Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 30:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kila mtu ambaye ameutayarisha moyo+ wake ili kumtafuta Mungu wa kweli, Yehova Mungu wa mababu zake, ingawa hajatakaswa kwa ajili ya kilicho kitakatifu.”+

  • Isaya 55:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtafuteni Yehova, wakati anapoweza kupatikana.+ Mwiteni akiwa bado yupo karibu.+

  • Amosi 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Kwa maana Yehova ameiambia hivi nyumba ya Israeli, ‘Nitafuteni mimi,+ mwendelee kuishi.+

  • Sefania 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+

  • Mathayo 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki