Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 3:1

Marejeo

  • +Law 22:21
  • +Hes 6:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, kur. 15-16

    “Kila Andiko,” uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 15-16

Mambo ya Walawi 3:2

Marejeo

  • +Kut 29:10; Law 8:18

Mambo ya Walawi 3:3

Marejeo

  • +Kut 29:13; Law 7:23, 30; 1Fa 8:64; Eze 44:15
  • +Law 1:13

Mambo ya Walawi 3:4

Marejeo

  • +Law 3:15; 7:4; 8:16

Mambo ya Walawi 3:5

Marejeo

  • +Hes 3:2; Mal 2:4
  • +Law 1:9; 7:31; 9:10
  • +Law 6:12
  • +Law 1:17; 4:31; Efe 5:2

Mambo ya Walawi 3:6

Marejeo

  • +Kut 12:5; Hes 6:14; 2Ko 5:21; Ebr 7:26; 1Pe 1:19

Mambo ya Walawi 3:7

Marejeo

  • +Ebr 9:14

Mambo ya Walawi 3:8

Marejeo

  • +Law 4:4
  • +Law 4:15

Mambo ya Walawi 3:9

Marejeo

  • +2Nya 7:7
  • +Kut 29:22; Law 9:19
  • +Law 3:3

Mambo ya Walawi 3:10

Marejeo

  • +Law 4:9; 9:10

Mambo ya Walawi 3:11

Marejeo

  • +Law 3:5; 4:31
  • +Law 21:6

Mambo ya Walawi 3:12

Marejeo

  • +Law 9:3; 22:19

Mambo ya Walawi 3:13

Marejeo

  • +Kut 29:10; Law 3:2
  • +Kut 29:11; Law 3:8; 14:13

Mambo ya Walawi 3:14

Marejeo

  • +Law 3:3, 9; 4:26; Zb 20:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, uku. 23

Mambo ya Walawi 3:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, uku. 23

Mambo ya Walawi 3:16

Marejeo

  • +Law 7:23; 1Sa 2:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, uku. 23

Mambo ya Walawi 3:17

Marejeo

  • +Mwa 9:4; Law 17:10, 13; Kum 12:23; Eze 44:7; Mdo 15:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2008, uku. 32

    5/15/2004, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 32; w04 5/15 22

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 3:1Law 22:21
Law. 3:1Hes 6:14
Law. 3:2Kut 29:10; Law 8:18
Law. 3:3Kut 29:13; Law 7:23, 30; 1Fa 8:64; Eze 44:15
Law. 3:3Law 1:13
Law. 3:4Law 3:15; 7:4; 8:16
Law. 3:5Hes 3:2; Mal 2:4
Law. 3:5Law 1:9; 7:31; 9:10
Law. 3:5Law 6:12
Law. 3:5Law 1:17; 4:31; Efe 5:2
Law. 3:6Kut 12:5; Hes 6:14; 2Ko 5:21; Ebr 7:26; 1Pe 1:19
Law. 3:7Ebr 9:14
Law. 3:8Law 4:4
Law. 3:8Law 4:15
Law. 3:92Nya 7:7
Law. 3:9Kut 29:22; Law 9:19
Law. 3:9Law 3:3
Law. 3:10Law 4:9; 9:10
Law. 3:11Law 3:5; 4:31
Law. 3:11Law 21:6
Law. 3:12Law 9:3; 22:19
Law. 3:13Kut 29:10; Law 3:2
Law. 3:13Kut 29:11; Law 3:8; 14:13
Law. 3:14Law 3:3, 9; 4:26; Zb 20:3
Law. 3:16Law 7:23; 1Sa 2:16
Law. 3:17Mwa 9:4; Law 17:10, 13; Kum 12:23; Eze 44:7; Mdo 15:20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 3:1-17

Mambo ya Walawi

3 “‘Na ikiwa toleo lake ni dhabihu ya ushirika,+ ikiwa analitoa kutoka kati ya mifugo, wa kiume au wa kike, atamtoa yule asiye na kasoro+ mbele za Yehova. 2 Naye atauweka mkono wake juu ya kichwa+ cha toleo lake, nalo litachinjwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano; nao wana wa Haruni, makuhani, watainyunyiza damu yake kwenye madhabahu kuizunguka pande zote. 3 Naye atatoa sehemu ya dhabihu hiyo ya ushirika kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, yaani, mafuta+ yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+ 4 na zile figo mbili+ na mafuta yaliyo juu yake, sawa na yale yaliyo juu ya viuno. Na kile kipasho kilicho juu ya ini, atakiondoa pamoja na figo. 5 Nao wana wa Haruni+ wataifukiza+ kwenye madhabahu, juu ya toleo la kuteketezwa lililo juu ya kuni+ zilizo katika moto, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza+ Yehova.

6 “‘Na ikiwa toleo lake linatoka kati ya kundi kwa ajili ya dhabihu ya ushirika kwa Yehova, wa kiume au wa kike, atamtoa yule asiye na kasoro.+ 7 Ikiwa anamtoa kondoo-dume mchanga awe toleo lake, basi atamtoa mbele za Yehova.+ 8 Naye atauweka mkono wake juu ya kichwa+ cha toleo lake, nalo litachinjwa+ mbele ya hema la mkutano; nao wana wa Haruni watainyunyiza damu yake kwenye madhabahu kuizunguka pande zote. 9 Na kutoka katika dhabihu ya ushirika atatoa mafuta yake kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+ Mkia wote wenye mafuta+ ndio atakaoutoa karibu na uti wa mgongo, na mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+ 10 na zile figo mbili na yale mafuta yaliyo juu yake, yale yaliyo juu ya viuno. Na kile kipasho+ kilicho juu ya ini, atakiondoa pamoja na figo. 11 Na kuhani atavifukiza+ kwenye madhabahu kama chakula,+ toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.

12 “‘Na ikiwa toleo lake ni mbuzi,+ basi atamtoa mbele za Yehova. 13 Naye atauweka mkono wake juu ya kichwa chake,+ naye atachinjwa+ mbele ya hema la mkutano; nao wana wa Haruni watainyunyiza damu yake kwenye madhabahu kuizunguka pande zote. 14 Na kutokana naye atatoa toleo lake, kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, mafuta yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+ 15 na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, yale yaliyo juu ya viuno. Na kile kipasho kilicho juu ya ini, atakiondoa pamoja na hizo figo. 16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+

17 “‘Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu, katika makao yenu yote: msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki