Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Timotheo 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Timotheo 2:1

Marejeo

  • +1Ti 1:2
  • +Efe 6:10
  • +Yoh 1:17

2 Timotheo 2:2

Marejeo

  • +2Ti 1:13; 3:14
  • +Mt 28:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2020, uku. 29

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2017, kur. 27-31

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    2/1/2010, kur. 29-30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/1 29-30

2 Timotheo 2:3

Marejeo

  • +1Ti 1:18
  • +2Ti 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1991, uku. 31

2 Timotheo 2:4

Marejeo

  • +Flm 2
  • +1Ko 9:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, kur. 17-18

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2017, kur. 10-11

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2007, uku. 28

    11/1/1991, uku. 17

    1/15/1991, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 5/1 28

2 Timotheo 2:5

Marejeo

  • +1Ko 9:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2011, uku. 8

    1/1/2001, kur. 28-29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 10/1 8; w06 3/1 30-31; w01 1/1 28-29

2 Timotheo 2:6

Marejeo

  • +1Ko 9:7, 10

2 Timotheo 2:7

Marejeo

  • +Kol 1:9; 1Yo 5:20

2 Timotheo 2:8

Marejeo

  • +Mdo 2:24; 1Ko 15:4
  • +Mdo 2:30; 13:23; Ro 1:3
  • +Mdo 28:31; Ro 2:16

2 Timotheo 2:9

Marejeo

  • +Mdo 9:16; Flp 1:7; 1Pe 2:20
  • +Kol 4:3

2 Timotheo 2:10

Marejeo

  • +Mt 22:14; 2Ko 1:6; Efe 3:13; Kol 1:24
  • +Kol 1:27; 2Th 2:14; 1Pe 5:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2020, uku. 28

2 Timotheo 2:11

Marejeo

  • +1Ti 1:15
  • +Ro 6:5, 8; 1Th 4:17

2 Timotheo 2:12

Marejeo

  • +Ufu 3:21; 20:4
  • +Mt 10:33; Lu 12:9

2 Timotheo 2:13

Marejeo

  • +1Th 5:24; 2Th 3:3; Ufu 3:14

2 Timotheo 2:14

Marejeo

  • +2Pe 1:12
  • +2Ti 4:1
  • +2Ko 12:3
  • +1Ti 1:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2014, uku. 14

2 Timotheo 2:15

Marejeo

  • +Ro 14:18; 1Th 2:4
  • +1Ti 4:6
  • +Tit 2:8
  • +2Ti 4:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    2/15/2010, kur. 11-12

    11/15/2003, kur. 9-10

    1/1/2003, kur. 27-28

    12/1/2002, uku. 16

    1/15/1997, uku. 7

    1/1/1996, kur. 29-31

    2/1/1987, uku. 15

    Shule ya Huduma, kur. 153-154

    Huduma ya Ufalme,

    6/1990, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/15 11-12; w03 1/1 27-28; w03 11/15 9-10; w02 12/1 16; be 153-154; w97 1/15 7; w96 1/1 29-31

2 Timotheo 2:16

Marejeo

  • +1Ti 4:7; 6:20
  • +2Ti 3:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2014, uku. 14

2 Timotheo 2:17

Marejeo

  • +1Ko 5:6
  • +1Ti 1:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/2006, uku. 5

    1/1/2003, kur. 28-29

    10/1/1989, kur. 18-19

    3/15/1986, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 12/1 5; w03 1/1 28

2 Timotheo 2:18

Marejeo

  • +1Ti 1:6
  • +1Ko 15:12
  • +1Ti 6:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/2006, uku. 5

    1/1/2003, kur. 28-29

    2/1/1987, uku. 27

    4/1/1986, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 12/1 5; w03 1/1 28

2 Timotheo 2:19

Marejeo

  • +Isa 28:16; Ebr 11:10
  • +Hes 16:5; 1Ko 8:3
  • +Isa 26:13; Sef 3:9, 12; Ro 10:13
  • +Sef 3:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2014, kur. 8-10, 12-16

2 Timotheo 2:20

Marejeo

  • +Ro 9:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    8/2019, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2014, kur. 15-16

    11/15/2002, uku. 19

    4/15/1993, uku. 15

    Amkeni!,

    8/22/2005, kur. 26-27

  • Fahirishi ya Machapisho

    g05 8/22 26-27; w02 11/15 19

2 Timotheo 2:21

Marejeo

  • +2Ti 3:17; Tit 3:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    8/2019, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2014, kur. 15-16

    11/15/2002, uku. 19

    4/15/1993, uku. 15

    Amkeni!,

    8/22/2005, kur. 26-27

  • Fahirishi ya Machapisho

    g05 8/22 26-27; w02 11/15 19

2 Timotheo 2:22

Marejeo

  • +1Ko 6:18; Efe 5:15
  • +1Ti 6:11
  • +1Pe 3:11
  • +Gal 5:22; 1Ti 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2014, uku. 16

    6/15/2008, kur. 10-11

    2/1/1996, kur. 25-26

    4/15/1993, kur. 14-19

    10/15/1990, kur. 28-29

    2/15/1988, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 6/15 10-11; w96 2/1 25-26

2 Timotheo 2:23

Marejeo

  • +1Ti 1:4; 4:7; Tit 3:9
  • +Mdo 23:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2014, kur. 14-15

2 Timotheo 2:24

Marejeo

  • +Tit 1:7
  • +1Th 2:7
  • +1Ti 3:2
  • +Mt 5:39

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 12

    Ufahamu, uku. 400

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2015, uku. 26

    4/1/2006, uku. 19

    5/15/2005, kur. 25-30

    4/1/2003, uku. 24

    Amkeni!,

    5/8/1992, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 4/1 19; w05 5/15 25-30; w03 4/1 24

2 Timotheo 2:25

Marejeo

  • +Met 15:1; Lu 17:3; Gal 6:1; Tit 3:2; 1Pe 3:15
  • +Mdo 11:18
  • +1Ti 2:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 12

    Ufahamu, uku. 400

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2006, uku. 19

    4/1/2003, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 4/1 19; w03 4/1 24

2 Timotheo 2:26

Marejeo

  • +2Ko 2:11; 1Ti 3:7
  • +Zb 124:7; Yoh 13:27; Mdo 5:3; 1Ti 1:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2012, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 8/15 20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Tim. 2:11Ti 1:2
2 Tim. 2:1Efe 6:10
2 Tim. 2:1Yoh 1:17
2 Tim. 2:22Ti 1:13; 3:14
2 Tim. 2:2Mt 28:20
2 Tim. 2:31Ti 1:18
2 Tim. 2:32Ti 1:8
2 Tim. 2:4Flm 2
2 Tim. 2:41Ko 9:7
2 Tim. 2:51Ko 9:25
2 Tim. 2:61Ko 9:7, 10
2 Tim. 2:7Kol 1:9; 1Yo 5:20
2 Tim. 2:8Mdo 2:24; 1Ko 15:4
2 Tim. 2:8Mdo 2:30; 13:23; Ro 1:3
2 Tim. 2:8Mdo 28:31; Ro 2:16
2 Tim. 2:9Mdo 9:16; Flp 1:7; 1Pe 2:20
2 Tim. 2:9Kol 4:3
2 Tim. 2:10Mt 22:14; 2Ko 1:6; Efe 3:13; Kol 1:24
2 Tim. 2:10Kol 1:27; 2Th 2:14; 1Pe 5:10
2 Tim. 2:111Ti 1:15
2 Tim. 2:11Ro 6:5, 8; 1Th 4:17
2 Tim. 2:12Ufu 3:21; 20:4
2 Tim. 2:12Mt 10:33; Lu 12:9
2 Tim. 2:131Th 5:24; 2Th 3:3; Ufu 3:14
2 Tim. 2:142Pe 1:12
2 Tim. 2:142Ti 4:1
2 Tim. 2:142Ko 12:3
2 Tim. 2:141Ti 1:4
2 Tim. 2:15Ro 14:18; 1Th 2:4
2 Tim. 2:151Ti 4:6
2 Tim. 2:15Tit 2:8
2 Tim. 2:152Ti 4:2
2 Tim. 2:161Ti 4:7; 6:20
2 Tim. 2:162Ti 3:13
2 Tim. 2:171Ko 5:6
2 Tim. 2:171Ti 1:20
2 Tim. 2:181Ti 1:6
2 Tim. 2:181Ko 15:12
2 Tim. 2:181Ti 6:21
2 Tim. 2:19Isa 28:16; Ebr 11:10
2 Tim. 2:19Hes 16:5; 1Ko 8:3
2 Tim. 2:19Isa 26:13; Sef 3:9, 12; Ro 10:13
2 Tim. 2:19Sef 3:13
2 Tim. 2:20Ro 9:21
2 Tim. 2:212Ti 3:17; Tit 3:1
2 Tim. 2:221Ko 6:18; Efe 5:15
2 Tim. 2:221Ti 6:11
2 Tim. 2:221Pe 3:11
2 Tim. 2:22Gal 5:22; 1Ti 1:5
2 Tim. 2:231Ti 1:4; 4:7; Tit 3:9
2 Tim. 2:23Mdo 23:9
2 Tim. 2:24Tit 1:7
2 Tim. 2:241Th 2:7
2 Tim. 2:241Ti 3:2
2 Tim. 2:24Mt 5:39
2 Tim. 2:25Met 15:1; Lu 17:3; Gal 6:1; Tit 3:2; 1Pe 3:15
2 Tim. 2:25Mdo 11:18
2 Tim. 2:251Ti 2:4
2 Tim. 2:262Ko 2:11; 1Ti 3:7
2 Tim. 2:26Zb 124:7; Yoh 13:27; Mdo 5:3; 1Ti 1:20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Timotheo 2:1-26

2 Timotheo

2 Kwa hiyo, wewe mtoto wangu,+ endelea kujipatia nguvu+ katika fadhili zisizostahiliwa+ ambazo ni kuhusiana na Kristo Yesu, 2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+ 3 Ukiwa askari-jeshi+ mwema wa Kristo Yesu shiriki sehemu yako katika kuvumilia uovu.+ 4 Mtu anayetumikia akiwa askari-jeshi+ hajihusishi katika shughuli za kibiashara za maisha,+ ili apate kibali cha yule aliyemwandika kuwa askari-jeshi. 5 Zaidi ya hayo, kama yeyote akishindana hata katika michezo,+ havikwi taji isipokuwa awe ameshindana kulingana na sheria. 6 Mkulima anayefanya kazi kwa bidii lazima awe wa kwanza kula sehemu ya matunda.+ 7 Fikiria daima yale ninayosema; kwa kweli Bwana atakupa wewe utambuzi+ katika mambo yote.

8 Kumbuka kwamba Yesu Kristo alifufuliwa kutoka kwa wafu+ na alikuwa wa uzao wa Daudi,+ kulingana na habari njema ninayohubiri;+ 9 ambayo kwa kuhusiana nayo ninavumilia uovu kufikia hatua ya vifungo vya gereza+ kama mtenda-maovu. Hata hivyo, neno la Mungu halifungwi.+ 10 Kwa hiyo ninaendelea kuvumilia mambo yote kwa sababu ya waliochaguliwa,+ ili wao pia wapate wokovu ulio katika muungano na Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele.+ 11 Neno hili ni la uaminifu:+ Hakika ikiwa tulikufa pamoja, tutaishi pamoja pia;+ 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana,+ yeye pia atatukana sisi; 13 tukikosa kuwa waaminifu, yeye anabaki akiwa mwaminifu,+ kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.

14 Endelea kuwakumbusha+ mambo haya, ukiwaagiza+ mbele za Mungu kama shahidi,+ wasipigane juu ya maneno,+ hilo ni jambo ambalo halifai hata kidogo kwa sababu huwaharibu wale wanaosikiliza. 15 Fanya kabisa yote unayoweza ili ujitoe kwa Mungu ukiwa mtu aliyekubaliwa,+ mfanyakazi+ asiye na lolote la kuonea aibu,+ ukilitumia sawasawa neno la kweli.+ 16 Lakini epuka kabisa maneno matupu ambayo huchafua mambo matakatifu;+ kwa maana wataendelea kwenye ukosefu wa kumwogopa Mungu ulio mwingi zaidi na zaidi,+ 17 na neno lao litaenea kama kidonda chenye kuoza.+ Himenayo na Fileto ni kati ya hao.+ 18 Watu hao wamegeuka kutoka kwenye kweli,+ wakisema kwamba ufufuo tayari umetukia;+ nao wanaipindua imani ya wengine.+ 19 Hata hivyo, msingi imara wa Mungu unakaa ukiwa umesimama,+ ukiwa na muhuri huu: “Yehova anawajua walio wake,”+ na: “Kila mtu anayelitaja jina la Yehova+ na aukatae ukosefu wa uadilifu.”+

20 Basi ndani ya nyumba kubwa mna vyombo vya dhahabu na fedha, na pia mna vyombo vya miti na vya udongo, na vingine ni kwa ajili ya kusudi lenye kuheshimika lakini vingine ni kwa ajili ya kusudi lenye kukosa heshima.+ 21 Kwa hiyo, kama yeyote akijiepusha kabisa na hawa wa mwisho, atakuwa chombo kwa ajili ya kusudi lenye kuheshimika, kilichotakaswa, chenye faida kwa bwana wake, kilichotayarishwa kwa ajili ya kila kazi njema.+ 22 Kwa hiyo, zikimbie tamaa zinazotukia ujanani,+ lakini fuatilia uadilifu,+ imani, upendo, amani,+ pamoja na wale wanaomwitia Bwana kutokana na moyo safi.+

23 Zaidi ya hayo, kataa maswali ya upumbavu na ya kijinga,+ ukijua hayo hutokeza mapigano.+ 24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+ 25 akiwafundisha kwa upole wale wasio na mwelekeo unaofaa;+ kwa kuwa huenda Mungu akawapa toba+ inayoongoza kwenye ujuzi sahihi juu ya kweli,+ 26 nao warudiwe na fahamu zao nzuri ili watoke katika mtego+ wa Ibilisi, kwa kuwa amewashika wakiwa hai+ kwa ajili ya mapenzi ya huyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki