Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike 1:1

Marejeo

  • +Mdo 15:27; 2Th 1:1; 1Pe 5:12
  • +Mdo 16:1
  • +Yoh 17:21
  • +1Ti 1:2

1 Wathesalonike 1:2

Marejeo

  • +Efe 1:16; 2Th 1:11

1 Wathesalonike 1:3

Marejeo

  • +Ebr 6:10
  • +1Pe 1:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2007, kur. 6-7

    Huduma ya Ufalme,

    2/2000, uku. 4

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 3/15 6-7; km 2/00 4

1 Wathesalonike 1:4

Marejeo

  • +Kol 3:12; 2Th 2:13

1 Wathesalonike 1:5

Marejeo

  • +1Ko 2:4
  • +Kol 4:12
  • +1Ko 9:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Shule ya Huduma, uku. 194

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/2000, uku. 16

    Huduma ya Ufalme,

    2/2000, kur. 3-4

  • Fahirishi ya Machapisho

    be 194; w00 3/1 16; km 2/00 3-4

1 Wathesalonike 1:6

Marejeo

  • +1Ko 11:1; Flp 3:17; 2Th 3:9
  • +1Pe 2:21
  • +1Th 2:14
  • +Mdo 13:52

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Huduma ya Ufalme,

    2/2000, kur. 3-4

  • Fahirishi ya Machapisho

    km 2/00 3-4

1 Wathesalonike 1:8

Marejeo

  • +Isa 39:5; 66:5; 1Pe 1:23
  • +2Th 1:4
  • +Ro 1:8; 10:18

1 Wathesalonike 1:9

Marejeo

  • +1Ko 10:14; 12:2; Gal 4:8; 1Yo 5:21
  • +Mdo 14:15; 1Ti 4:10
  • +Yoh 17:3; 1Ko 8:4

1 Wathesalonike 1:10

Marejeo

  • +Tit 2:13
  • +Mdo 1:11
  • +Mdo 2:24
  • +1Th 5:2; 2Pe 3:12; Ufu 6:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    8/15/2010, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 8/15 13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 The. 1:1Mdo 15:27; 2Th 1:1; 1Pe 5:12
1 The. 1:1Mdo 16:1
1 The. 1:1Yoh 17:21
1 The. 1:11Ti 1:2
1 The. 1:2Efe 1:16; 2Th 1:11
1 The. 1:3Ebr 6:10
1 The. 1:31Pe 1:3
1 The. 1:4Kol 3:12; 2Th 2:13
1 The. 1:51Ko 9:19
1 The. 1:51Ko 2:4
1 The. 1:5Kol 4:12
1 The. 1:61Ko 11:1; Flp 3:17; 2Th 3:9
1 The. 1:61Pe 2:21
1 The. 1:61Th 2:14
1 The. 1:6Mdo 13:52
1 The. 1:8Isa 39:5; 66:5; 1Pe 1:23
1 The. 1:82Th 1:4
1 The. 1:8Ro 1:8; 10:18
1 The. 1:91Ko 10:14; 12:2; Gal 4:8; 1Yo 5:21
1 The. 1:9Mdo 14:15; 1Ti 4:10
1 The. 1:9Yoh 17:3; 1Ko 8:4
1 The. 1:10Tit 2:13
1 The. 1:10Mdo 1:11
1 The. 1:10Mdo 2:24
1 The. 1:101Th 5:2; 2Pe 3:12; Ufu 6:17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wathesalonike 1:1-10

1 Wathesalonike

Barua ya Kwanza kwa Wathesalonike

1 Paulo na Silvano+ na Timotheo+ kwa kutaniko la Wathesalonike katika muungano+ na Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo:

Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani.+

2 Sikuzote sisi humshukuru Mungu tunapowataja ninyi nyote katika sala zetu,+ 3 kwa maana daima sisi hukumbuka akilini kazi yenu ya uaminifu+ na kazi yenu ya jasho yenye upendo na uvumilivu wenu kwa sababu ya tumaini+ lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo mbele za Mungu wetu na Baba. 4 Kwa maana tunajua, akina ndugu mnaopendwa na Mungu, kuchaguliwa kwenu naye,+ 5 kwa sababu habari njema tunayohubiri haikutokea katikati yenu kwa maneno peke yake bali pia kwa nguvu+ na kwa roho takatifu na usadikisho+ wenye nguvu, kama vile mnavyojua namna ya watu ambao sisi tulikuwa kwenu kwa ajili yenu;+ 6 nanyi mkawa waigaji+ wetu na wa Bwana,+ kwa kuwa mlilipokea neno chini ya dhiki+ nyingi pamoja na shangwe ya roho takatifu,+ 7 hivi kwamba mkawa kielelezo kwa waamini wote katika Makedonia na katika Akaya.

8 Ukweli ni kwamba, si kwamba neno la Yehova+ kutoka kwenu limevuma tu katika Makedonia na Akaya, bali pia kila mahali imani yenu+ kwa Mungu imeenea kotekote,+ hivi kwamba hatuhitaji kusema lolote. 9 Kwa maana wao wenyewe wanaendelea kutoa habari kuhusu namna tulivyoingia kwanza katikati yenu na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkatoka kwenye sanamu+ zenu ili mmtumikie Mungu aliye hai+ na wa kweli,+ 10 na kumngojea+ Mwana wake kutoka mbinguni,+ ambaye yeye alimfufua kutoka kwa wafu,+ yaani, Yesu, anayetukomboa sisi kutoka kwenye ghadhabu inayokuja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki