Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 22:1

Marejeo

  • +Kum 12:5; 2Nya 3:1
  • +2Sa 24:18

1 Mambo ya Nyakati 22:2

Marejeo

  • +1Fa 9:21; 2Nya 2:17
  • +1Fa 5:17
  • +1Fa 6:7; 7:9

1 Mambo ya Nyakati 22:3

Marejeo

  • +1Fa 7:47

1 Mambo ya Nyakati 22:4

Marejeo

  • +2Sa 5:11
  • +1Fa 5:6
  • +2Nya 2:3

1 Mambo ya Nyakati 22:5

Marejeo

  • +1Fa 3:7; 1Nya 29:1
  • +2Nya 2:5; Zb 68:29
  • +Isa 64:11; Hag 2:3
  • +Mhu 9:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2017, uku. 29

1 Mambo ya Nyakati 22:7

Marejeo

  • +2Sa 7:2; 1Fa 8:17; Zb 132:5
  • +Kum 12:5

1 Mambo ya Nyakati 22:8

Marejeo

  • +1Nya 28:3
  • +1Fa 5:3
  • +1Nya 17:4; 2Nya 6:9

1 Mambo ya Nyakati 22:9

Marejeo

  • +2Sa 7:12; 1Nya 28:5
  • +1Fa 4:25; 5:4
  • +2Sa 12:24
  • +Zb 72:7; Isa 9:7

1 Mambo ya Nyakati 22:10

Marejeo

  • +1Fa 5:5; 1Nya 17:12
  • +1Nya 17:13
  • +2Sa 7:14; Ebr 1:5
  • +1Nya 17:14; Zb 89:36

1 Mambo ya Nyakati 22:11

Marejeo

  • +1Nya 28:20

1 Mambo ya Nyakati 22:12

Marejeo

  • +2Nya 1:10; Zb 72:1
  • +Kum 4:6; Zb 19:11

1 Mambo ya Nyakati 22:13

Marejeo

  • +Yos 1:8; 1Fa 2:3
  • +Kum 12:1; 17:19
  • +Law 19:37; 1Nya 28:7
  • +Hes 36:13
  • +Yos 1:6; 1Nya 28:20
  • +Kum 31:6
  • +Yos 1:9; 2Ti 1:7

1 Mambo ya Nyakati 22:14

Marejeo

  • +Ayu 14:1; Ro 8:22
  • +1Nya 29:4
  • +1Nya 29:2
  • +1Nya 29:7

1 Mambo ya Nyakati 22:15

Marejeo

  • +1Fa 5:17; 6:7; 7:9
  • +1Fa 7:14; Met 22:29

1 Mambo ya Nyakati 22:16

Marejeo

  • +1Nya 22:3
  • +Flp 2:13
  • +2Nya 1:1; Ro 8:31

1 Mambo ya Nyakati 22:18

Marejeo

  • +Amu 6:12
  • +2Sa 7:1; Met 16:7
  • +2Sa 5:20; Zb 44:2

1 Mambo ya Nyakati 22:19

Marejeo

  • +Kum 4:29
  • +2Nya 20:3; Da 9:3
  • +2Nya 20:8
  • +1Fa 6:1
  • +1Fa 8:6, 21; 2Nya 5:7
  • +Kum 12:21; 1Fa 8:29; 9:3

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 22:1Kum 12:5; 2Nya 3:1
1 Nya. 22:12Sa 24:18
1 Nya. 22:21Fa 9:21; 2Nya 2:17
1 Nya. 22:21Fa 5:17
1 Nya. 22:21Fa 6:7; 7:9
1 Nya. 22:31Fa 7:47
1 Nya. 22:42Sa 5:11
1 Nya. 22:41Fa 5:6
1 Nya. 22:42Nya 2:3
1 Nya. 22:51Fa 3:7; 1Nya 29:1
1 Nya. 22:52Nya 2:5; Zb 68:29
1 Nya. 22:5Isa 64:11; Hag 2:3
1 Nya. 22:5Mhu 9:10
1 Nya. 22:72Sa 7:2; 1Fa 8:17; Zb 132:5
1 Nya. 22:7Kum 12:5
1 Nya. 22:81Nya 28:3
1 Nya. 22:81Fa 5:3
1 Nya. 22:81Nya 17:4; 2Nya 6:9
1 Nya. 22:92Sa 7:12; 1Nya 28:5
1 Nya. 22:91Fa 4:25; 5:4
1 Nya. 22:92Sa 12:24
1 Nya. 22:9Zb 72:7; Isa 9:7
1 Nya. 22:101Fa 5:5; 1Nya 17:12
1 Nya. 22:101Nya 17:13
1 Nya. 22:102Sa 7:14; Ebr 1:5
1 Nya. 22:101Nya 17:14; Zb 89:36
1 Nya. 22:111Nya 28:20
1 Nya. 22:122Nya 1:10; Zb 72:1
1 Nya. 22:12Kum 4:6; Zb 19:11
1 Nya. 22:13Yos 1:8; 1Fa 2:3
1 Nya. 22:13Kum 12:1; 17:19
1 Nya. 22:13Law 19:37; 1Nya 28:7
1 Nya. 22:13Hes 36:13
1 Nya. 22:13Yos 1:6; 1Nya 28:20
1 Nya. 22:13Kum 31:6
1 Nya. 22:13Yos 1:9; 2Ti 1:7
1 Nya. 22:14Ayu 14:1; Ro 8:22
1 Nya. 22:141Nya 29:4
1 Nya. 22:141Nya 29:2
1 Nya. 22:141Nya 29:7
1 Nya. 22:151Fa 5:17; 6:7; 7:9
1 Nya. 22:151Fa 7:14; Met 22:29
1 Nya. 22:161Nya 22:3
1 Nya. 22:16Flp 2:13
1 Nya. 22:162Nya 1:1; Ro 8:31
1 Nya. 22:18Amu 6:12
1 Nya. 22:182Sa 7:1; Met 16:7
1 Nya. 22:182Sa 5:20; Zb 44:2
1 Nya. 22:19Kum 4:29
1 Nya. 22:192Nya 20:3; Da 9:3
1 Nya. 22:192Nya 20:8
1 Nya. 22:191Fa 6:1
1 Nya. 22:191Fa 8:6, 21; 2Nya 5:7
1 Nya. 22:19Kum 12:21; 1Fa 8:29; 9:3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 22:1-19

1 Mambo ya Nyakati

22 Ndipo Daudi akasema: “Hii ndiyo nyumba+ ya Yehova, Mungu wa kweli, na hii ndiyo madhabahu+ kwa ajili ya toleo la kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.”

2 Sasa Daudi akasema wakaaji wote wageni+ walio katika nchi ya Israeli wakusanywe, kisha akawaweka kuwa wachongaji wa mawe+ ili wachonge mawe ya mraba+ kwa ajili ya kujenga nyumba ya Mungu wa kweli. 3 Na Daudi akatayarisha chuma kwa wingi sana kwa ajili ya misumari ya milango ya malango na kwa ajili ya vibanio, na pia shaba nyingi isiyoweza kupimwa uzito,+ 4 na pia mbao za mierezi+ zisizo na hesabu; kwa maana Wasidoni+ na Watiro+ walimletea Daudi mbao za mierezi kwa wingi sana. 5 Kwa hiyo Daudi akasema: “Sulemani mwanangu ni mchanga na mwororo,+ na ile nyumba itakayojengewa Yehova inapaswa kuwa yenye utukufu+ zaidi kwa ajili ya uzuri+ wenye heshima kwa nchi zote. Basi, acha mimi nimfanyie matayarisho.” Hivyo Daudi akafanya matayarisho kwa wingi sana kabla ya kifo chake.+

6 Tena akamwita Sulemani mwana wake ili ampe amri ya kumjengea nyumba Yehova, Mungu wa Israeli. 7 Naye Daudi akamwambia Sulemani mwana wake: “Kwa habari yangu, nilitaka sana moyoni+ mwangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova, Mungu wangu. 8 Lakini neno la Yehova lilikuja dhidi yangu, na kusema, ‘Umemwaga damu nyingi sana,+ nawe umepigana vita vikubwa.+ Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ kwa kuwa umemwaga damu nyingi sana duniani mbele zangu. 9 Tazama! Utazaa mwana.+ Yeye atakuwa mtu mtulivu, nami nitampa pumziko kutoka kwa adui zake wote pande zote;+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,+ nami nitaleta juu ya Israeli amani+ na utulivu katika siku zake. 10 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ naye atakuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba+ yake. Nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme+ wake juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.’

11 “Sasa, mwanangu, Yehova na awe pamoja nawe, nawe upate mafanikio, ujenge nyumba ya Yehova, Mungu wako, kama alivyosema kukuhusu wewe.+ 12 Ila tu Yehova akupe busara na uelewaji,+ naye akupe amri kuhusu Israeli ili kuishika sheria ya Yehova, Mungu wako.+ 13 Hivyo utapata mafanikio+ ukiangalia kutenda masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Yehova alimwamuru+ Musa kuhusu Israeli. Uwe hodari na mwenye nguvu.+ Usiogope+ wala usiingiwe na hofu.+ 14 Na tazama, wakati wa mateso+ yangu nimetayarisha kwa ajili ya nyumba ya Yehova talanta mia moja elfu za dhahabu+ na talanta milioni moja za fedha, na hakuna namna ya kupima uzito wa shaba+ na chuma+ kwa sababu zimekuwa nyingi sana; nami nimetayarisha mbao na mawe, lakini utaviongeza vitu hivyo. 15 Nawe una wafanyakazi wengi sana, wachongaji wa mawe na wafanyakazi wa mawe+ na kila mwenye ustadi katika kila namna ya kazi.+ 16 Hakuna namna yoyote ya kuhesabu dhahabu, fedha na shaba na chuma.+ Simama, utende,+ na Yehova awe pamoja nawe.”+

17 Tena Daudi akawaamuru wakuu wote wa Israeli wamsaidie Sulemani mwana wake: 18 “Je, Yehova, Mungu wenu, hayuko pamoja nanyi,+ na je, hakuwapa pumziko kuzunguka pande zote?+ Kwa maana ametia mkononi mwangu wakaaji wa nchi, na nchi imetiishwa mbele za Yehova+ na mbele ya watu wake. 19 Basi kazeni mioyo yenu na nafsi+ zenu kumuuliza Yehova, Mungu wenu,+ na msimame, mjenge patakatifu+ pa Yehova, Mungu wa kweli,+ ili kuleta sanduku+ la agano la Yehova na vyombo vitakatifu vya Mungu wa kweli katika nyumba iliyojengwa kwa ajili ya jina+ la Yehova.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki