Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 14:1

Marejeo

  • +1Ko 12:1
  • +Ro 12:6; 1Th 5:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1993, uku. 31

1 Wakorintho 14:2

Marejeo

  • +1Ko 14:5
  • +1Ko 13:2

1 Wakorintho 14:3

Marejeo

  • +2Ko 10:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/15/2010, kur. 24-25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/15 24-25

1 Wakorintho 14:5

Marejeo

  • +1Ko 12:30
  • +Yoe 2:28; Mdo 2:17; 21:9
  • +1Ko 12:10

1 Wakorintho 14:6

Marejeo

  • +Gal 1:12; 2:2
  • +1Ko 12:8; 2Ko 11:6

1 Wakorintho 14:7

Marejeo

  • +Ayu 21:12

1 Wakorintho 14:8

Marejeo

  • +Hes 10:9; Ayu 39:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, uku. 21

1 Wakorintho 14:9

Marejeo

  • +1Ko 14:19
  • +1Ko 9:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, uku. 21

1 Wakorintho 14:11

Marejeo

  • +2Fa 18:26

1 Wakorintho 14:12

Marejeo

  • +1Ko 12:1, 7
  • +1Ko 14:4, 26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2007, kur. 23-24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 4/15 23-24

1 Wakorintho 14:13

Marejeo

  • +1Ko 12:10; 14:5

1 Wakorintho 14:14

Marejeo

  • +1Ko 14:2

1 Wakorintho 14:15

Marejeo

  • +Kol 3:16
  • +Zb 47:7

1 Wakorintho 14:16

Marejeo

  • +2Ko 1:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/1986, kur. 22-23

1 Wakorintho 14:17

Marejeo

  • +1Ko 14:26

1 Wakorintho 14:18

Marejeo

  • +1Ko 14:6

1 Wakorintho 14:19

Marejeo

  • +1Ko 14:4

1 Wakorintho 14:20

Marejeo

  • +Zb 119:99; Efe 4:14; Ebr 5:13
  • +Yer 4:22; Ro 16:19
  • +Flp 3:15; Ebr 5:14; 1Pe 2:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2007, uku. 11

    7/15/1993, uku. 20

    11/15/1987, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 2/1 11

1 Wakorintho 14:21

Marejeo

  • +Kum 28:49; Isa 28:11; Yer 5:15
  • +Isa 28:12

1 Wakorintho 14:22

Marejeo

  • +Mdo 2:4
  • +Mdo 2:13
  • +Mdo 2:37

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 150

1 Wakorintho 14:23

Marejeo

  • +1Ko 14:11

1 Wakorintho 14:24

Marejeo

  • +Efe 5:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1988, kur. 13, 15-16

1 Wakorintho 14:25

Marejeo

  • +Da 2:47
  • +Isa 45:14; Zek 8:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1988, kur. 15-16, 20

1 Wakorintho 14:26

Marejeo

  • +1Ko 12:10
  • +Ro 14:19; 2Ko 12:19

1 Wakorintho 14:27

Marejeo

  • +1Ko 14:5

1 Wakorintho 14:28

Marejeo

  • +1Ko 14:4

1 Wakorintho 14:29

Marejeo

  • +Mdo 13:1; Efe 4:11
  • +1Th 5:21

1 Wakorintho 14:30

Marejeo

  • +1Ko 12:10

1 Wakorintho 14:31

Marejeo

  • +Ro 12:6; 1Th 5:20
  • +Ebr 10:25

1 Wakorintho 14:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wakorintho 14:33

Marejeo

  • +1Ko 14:40; Gal 5:25; Kol 2:5
  • +Ro 15:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 20

    Ufahamu,

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, uku. 120

1 Wakorintho 14:34

Marejeo

  • +1Ti 2:11, 12
  • +1Ko 11:3; Efe 5:22; Kol 3:18; Tit 2:5; 1Pe 3:1
  • +Mwa 3:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2012, uku. 9

    3/1/2006, kur. 28-29

    Kutoa Sababu, uku. 402

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 9/1 9; w06 3/1 28-29; rs 402

1 Wakorintho 14:35

Marejeo

  • +1Ko 11:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1989, uku. 6

1 Wakorintho 14:36

Marejeo

  • +Isa 2:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2011, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/1 14

1 Wakorintho 14:37

Marejeo

  • +1Yo 4:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1993, uku. 31

1 Wakorintho 14:39

Marejeo

  • +1Ko 12:31; 1Th 5:20
  • +1Ko 14:27

1 Wakorintho 14:40

Marejeo

  • +1Ko 14:33; Kol 2:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 54

    Amkeni!,

    Na. 1 2020 uku. 10

    “Upendo wa Mungu,” uku. 49

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1997, uku. 9

    “Kila Andiko,” kur. 212-214

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 49; w97 8/1 9

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 14:11Ko 12:1
1 Kor. 14:1Ro 12:6; 1Th 5:20
1 Kor. 14:21Ko 14:5
1 Kor. 14:21Ko 13:2
1 Kor. 14:32Ko 10:8
1 Kor. 14:51Ko 12:30
1 Kor. 14:5Yoe 2:28; Mdo 2:17; 21:9
1 Kor. 14:51Ko 12:10
1 Kor. 14:6Gal 1:12; 2:2
1 Kor. 14:61Ko 12:8; 2Ko 11:6
1 Kor. 14:7Ayu 21:12
1 Kor. 14:8Hes 10:9; Ayu 39:25
1 Kor. 14:91Ko 14:19
1 Kor. 14:91Ko 9:26
1 Kor. 14:112Fa 18:26
1 Kor. 14:121Ko 12:1, 7
1 Kor. 14:121Ko 14:4, 26
1 Kor. 14:131Ko 12:10; 14:5
1 Kor. 14:141Ko 14:2
1 Kor. 14:15Kol 3:16
1 Kor. 14:15Zb 47:7
1 Kor. 14:162Ko 1:20
1 Kor. 14:171Ko 14:26
1 Kor. 14:181Ko 14:6
1 Kor. 14:191Ko 14:4
1 Kor. 14:20Zb 119:99; Efe 4:14; Ebr 5:13
1 Kor. 14:20Yer 4:22; Ro 16:19
1 Kor. 14:20Flp 3:15; Ebr 5:14; 1Pe 2:2
1 Kor. 14:21Kum 28:49; Isa 28:11; Yer 5:15
1 Kor. 14:21Isa 28:12
1 Kor. 14:22Mdo 2:4
1 Kor. 14:22Mdo 2:13
1 Kor. 14:22Mdo 2:37
1 Kor. 14:231Ko 14:11
1 Kor. 14:24Efe 5:13
1 Kor. 14:25Da 2:47
1 Kor. 14:25Isa 45:14; Zek 8:23
1 Kor. 14:261Ko 12:10
1 Kor. 14:26Ro 14:19; 2Ko 12:19
1 Kor. 14:271Ko 14:5
1 Kor. 14:281Ko 14:4
1 Kor. 14:29Mdo 13:1; Efe 4:11
1 Kor. 14:291Th 5:21
1 Kor. 14:301Ko 12:10
1 Kor. 14:31Ro 12:6; 1Th 5:20
1 Kor. 14:31Ebr 10:25
1 Kor. 14:331Ko 14:40; Gal 5:25; Kol 2:5
1 Kor. 14:33Ro 15:33
1 Kor. 14:341Ti 2:11, 12
1 Kor. 14:341Ko 11:3; Efe 5:22; Kol 3:18; Tit 2:5; 1Pe 3:1
1 Kor. 14:34Mwa 3:16
1 Kor. 14:351Ko 11:6
1 Kor. 14:36Isa 2:3
1 Kor. 14:371Yo 4:6
1 Kor. 14:391Ko 12:31; 1Th 5:20
1 Kor. 14:391Ko 14:27
1 Kor. 14:401Ko 14:33; Kol 2:5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 14:1-40

1 Wakorintho

14 Fuatieni upendo, na bado endeleeni kutafuta kwa bidii zawadi za kiroho,+ lakini ni afadhali zaidi kwamba mtoe unabii.+ 2 Kwa maana yeye anayesema kwa lugha husema, si na wanadamu, bali na Mungu, kwa maana hakuna anayesikia,+ bali yeye husema kwa roho siri zilizo takatifu.+ 3 Hata hivyo, yeye anayetoa unabii huwajenga+ na kuwatia moyo na kuwafariji watu kwa maneno yake. 4 Yeye anayesema kwa lugha hujijenga mwenyewe, lakini yeye anayetoa unabii hulijenga kutaniko. 5 Basi ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha,+ lakini napendelea zaidi kwamba mtoe unabii.+ Kwa kweli, yeye anayetoa unabii ni mkubwa kuliko yeye anayesema kwa lugha,+ isipokuwa, kwa kweli, yeye atafsiri, ili kutaniko lijengwe. 6 Lakini wakati huu, akina ndugu, kama ningekuja kwenu nikisema kwa lugha, ningewapa faida gani isipokuwa kama ningesema nanyi ama kwa ufunuo+ au kwa ujuzi+ au kwa unabii au kwa fundisho?

7 Kama ilivyo, vitu visivyo na uhai hutoa sauti,+ kama ni filimbi au kinubi; kisipofanya tofauti kati ya sauti, itajulikanaje ni nini kinachopigwa kwenye filimbi au kwenye kinubi? 8 Kwa maana kwa kweli, tarumbeta ikipiga mwito usiojulikana, ni nani atakayejitayarisha kwa ajili ya vita?+ 9 Vivyo hivyo pia, ninyi msiposema maneno yenye kueleweka kwa urahisi+ kupitia hiyo lugha, watu watajuaje linalosemwa? Kwa kweli, mtakuwa mkisema hewani.+ 10 Huenda kuna aina nyingi sana za sauti za maneno katika ulimwengu, na bado hakuna aina isiyo na maana. 11 Basi, ikiwa sielewi nguvu za sauti ya maneno, nitakuwa mgeni+ kwa yeye anayesema, na yeye anayesema atakuwa mgeni kwangu. 12 Ndivyo pia ninyi wenyewe, kwa kuwa mnatamani kwa bidii zawadi za roho,+ tafuteni kujawa nazo kwa ajili ya kulijenga kutaniko.+

13 Kwa hiyo yeye anayesema kwa lugha na asali ili aitafsiri.+ 14 Kwa maana ikiwa ninasali kwa lugha, ni zawadi yangu ya roho inayosali,+ lakini akili yangu haizai matunda. 15 Basi, nini lifanywe? Nitasali kwa zawadi ya roho, lakini nitasali pia kwa akili yangu. Nitaimba sifa+ kwa zawadi ya roho, lakini pia nitaimba sifa kwa akili yangu.+ 16 Kama sivyo, ukitoa sifa kwa zawadi ya roho, yule mtu aliyeketi kwenye kiti cha mtu wa kawaida atasemaje “Amina”+ kwa utoaji wako wa shukrani, kwa kuwa hajui lile unalosema? 17 Kweli, unatoa shukrani kwa njia nzuri, lakini yule mtu mwingine hajengwi.+ 18 Ninamshukuru Mungu, ninasema kwa lugha nyingi zaidi kuliko ninyi nyote.+ 19 Hata hivyo, katika kutaniko ingekuwa afadhali niseme maneno matano kwa akili yangu, ili pia niwafundishe wengine kwa mdomo, kuliko maneno elfu kumi kwa lugha.+

20 Akina ndugu, msiwe watoto wachanga katika nguvu za uelewaji,+ lakini iweni watoto kuhusiana na ubaya;+ hata hivyo iweni watu wazima katika nguvu za uelewaji.+ 21 Katika Sheria imeandikwa: “ ‘Nitasema na watu hawa kwa lugha za watu wa ugenini na kwa midomo ya wageni,+ na bado hata wakati huo hawatanisikiliza,’ asema Yehova.”+ 22 Kwa sababu hiyo lugha ni kwa ajili ya ishara,+ si kwa waamini, bali kwa wasio waamini,+ lakini kutoa unabii, si kwa ajili ya wasio waamini, bali ni kwa ajili ya waamini.+ 23 Kwa hiyo, kutaniko lote likija pamoja mahali pamoja nao wote waseme kwa lugha,+ lakini watu wa kawaida au wasio waamini waingie, je, hawatasema kwamba ninyi ni wenda-wazimu? 24 Lakini ikiwa ninyi nyote mnatoa unabii na mtu yeyote asiye mwamini au mtu wa kawaida aingie, yeye hukaripiwa nao wote,+ huchunguzwa sana na wote; 25 siri za moyo wake hufunuliwa,+ hivi kwamba ataanguka kifudifudi na kumwabudu Mungu, akitangaza: “Kwa kweli Mungu yupo katikati yenu.”+

26 Basi, nini lifanywe akina ndugu? Mnapokuja pamoja, mmoja ana zaburi, mwingine ana fundisho, mwingine ana ufunuo, mwingine ana lugha, mwingine ana fasiri.+ Mambo yote na yatendeke kwa ajili ya kujenga.+ 27 Na mtu akisema kwa lugha, na wawe wawili au, ikiwa ni zaidi, watatu, wasipite hapo, na kwa zamu; na mtu fulani atafsiri.+ 28 Lakini ikiwa hakuna mtafsiri, na akae kimya katika kutaniko na aseme moyoni mwake mwenyewe+ na kwa Mungu. 29 Zaidi ya hayo, manabii+ wawili au watatu na waseme, na wale wengine waitambue maana.+ 30 Lakini ikiwa kuna ufunuo kwa mwingine+ wakati ameketi hapo, yule wa kwanza na akae kimya. 31 Kwa maana nyote mnaweza kutoa unabii+ mtu mmoja-mmoja, ili wote wajifunze na wote watiwe moyo.+ 32 Na zawadi za roho ya manabii zinapaswa kuelekezwa na manabii. 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+

Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu, 34 wanawake na wakae kimya+ katika makutaniko, kwa maana hairuhusiwi kwao kusema, bali na wajitiishe,+ kama Sheria+ inavyosema. 35 Basi, ikiwa wanataka kujifunza jambo fulani, acheni wawaulize waume zao wenyewe nyumbani, kwa maana inafedhehesha+ kwa mwanamke kusema katika kutaniko.

36 Kwani! Je, neno la Mungu lilitoka kwenu,+ au je, liliwafikia ninyi tu?

37 Kama yeyote anafikiri kuwa yeye ni nabii au amepewa zawadi ya roho, acheni ayatambue mambo ninayowaandikia ninyi, kwa sababu hayo ni amri ya Bwana.+ 38 Lakini ikiwa yeyote hajui, yeye anaendelea bila kujua. 39 Kwa hiyo, ndugu zangu, endeleeni kutafuta kwa bidii kutoa unabii,+ na bado msikataze kusema kwa lugha.+ 40 Lakini mambo yote na yatendeke kwa adabu na kwa mpango.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki