Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Timotheo 6:1

Marejeo

  • +Ro 13:7; Efe 6:5; Kol 3:22
  • +Ro 2:24; Tit 2:5; 1Pe 2:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1991, uku. 21

1 Timotheo 6:2

Marejeo

  • +Efe 6:9
  • +Kol 4:1
  • +Flm 16
  • +1Ti 4:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 31

    2/1/1991, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/15 31

1 Timotheo 6:3

Marejeo

  • +Met 11:9; Yer 17:13; Gal 1:7
  • +2Ti 1:13
  • +Tit 1:1

1 Timotheo 6:4

Marejeo

  • +Met 28:25; Gal 6:3; 1Ti 3:6
  • +1Ko 8:2
  • +Ro 1:28; Tit 3:11
  • +2Ti 2:14; Tit 1:10; 3:9
  • +Gal 5:21
  • +2Pe 2:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 236

1 Timotheo 6:5

Marejeo

  • +2Ko 11:3; 2Ti 3:8; Yud 10
  • +Flp 3:18; 2Ti 4:4; Tit 1:14
  • +1Ko 13:2; 1Pe 5:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2002, uku. 12

    8/15/1988, uku. 5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 7/15 12

1 Timotheo 6:6

Marejeo

  • +2Ko 4:18; Flp 1:21
  • +Ro 12:1; 1Ti 3:16
  • +Flp 4:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 37

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/2014, uku. 15

    11/15/2011, kur. 19-20

    6/1/2003, uku. 9

    8/15/1995, kur. 21-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 11/15 19-20; w03 6/1 9

1 Timotheo 6:7

Marejeo

  • +Ayu 1:21; Zb 49:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 37

1 Timotheo 6:8

Marejeo

  • +Met 30:8; Ebr 13:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2022, uku. 5

    Furahia Maisha Milele!, somo la 37

    Amkeni!,

    7/2015, uku. 13

    9/2011, uku. 8

    6/22/1994, uku. 31

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/2003, kur. 5-6

    6/1/2003, uku. 9

    6/15/2001, kur. 6-7

    1/15/1998, uku. 17

    Mwabudu Mungu, kur. 103-104

    Furaha ya Familia, uku. 40

    Amani na Usalama, kur. 114-115

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 9/11 8; w03 6/1 9; w03 8/1 5-6; wt 103-104; w01 6/15 6-7; w98 1/15 17; fy 40

1 Timotheo 6:9

Marejeo

  • +Mt 13:22; Yak 5:1
  • +Met 20:21; Kol 3:5; Tit 1:7
  • +Met 28:20, 22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, kur. 18-19

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2011, kur. 22-23

    5/15/1998, kur. 5-6

    1/15/1998, uku. 17

    7/15/1997, uku. 13

    8/15/1988, kur. 4-6

    5/1/1986, uku. 13

    Amkeni!,

    6/2007, kur. 3, 4-7

    9/22/1997, kur. 13-14

    Mwabudu Mungu, kur. 103-104

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 3/15 22-23; g 6/07 3-7; wt 103-104; w98 1/15 17; w98 5/15 5-6; w97 7/15 13; g97 9/22 13-14

1 Timotheo 6:10

Marejeo

  • +Mt 6:24; Lu 12:34; Ebr 12:1
  • +Yak 1:15
  • +Kum 16:19; Eze 22:12
  • +1Ti 1:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 166

    Furahia Maisha Milele!, somo la 37

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, kur. 18-19

    Amkeni!,

    3/2014, uku. 8

    3/2009, uku. 5

    11/2008, uku. 6

    6/2007, kur. 3, 4-7, 20-21

    1/8/2003, uku. 27

    9/22/1997, kur. 13-14

    3/22/1994, kur. 3-4

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    9/1/2010, uku. 4

    3/1/2002, uku. 17

    6/15/2001, kur. 5-6

    5/15/1998, kur. 5-6

    4/15/1994, kur. 13-14

    6/1/1993, kur. 21-22

    8/15/1988, kur. 5-6, 18

    11/15/1986, uku. 19

    6/15/1986, uku. 8

    Mwabudu Mungu, kur. 103-104

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 9/1 4; g 3/09 5; g 11/08 6; g 6/07 3-7, 20-21; g03 1/8 27; w02 3/1 17; wt 103-104; w01 6/15 5-6; w98 5/15 5-6; g97 9/22 13-14

1 Timotheo 6:11

Marejeo

  • +2Ti 2:22
  • +Met 15:1; Mt 5:5; Gal 5:22; Kol 3:12; 1Pe 3:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2008, kur. 10, 12-15

    4/1/2003, uku. 20

    6/15/2001, kur. 7-8

    10/15/1990, kur. 28-29

    3/1/1990, kur. 10-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 6/15 10, 12-15; w03 4/1 20; w01 6/15 7-8

1 Timotheo 6:12

Marejeo

  • +1Ko 9:26; Yud 3
  • +Ebr 10:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2004, kur. 26-27

    10/15/1990, kur. 28-29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 2/15 26-27

1 Timotheo 6:13

Marejeo

  • +Isa 55:4
  • +Yoh 18:36; 19:11
  • +Mt 27:11
  • +1Th 4:2

1 Timotheo 6:14

Marejeo

  • +2Th 2:8; 2Ti 4:1, 8

1 Timotheo 6:15

Marejeo

  • +Da 7:14
  • +Mdo 1:7
  • +Da 2:44; Ufu 17:14
  • +Ufu 19:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 31

    9/1/2005, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/15 31; w05 9/1 27

1 Timotheo 6:16

Marejeo

  • +Ebr 7:16, 25
  • +Mdo 9:3; 22:6; Ufu 1:16
  • +Mt 25:37; Yoh 14:19; 1Pe 3:18
  • +Yoh 17:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi, 2/15/2000, uku. 30

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 31

    9/1/2005, uku. 27

    8/1/1986, uku. 5

    Amkeni!,

    4/8/1991, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/15 31; w05 9/1 27

1 Timotheo 6:17

Marejeo

  • +Mk 10:23
  • +Met 28:11
  • +Mt 13:22
  • +Mhu 5:19; Mt 6:33; Yak 1:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2013, uku. 14

    8/1/2007, uku. 25

    2/1/2004, uku. 30

    6/15/2001, uku. 8

    6/15/1986, kur. 5-6

    Amkeni!,

    1/8/2003, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 8/1 25; w04 2/1 30; g03 1/8 27; w01 6/15 8

1 Timotheo 6:18

Marejeo

  • +Efe 4:28; Yak 1:27
  • +Mt 28:19; Tit 3:8
  • +Ro 12:13; 2Ko 8:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 30

    Furahia Maisha Milele!, somo la 37

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2013, uku. 14

    6/15/2001, uku. 8

    10/15/1988, uku. 21

    Amkeni!,

    1/8/2003, uku. 27

    Huduma ya Ufalme,

    6/2000, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    g03 1/8 27; w01 6/15 8; km 6/00 1

1 Timotheo 6:19

Marejeo

  • +Mt 6:20
  • +Lu 6:48; 2Ti 2:19
  • +Lu 16:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Biblia Inatufundisha, kur. 203-204

    Biblia Inafundisha, kur. 192-193

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2007, kur. 17-18

    6/15/2001, uku. 8

    8/15/1999, kur. 4-7

    1/15/1995, kur. 4-7

    Amkeni!,

    1/8/2003, uku. 27

    Huduma ya Ufalme,

    9/2003, uku. 6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 10/1 17-18; bh 192-193; g03 1/8 27; km 9/03 6; w01 6/15 8; w99 8/15 4-7

1 Timotheo 6:20

Marejeo

  • +2Ti 3:14; 4:5; Tit 1:9
  • +1Ko 2:13; 3:19; Kol 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2020, kur. 26-30

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/2000, uku. 30

    5/1/2000, uku. 11

    12/15/1994, uku. 16

    4/1/1994, uku. 13

    7/15/1990, uku. 21

    Amkeni!,

    3/8/1990, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 5/1 11; w00 12/1 30

1 Timotheo 6:21

Marejeo

  • +1Ti 1:19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Tim. 6:1Ro 13:7; Efe 6:5; Kol 3:22
1 Tim. 6:1Ro 2:24; Tit 2:5; 1Pe 2:13
1 Tim. 6:2Efe 6:9
1 Tim. 6:2Kol 4:1
1 Tim. 6:2Flm 16
1 Tim. 6:21Ti 4:11
1 Tim. 6:3Met 11:9; Yer 17:13; Gal 1:7
1 Tim. 6:32Ti 1:13
1 Tim. 6:3Tit 1:1
1 Tim. 6:4Met 28:25; Gal 6:3; 1Ti 3:6
1 Tim. 6:41Ko 8:2
1 Tim. 6:4Ro 1:28; Tit 3:11
1 Tim. 6:42Ti 2:14; Tit 1:10; 3:9
1 Tim. 6:4Gal 5:21
1 Tim. 6:42Pe 2:11
1 Tim. 6:52Ko 11:3; 2Ti 3:8; Yud 10
1 Tim. 6:5Flp 3:18; 2Ti 4:4; Tit 1:14
1 Tim. 6:51Ko 13:2; 1Pe 5:2
1 Tim. 6:62Ko 4:18; Flp 1:21
1 Tim. 6:6Ro 12:1; 1Ti 3:16
1 Tim. 6:6Flp 4:11
1 Tim. 6:7Ayu 1:21; Zb 49:17
1 Tim. 6:8Met 30:8; Ebr 13:5
1 Tim. 6:9Mt 13:22; Yak 5:1
1 Tim. 6:9Met 20:21; Kol 3:5; Tit 1:7
1 Tim. 6:9Met 28:20, 22
1 Tim. 6:10Mt 6:24; Lu 12:34; Ebr 12:1
1 Tim. 6:10Yak 1:15
1 Tim. 6:10Kum 16:19; Eze 22:12
1 Tim. 6:101Ti 1:19
1 Tim. 6:112Ti 2:22
1 Tim. 6:11Met 15:1; Mt 5:5; Gal 5:22; Kol 3:12; 1Pe 3:15
1 Tim. 6:121Ko 9:26; Yud 3
1 Tim. 6:12Ebr 10:23
1 Tim. 6:13Isa 55:4
1 Tim. 6:13Yoh 18:36; 19:11
1 Tim. 6:13Mt 27:11
1 Tim. 6:131Th 4:2
1 Tim. 6:142Th 2:8; 2Ti 4:1, 8
1 Tim. 6:15Da 7:14
1 Tim. 6:15Mdo 1:7
1 Tim. 6:15Da 2:44; Ufu 17:14
1 Tim. 6:15Ufu 19:16
1 Tim. 6:16Ebr 7:16, 25
1 Tim. 6:16Mdo 9:3; 22:6; Ufu 1:16
1 Tim. 6:16Mt 25:37; Yoh 14:19; 1Pe 3:18
1 Tim. 6:16Yoh 17:24
1 Tim. 6:17Mk 10:23
1 Tim. 6:17Met 28:11
1 Tim. 6:17Mt 13:22
1 Tim. 6:17Mhu 5:19; Mt 6:33; Yak 1:17
1 Tim. 6:18Efe 4:28; Yak 1:27
1 Tim. 6:18Mt 28:19; Tit 3:8
1 Tim. 6:18Ro 12:13; 2Ko 8:14
1 Tim. 6:19Mt 6:20
1 Tim. 6:19Lu 6:48; 2Ti 2:19
1 Tim. 6:19Lu 16:9
1 Tim. 6:202Ti 3:14; 4:5; Tit 1:9
1 Tim. 6:201Ko 2:13; 3:19; Kol 2:8
1 Tim. 6:211Ti 1:19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Timotheo 6:1-21

1 Timotheo

6 Wale wote walio watumwa chini ya nira na waendelee kuwaona mabwana wao kuwa wenye kustahili heshima kamili,+ ili jina la Mungu na fundisho lisisemwe vibaya kamwe.+ 2 Zaidi ya hayo, wale walio na mabwana+ wenye kuamini wasiwadharau,+ kwa sababu wao ni ndugu.+ Kinyume chake, na wawe watumwa kwa utayari zaidi, kwa sababu wale wanaopokea faida ya utumishi wao mwema ni waamini na wapendwa.

Endelea kufundisha mambo haya+ na kutoa mahimizo haya. 3 Kama mtu yeyote akifundisha fundisho lingine+ na hakubaliani na maneno yenye afya,+ yale ya Bwana wetu Yesu Kristo, wala na fundisho ambalo linapatana na ujitoaji-kimungu,+ 4 yeye anajivuna kwa kiburi,+ haelewi jambo lolote,+ bali ni mgonjwa kiakili+ juu ya maswali na mabishano juu ya maneno.+ Mambo hayo hutokeza wivu,+ mizozo, matukano,+ shuku zenye uovu, 5 mabishano makali juu ya mambo madogo-madogo kwa upande wa watu walioharibika katika akili+ na kuporwa ile kweli,+ wakifikiri kwamba ujitoaji-kimungu ni njia ya kupata faida.+ 6 Kwa hakika, huo ni njia ya kupata faida kubwa,+ huu ujitoaji-kimungu+ pamoja na ujitoshelevu.+ 7 Kwa maana hatukuleta chochote katika ulimwengu, wala hatuwezi kuchukua chochote nje.+ 8 Kwa hiyo, tukiwa na chakula na kitu cha kujifunika, tutaridhika na vitu hivyo.+

9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+ 10 Kwa maana kupenda+ pesa ni chanzo+ cha mambo mabaya ya namna zote,+ na kwa kujitahidi kufikia upendo huo wengine wamepotoshwa kutoka kwenye imani nao wamejichoma wenyewe kila mahali kwa maumivu mengi.+

11 Hata hivyo, wewe, Ee mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo.+ Lakini fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu, imani, upendo, uvumilivu, tabia-pole.+ 12 Pigana pigano zuri la imani,+ ushike imara ule uzima wa milele ambao uliitiwa nawe ukatoa tangazo zuri la hadharani+ mbele ya mashahidi wengi.

13 Machoni pa Mungu, ambaye huvihifadhi vitu vyote hai, na machoni pa Kristo Yesu, ambaye akiwa shahidi+ alifanya tangazo zuri la hadharani+ mbele ya Pontio Pilato,+ mimi nakupa wewe maagizo+ 14 kwamba uishike amri katika njia isiyo na doa na isiyolaumika mpaka wakati wa ufunuo+ wa Bwana wetu Yesu Kristo. 15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana, 16 yeye peke yake asiyeweza kufa,+ anayekaa katika nuru isiyoweza kufikiwa,+ ambaye hakuna hata mmoja kati ya wanadamu amemwona au anaweza kumwona.+ Kwake yeye na kuwe heshima+ na nguvu milele. Amina.

17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+ 18 wafanye mema,+ wawe matajiri katika matendo mazuri,+ wawe wakarimu, tayari kushiriki,+ 19 wakijiwekea wenyewe kwa usalama hazina+ ya msingi mzuri+ kwa ajili ya wakati ujao, ili waushike imara uzima ulio wa kweli.+

20 Ee Timotheo, linda lililowekwa amana kwako,+ ukigeuka mbali kutoka kwenye maneno matupu ambayo huchafua mambo matakatifu na kutoka kwenye maneno yanayopingana ya ule unaoitwa kwa uwongo “ujuzi.”+ 21 Kwa maana kwa kujisifia ujuzi wa namna hiyo wengine wamegeuka kutoka kwenye imani.+

Fadhili zisizostahiliwa na ziwe pamoja nanyi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki