:15
2 Nya. 14:11Kut 14:10; 1Nya 5:20; 2Nya 32:20; Zb 22:5; Flp 4:6
2 Nya. 14:11Amu 7:7; 1Sa 14:6; Amo 5:9; 1Ko 1:27; 2Ko 12:9
2 Nya. 14:112Nya 32:8; Zb 37:5; 55:22
2 Nya. 14:111Sa 17:45; 2Nya 13:12; Zb 20:5; Met 18:10
2 Nya. 14:11Kum 32:3; Mk 12:29
2 Nya. 14:11Yos 7:9; 1Sa 2:9; Zb 9:19; Mt 6:9
2 Nya. 14:12Kum 28:7
2 Nya. 14:13Mwa 20:1
2 Nya. 14:13Zb 68:21
2 Nya. 14:131Nya 12:22
2 Nya. 14:131Nya 20:2; Met 13:22
2 Nya. 14:14Mwa 35:5; Kut 15:16; Kum 11:25; Yos 5:1; 2Nya 17:10
2 Nya. 14:142Nya 20:25; Zb 68:12
2 Nya. 14:151Nya 4:41
2 Nya. 14:15Hes 31:9, 30
2 Nya. 14:151Nya 5:21
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 14:1-15

2 Mambo ya Nyakati

14 Mwishowe Abiya akalala pamoja na mababu zake,+ nao wakamzika katika Jiji la Daudi;+ na Asa+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake. Katika siku zake nchi haikuwa na usumbufu+ kwa miaka kumi.

2 Na Asa akafanya yaliyokuwa mema na sawa machoni pa Yehova Mungu wake. 3 Basi akaondoa madhabahu za kigeni+ na mahali pa juu,+ akazivunja nguzo takatifu+ na kuikata miti mitakatifu.+ 4 Tena akawaambia Yuda wamtafute+ Yehova Mungu wa mababu zao na kutenda sheria+ na amri.+ 5 Kwa hiyo akaondoa katika majiji yote ya Yuda mahali pa juu na vinara vya uvumba;+ na ufalme ukaendelea bila usumbufu+ mbele yake. 6 Naye akajenga majiji yenye ngome katika Yuda,+ kwa maana nchi haikuwa na usumbufu; na hapakuwa na vita juu yake wakati wa miaka hiyo, kwa maana Yehova alimpa pumziko.+ 7 Basi akawaambia Yuda: “Acheni tujenge majiji haya na tujenge kuta+ za kuzunguka na minara,+ milango yenye pande mbili na mapingo.+ Nchi bado inapatikana kwa ajili yetu, kwa sababu tumemtafuta Yehova Mungu wetu.+ Tumemtafuta, naye anatupa pumziko kuzunguka pande zote.”+ Nao wakajenga na kufanikiwa.+

8 Na Asa akawa na jeshi lenye kuchukua ngao kubwa+ na mkuki,+ watu 300,000 kutoka Yuda.+ Na kutoka Benyamini wale wanaochukua ngao ndogo na kupinda upinde+ walikuwa 280,000.+ Hao wote walikuwa mashujaa, wanaume wenye nguvu.

9 Baadaye Zera Mwethiopia+ akaenda kupigana nao akiwa na jeshi la watu milioni moja+ na magari mia tatu, akaja mpaka Maresha.+ 10 Ndipo Asa akatoka kwenda juu yake, nao wakajipanga kivita katika bonde la Sefatha kule Maresha. 11 Naye Asa akaanza kumwita Yehova Mungu+ wake, na kusema: “Ee Yehova, kwa habari ya kusaidia, si kitu kwako kama kuna wengi au wale wasio na nguvu.+ Utusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana sisi tunakuegemea wewe,+ nasi kwa jina lako+ tumekuja kupigana na umati huu. Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu.+ Usiache mwanadamu anayeweza kufa apate nguvu juu yako.”+

12 Ndipo Yehova akawashinda+ Waethiopia mbele ya Asa na mbele ya Yuda, na Waethiopia wakakimbia. 13 Na Asa na watu waliokuwa pamoja naye wakaendelea kuwafuatilia mpaka Gerari,+ na walio wa Waethiopia wakaendelea kuanguka mpaka wakati ambapo hapakuwa na yeyote aliye hai kati yao; kwa maana walivunjwa vipande-vipande mbele za Yehova+ na mbele ya jeshi lake.+ Baadaye wakachukua kiasi kikubwa sana cha nyara.+ 14 Tena wakayapiga majiji yote pande zote kuzunguka Gerari, kwa maana hofu+ ya Yehova ilikuwa imekuja juu yao; nao wakayapora majiji yote, kwa maana kulikuwa na vitu vingi vya kupora katika majiji hayo.+ 15 Na hata wakayapiga mahema+ yenye mifugo hivi kwamba wakateka+ kwa wingi sana mifugo na ngamia,+ kisha wakarudi Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki