Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 18:1

Marejeo

  • +1Sa 14:1, 49; 2Sa 1:4
  • +Mwa 44:30; 1Pe 1:22
  • +1Sa 19:2; 20:17, 41; 2Sa 1:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 3

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2021, kur. 21-22

    Furahia Maisha Milele!, somo la 48

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1989, kur. 24, 28

1 Samweli 18:2

Marejeo

  • +1Sa 8:11; 16:22; 17:15

1 Samweli 18:3

Marejeo

  • +1Sa 20:8, 42; 23:18; 2Sa 9:1; 21:7
  • +Met 17:17; 18:24; Kol 3:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 3

1 Samweli 18:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 3

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1989, uku. 24

1 Samweli 18:5

Marejeo

  • +Yos 1:7; 1Sa 18:30; Met 14:35
  • +1Sa 14:52; Met 20:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1989, uku. 13

1 Samweli 18:6

Marejeo

  • +Kut 15:21; Amu 5:1
  • +Kut 15:20; Amu 11:34; Zb 68:25
  • +Yer 31:13

1 Samweli 18:7

Marejeo

  • +1Sa 21:11; 29:5; Met 15:30

1 Samweli 18:8

Marejeo

  • +Mwa 4:5; Met 14:30; 27:4; Yak 3:16
  • +1Sa 13:14; 15:28; 16:13; 20:31; 24:20

1 Samweli 18:9

Marejeo

  • +1Sa 20:33; 21:10; Met 27:4; 1Ti 6:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 3

1 Samweli 18:10

Marejeo

  • +Efe 4:26
  • +Amu 9:23; 1Sa 16:14; 19:9; Ayu 34:12
  • +1Sa 10:6, 11; 19:24
  • +1Sa 16:16, 23
  • +1Sa 19:9

1 Samweli 18:11

Marejeo

  • +1Sa 19:10; 20:33
  • +Met 27:4; 1Yo 3:15; 4:20
  • +Zb 37:32; Lu 4:30; Yoh 8:59

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 4

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/15 4

1 Samweli 18:12

Marejeo

  • +1Sa 18:29
  • +1Sa 16:13
  • +1Sa 16:14; 28:15

1 Samweli 18:13

Marejeo

  • +1Sa 18:5
  • +Hes 27:17; 2Sa 5:2; Zb 121:8

1 Samweli 18:14

Marejeo

  • +1Sa 18:5
  • +Mwa 39:2; Yos 6:27; 1Sa 10:7; 16:18

1 Samweli 18:15

Marejeo

  • +Yos 1:7; Met 20:18

1 Samweli 18:17

Marejeo

  • +1Sa 14:49
  • +1Sa 17:25
  • +1Sa 25:28
  • +1Sa 18:25; 2Sa 11:15; 12:9; Zb 7:16

1 Samweli 18:18

Marejeo

  • +2Sa 7:18; Met 15:33; 18:12; 22:4; Yak 4:6; 1Pe 5:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2004, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 4/1 15

1 Samweli 18:19

Marejeo

  • +2Sa 21:8
  • +Amu 7:22; 2Sa 21:8

1 Samweli 18:20

Marejeo

  • +1Sa 14:49; 19:11; 25:44; 2Sa 3:13; 6:16; 1Nya 15:29

1 Samweli 18:21

Marejeo

  • +Kut 10:7; 1Sa 18:17; Zb 7:14; 38:12; Met 26:24; Yer 9:8

1 Samweli 18:23

Marejeo

  • +1Sa 18:18
  • +Zb 119:141

1 Samweli 18:25

Marejeo

  • +Mwa 29:18; 34:12; Kut 22:16
  • +Amu 14:3; 1Sa 17:26, 36; 21:11; 2Sa 1:20; 3:14
  • +1Sa 14:24

1 Samweli 18:26

Marejeo

  • +1Sa 18:21

1 Samweli 18:27

Marejeo

  • +Amu 14:19
  • +2Sa 3:14
  • +1Sa 17:25

1 Samweli 18:28

Marejeo

  • +1Sa 16:13; 24:20
  • +1Sa 18:20

1 Samweli 18:29

Marejeo

  • +1Sa 18:9, 12; 20:33; Zb 37:12

1 Samweli 18:30

Marejeo

  • +1Sa 29:3
  • +1Sa 18:5; 1Fa 2:3; Zb 119:99
  • +2Sa 7:9; Met 22:1; Mhu 7:1

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 18:11Sa 14:1, 49; 2Sa 1:4
1 Sam. 18:1Mwa 44:30; 1Pe 1:22
1 Sam. 18:11Sa 19:2; 20:17, 41; 2Sa 1:26
1 Sam. 18:21Sa 8:11; 16:22; 17:15
1 Sam. 18:31Sa 20:8, 42; 23:18; 2Sa 9:1; 21:7
1 Sam. 18:3Met 17:17; 18:24; Kol 3:14
1 Sam. 18:5Yos 1:7; 1Sa 18:30; Met 14:35
1 Sam. 18:51Sa 14:52; Met 20:18
1 Sam. 18:6Kut 15:21; Amu 5:1
1 Sam. 18:6Kut 15:20; Amu 11:34; Zb 68:25
1 Sam. 18:6Yer 31:13
1 Sam. 18:71Sa 21:11; 29:5; Met 15:30
1 Sam. 18:8Mwa 4:5; Met 14:30; 27:4; Yak 3:16
1 Sam. 18:81Sa 13:14; 15:28; 16:13; 20:31; 24:20
1 Sam. 18:91Sa 20:33; 21:10; Met 27:4; 1Ti 6:4
1 Sam. 18:10Efe 4:26
1 Sam. 18:10Amu 9:23; 1Sa 16:14; 19:9; Ayu 34:12
1 Sam. 18:101Sa 10:6, 11; 19:24
1 Sam. 18:101Sa 16:16, 23
1 Sam. 18:101Sa 19:9
1 Sam. 18:111Sa 19:10; 20:33
1 Sam. 18:11Met 27:4; 1Yo 3:15; 4:20
1 Sam. 18:11Zb 37:32; Lu 4:30; Yoh 8:59
1 Sam. 18:121Sa 18:29
1 Sam. 18:121Sa 16:13
1 Sam. 18:121Sa 16:14; 28:15
1 Sam. 18:131Sa 18:5
1 Sam. 18:13Hes 27:17; 2Sa 5:2; Zb 121:8
1 Sam. 18:141Sa 18:5
1 Sam. 18:14Mwa 39:2; Yos 6:27; 1Sa 10:7; 16:18
1 Sam. 18:15Yos 1:7; Met 20:18
1 Sam. 18:171Sa 14:49
1 Sam. 18:171Sa 17:25
1 Sam. 18:171Sa 25:28
1 Sam. 18:171Sa 18:25; 2Sa 11:15; 12:9; Zb 7:16
1 Sam. 18:182Sa 7:18; Met 15:33; 18:12; 22:4; Yak 4:6; 1Pe 5:6
1 Sam. 18:192Sa 21:8
1 Sam. 18:19Amu 7:22; 2Sa 21:8
1 Sam. 18:201Sa 14:49; 19:11; 25:44; 2Sa 3:13; 6:16; 1Nya 15:29
1 Sam. 18:21Kut 10:7; 1Sa 18:17; Zb 7:14; 38:12; Met 26:24; Yer 9:8
1 Sam. 18:231Sa 18:18
1 Sam. 18:23Zb 119:141
1 Sam. 18:25Mwa 29:18; 34:12; Kut 22:16
1 Sam. 18:25Amu 14:3; 1Sa 17:26, 36; 21:11; 2Sa 1:20; 3:14
1 Sam. 18:251Sa 14:24
1 Sam. 18:261Sa 18:21
1 Sam. 18:27Amu 14:19
1 Sam. 18:272Sa 3:14
1 Sam. 18:271Sa 17:25
1 Sam. 18:281Sa 16:13; 24:20
1 Sam. 18:281Sa 18:20
1 Sam. 18:291Sa 18:9, 12; 20:33; Zb 37:12
1 Sam. 18:301Sa 29:3
1 Sam. 18:301Sa 18:5; 1Fa 2:3; Zb 119:99
1 Sam. 18:302Sa 7:9; Met 22:1; Mhu 7:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 18:1-30

1 Samweli

18 Na ikawa kwamba, mara tu alipomaliza kusema na Sauli, nafsi ya Yonathani+ ikashikamana+ na nafsi ya Daudi, na Yonathani akaanza kumpenda kama nafsi yake mwenyewe.+ 2 Ndipo Sauli akamchukua siku hiyo, naye hakumruhusu arudi nyumbani kwa baba yake.+ 3 Na Yonathani na Daudi wakafanya agano,+ kwa maana alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.+ 4 Zaidi ya hayo, Yonathani akavua koti lake lisilo na mikono alilokuwa amevaa, akampa Daudi, na pia mavazi yake, na hata upanga wake na upinde wake na mshipi wake. 5 Naye Daudi akaanza kutoka. Popote ambapo Sauli alikuwa akimtuma, alitenda kwa busara,+ hivi kwamba Sauli akamweka juu ya watu wa vita;+ na ikaonekana vema machoni pa watu wote na pia machoni pa watumishi wa Sauli.

6 Na ikawa kwamba walipokuwa wakiingia, wakati Daudi aliporudi kutoka katika kuwapiga Wafilisti, wanawake wakaanza kutoka katika majiji yote ya Israeli wakiimba+ na kucheza dansi ili kumpokea Sauli, mfalme, wakiwa na matari,+ kwa kushangilia+ na wakiwa na udi. 7 Na wale wanawake waliokuwa wakisherehekea wakawa wakiitikia na kusema:

“Sauli amepiga maelfu yake,

Na Daudi makumi ya maelfu yake.”+

8 Na Sauli akaanza kukasirika sana,+ na neno hilo lilikuwa baya kwa maoni yake, hivi kwamba akasema: “Wamempa Daudi makumi ya maelfu, lakini mimi wamenipa maelfu, basi inabaki tu apewe ufalme!”+ 9 Basi Sauli akawa akimtilia Daudi shaka tangu siku hiyo na kuendelea.+

10 Na ikawa kesho yake+ kwamba roho mbaya ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu ya Sauli,+ hivi kwamba akatenda kama nabii+ ndani ya nyumba, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake,+ kama katika siku za hapo zamani; na mkuki ulikuwa mkononi mwa Sauli.+ 11 Ndipo Sauli akautupa mkuki+ na kusema: “Nitampigilia Daudi ukutani!”+ lakini Daudi akakwepa kutoka mbele yake, mara mbili.+ 12 Na Sauli akaanza kumwogopa+ Daudi kwa maana Yehova alikuwa pamoja naye,+ lakini alikuwa amemwacha Sauli.+ 13 Kwa hiyo Sauli akamwondoa katika ushirika wake,+ akamweka kuwa mkuu wa watu elfu kwa ajili yake; naye akatoka na kuingia kwa ukawaida mbele ya watu.+ 14 Na Daudi alikuwa akitenda kwa busara+ katika njia zake zote, na Yehova alikuwa pamoja naye.+ 15 Na Sauli akaendelea kuona kwamba yeye anatenda kwa busara sana,+ hivi kwamba akamwogopa. 16 Na Israeli na Yuda wote wakampenda Daudi, kwa maana alikuwa akitoka na kuingia mbele yao.

17 Mwishowe Sauli akamwambia Daudi: “Huyu hapa Merabu binti yangu mkubwa zaidi.+ Yeye ndiye nitakayekupa awe mke wako.+ Ila tu jionyeshe kwangu kuwa shujaa na upigane vita vya Yehova.”+ Lakini Sauli alisema moyoni mwake hivi: “Mkono wangu usije juu yake, lakini mkono wa Wafilisti uje juu yake.”+ 18 Ndipo Daudi akamwambia Sauli: “Mimi ni nani na watu wa ukoo wangu ni nani, familia ya baba yangu, katika Israeli, hata niwe mwana-mkwe wa mfalme?”+ 19 Hata hivyo, ikawa kwamba wakati Daudi alipopaswa kupewa Merabu, binti ya Sauli, Adrieli+ Mmeholathi+ alikuwa tayari amepewa Merabu, kuwa mke wake.

20 Basi Mikali,+ binti ya Sauli, alikuwa anampenda Daudi, nao wakamletea Sauli habari hiyo, na jambo hilo likampendeza. 21 Kwa hiyo Sauli akasema: “Nitampa yeye ili awe mtego kwake,+ na ili mkono wa Wafilisti uje juu yake.” Basi Sauli akamwambia Daudi: “Utafanya nami mapatano ya ndoa leo kwa mmoja wa hao wanawake wawili.” 22 Zaidi ya hayo, Sauli akawaamuru watumishi wake: “Semeni hivi na Daudi kisiri, ‘Tazama! Mfalme amependezwa nawe, na watumishi wake wote wamekupenda wewe. Basi sasa fanya mapatano ya ndoa na mfalme.’” 23 Ndipo watumishi wa Sauli wakaanza kusema maneno hayo masikioni mwa Daudi, lakini Daudi akasema: “Je, ni jambo rahisi machoni penu kufanya mapatano ya ndoa na mfalme, na huku mimi ni mtu maskini,+ mwenye heshima ndogo?”+ 24 Kisha watumishi wa Sauli wakamletea habari, wakisema: “Daudi alisema hivi na hivi.”

25 Kwa hiyo Sauli akasema: “Mwambieni Daudi hivi, ‘Mfalme hapendezwi na pesa za mahari,+ lakini anapendezwa na magovi+ mia moja ya Wafilisti, ili ajilipize kisasi+ juu ya adui za mfalme.’” Lakini Sauli alikuwa amepanga hila kwamba Daudi aanguke kwa upanga mkononi mwa Wafilisti. 26 Basi watumishi wake wakampelekea Daudi habari hiyo, naye Daudi akapendezwa na jambo hilo, la kufanya mapatano ya ndoa+ na mfalme, na siku hazikuwa bado zimekwisha. 27 Kwa hiyo Daudi akaondoka pamoja na watu wake, akapiga+ watu mia mbili kati ya Wafilisti, na Daudi akaleta magovi yao,+ akampa mfalme hesabu yake kamili, ili kufanya mapatano ya ndoa na mfalme. Naye Sauli akampa Mikali binti yake awe mke wake.+ 28 Na Sauli akaona na kujua kwamba Yehova alikuwa pamoja na Daudi.+ Naye Mikali, binti ya Sauli, alimpenda yeye.+ 29 Na Sauli akaogopa zaidi tena kwa sababu ya Daudi, Sauli akawa adui ya Daudi sikuzote.+

30 Nao wakuu+ wa Wafilisti wakawa wakitoka, na ikawa kwamba kadiri walivyotoka mara nyingi ndivyo Daudi alivyotenda kwa busara+ zaidi kati ya watumishi wote wa Sauli; na jina lake likaja kuwa lenye thamani sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki