Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho 4:1

Marejeo

  • +Ro 11:13; 1Ti 1:12
  • +Mdo 9:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    8/15/2005, kur. 14-15

    7/15/1990, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/15 15

2 Wakorintho 4:2

Marejeo

  • +Ro 6:21
  • +2Ko 2:17; 6:3; 8:20; Gal 1:9
  • +2Ko 6:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    8/15/2005, kur. 14-15

    10/1/1997, kur. 18-20

    5/1/1997, kur. 6-7

    7/15/1990, uku. 18

    Shule ya Huduma, uku. 153

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/15 15; be 153; w97 5/1 6-7; w97 10/1 18-20

2 Wakorintho 4:3

Marejeo

  • +2Ko 2:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    8/15/2005, kur. 21-22

    7/15/1990, kur. 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/15 21-22

2 Wakorintho 4:4

Marejeo

  • +Yoh 14:30; Efe 2:2; 1Yo 5:19
  • +2Ko 11:14
  • +Mt 5:14
  • +1Ti 1:11
  • +Kol 1:15; Ebr 1:3
  • +Isa 60:2; Yoh 8:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    4/22/2005, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1990, kur. 13-15

    7/15/1990, kur. 16-17, 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    g05 4/22 9

2 Wakorintho 4:5

Marejeo

  • +1Ko 1:23
  • +Mt 20:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, kur. 18-19

2 Wakorintho 4:6

Marejeo

  • +Mwa 1:3
  • +1Pe 2:9
  • +Yoh 17:3
  • +2Pe 1:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2004, uku. 17

    3/1/2002, uku. 8

    7/15/1990, kur. 16-17, 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 3/15 17; w02 3/1 8

2 Wakorintho 4:7

Marejeo

  • +2Ko 4:1
  • +Mdo 9:15; 1Th 4:4
  • +Zb 8:4; Isa 64:8; 1Ko 15:47
  • +Efe 1:19
  • +1Ko 2:5
  • +2Ko 12:9; Flp 4:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2017, kur. 10-11

    Mrudie Yehova, uku. 6

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2012, kur. 28-29

    7/1/2000, uku. 18

    3/15/1999, uku. 11

    2/1/1999, uku. 14

    2/1/1992, uku. 32

    7/15/1990, kur. 15-16, 19

    Huduma Yetu ya Ufalme,

    2/2007, uku. 1

    1/1998, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 2/1 28-29; km 2/07 1; w00 7/1 18; w99 2/1 14; w99 3/15 11; km 1/98 1

2 Wakorintho 4:8

Marejeo

  • +2Ko 7:5
  • +Zb 7:1; 1Ko 10:13

2 Wakorintho 4:9

Marejeo

  • +Ebr 13:5
  • +Mdo 14:19
  • +Ufu 2:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1990, uku. 5

2 Wakorintho 4:10

Marejeo

  • +Ro 8:38; Flp 3:10; 1Pe 4:13
  • +Mdo 4:13

2 Wakorintho 4:11

Marejeo

  • +Ro 8:36; 1Ko 4:9; 15:31
  • +2Ko 6:9

2 Wakorintho 4:12

Marejeo

  • +2Ko 2:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1990, kur. 19-20

2 Wakorintho 4:13

Marejeo

  • +Zb 116:10

2 Wakorintho 4:14

Marejeo

  • +Ro 8:11; 1Ko 6:14

2 Wakorintho 4:15

Marejeo

  • +1Ko 3:21
  • +2Ti 2:10

2 Wakorintho 4:16

Marejeo

  • +Ro 7:22; Kol 3:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    5/2019, uku. 2

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 28

    8/15/2004, uku. 25

    5/15/1996, uku. 32

    Amkeni!,

    8/8/1992, uku. 31

    Kutoa Sababu, uku. 107

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 28; w04 8/15 25; rs 107; w96 5/15 32

2 Wakorintho 4:17

Marejeo

  • +1Pe 1:6
  • +Mt 5:12; Ro 8:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 724

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1996, kur. 27-28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 2/15 27-28

2 Wakorintho 4:18

Marejeo

  • +Ro 8:34; 2Ko 5:7; Ebr 11:1
  • +Zb 37:10; Yak 1:11
  • +Da 7:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    5/2020, kur. 26-31

    Ibada Safi, uku. 36

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1996, kur. 27-29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 2/15 27-29

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 4:1Ro 11:13; 1Ti 1:12
2 Kor. 4:1Mdo 9:15
2 Kor. 4:2Ro 6:21
2 Kor. 4:22Ko 2:17; 6:3; 8:20; Gal 1:9
2 Kor. 4:22Ko 6:4
2 Kor. 4:32Ko 2:15
2 Kor. 4:4Yoh 14:30; Efe 2:2; 1Yo 5:19
2 Kor. 4:42Ko 11:14
2 Kor. 4:4Mt 5:14
2 Kor. 4:41Ti 1:11
2 Kor. 4:4Kol 1:15; Ebr 1:3
2 Kor. 4:4Isa 60:2; Yoh 8:12
2 Kor. 4:51Ko 1:23
2 Kor. 4:5Mt 20:27
2 Kor. 4:6Mwa 1:3
2 Kor. 4:61Pe 2:9
2 Kor. 4:6Yoh 17:3
2 Kor. 4:62Pe 1:3
2 Kor. 4:72Ko 4:1
2 Kor. 4:7Mdo 9:15; 1Th 4:4
2 Kor. 4:7Zb 8:4; Isa 64:8; 1Ko 15:47
2 Kor. 4:7Efe 1:19
2 Kor. 4:71Ko 2:5
2 Kor. 4:72Ko 12:9; Flp 4:13
2 Kor. 4:82Ko 7:5
2 Kor. 4:8Zb 7:1; 1Ko 10:13
2 Kor. 4:9Ebr 13:5
2 Kor. 4:9Mdo 14:19
2 Kor. 4:9Ufu 2:10
2 Kor. 4:10Ro 8:38; Flp 3:10; 1Pe 4:13
2 Kor. 4:10Mdo 4:13
2 Kor. 4:11Ro 8:36; 1Ko 4:9; 15:31
2 Kor. 4:112Ko 6:9
2 Kor. 4:122Ko 2:16
2 Kor. 4:13Zb 116:10
2 Kor. 4:14Ro 8:11; 1Ko 6:14
2 Kor. 4:151Ko 3:21
2 Kor. 4:152Ti 2:10
2 Kor. 4:16Ro 7:22; Kol 3:10
2 Kor. 4:171Pe 1:6
2 Kor. 4:17Mt 5:12; Ro 8:18
2 Kor. 4:18Ro 8:34; 2Ko 5:7; Ebr 11:1
2 Kor. 4:18Zb 37:10; Yak 1:11
2 Kor. 4:18Da 7:27
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 4:1-18

2 Wakorintho

4 Hiyo ndiyo sababu, kwa kuwa sisi tuna huduma+ hii kulingana na rehema tuliyoonyeshwa,+ hatufi moyo; 2 bali tumeyakataa mambo ya kichinichini ambayo ni ya kuonea aibu,+ si kutembea kwa ujanja, wala kulichanganya na kitu neno la Mungu,+ bali kwa kufanya kweli iwe wazi tukijipendekeza kwa kila dhamiri ya kibinadamu machoni pa Mungu.+ 3 Basi, ikiwa kwa kweli habari njema tunayotangaza imefunikwa utaji, imefunikwa utaji katikati ya wale wanaoangamia,+ 4 ambao katikati yao mungu wa mfumo huu wa mambo+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru+ ya habari njema yenye utukufu+ juu ya Kristo, aliye mfano+ wa Mungu, isipenyeze mwangaza.+ 5 Kwa maana sisi tunahubiri, si juu yetu wenyewe, bali juu ya Kristo Yesu kuwa ni Bwana,+ na sisi wenyewe kuwa ni watumwa+ wenu kwa ajili ya Yesu. 6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi+ wenye utukufu juu ya Mungu kwa uso wa Kristo.+

7 Hata hivyo, sisi tuna hazina+ hii katika vyombo+ vya udongo,+ ili nguvu+ zinazopita zile za kawaida ziwe za Mungu+ na si zile za kutoka ndani yetu wenyewe.+ 8 Tunakazwa katika kila njia,+ lakini hatubanwi kupita kiasi cha kuweza kusonga; tunafadhaishwa, lakini si bila njia ya kutokea kabisa;+ 9 tunateswa, lakini hatuachwi kabisa bila msaada;+ tunaangushwa chini,+ lakini hatuangamizwi.+ 10 Sikuzote kila mahali katika mwili wetu tunavumilia matendo yenye kuleta kifo ambayo Yesu alitendewa,+ ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu.+ 11 Kwa maana sisi tunaoishi tunaletwa uso kwa uso na kifo+ sikuzote kwa ajili ya Yesu, ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu unaoweza kufa.+ 12 Kwa sababu hiyo kifo kinafanya kazi ndani yetu, lakini uzima ndani yenu.+

13 Basi kwa sababu tuna roho ileile ya imani kama ile ambayo imeandikwa hivi juu yake: “Mimi nilionyesha imani, kwa hiyo nikasema,”+ sisi pia tunaonyesha imani na kwa hiyo tunasema, 14 tukijua kwamba yeye ambaye alimfufua Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu naye atatutokeza sisi pamoja nanyi.+ 15 Kwa maana mambo yote ni kwa ajili yenu,+ ili fadhili zisizostahiliwa zilizozidishwa ziwe nyingi kwa sababu ya kutoa shukrani kwa wengi zaidi kwa utukufu wa Mungu.+

16 Kwa hiyo hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu tuliye kwa nje anachakaa, hakika mtu tuliye kwa ndani+ anafanywa upya siku baada ya siku. 17 Kwa maana ingawa dhiki ni ya dakika na ni nyepesi,+ hiyo inatufanyizia utukufu wenye uzito mkubwa zaidi na zaidi na ni wa milele;+ 18 huku tukiendelea kukaza macho yetu, si juu ya vitu vinavyoonekana, bali juu ya vitu visivyoonekana.+ Kwa maana vitu vinavyoonekana ni vya muda,+ lakini vitu visivyoonekana ni vya milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki