19 kila mtu ambaye ameutayarisha moyo+ wake ili kumtafuta Mungu wa kweli, Yehova Mungu wa mababu zake, ingawa hajatakaswa kwa ajili ya kilicho kitakatifu.”+
3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+