Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 11:1

Marejeo

  • +Kum 17:17; Ne 13:26
  • +1Fa 3:1
  • +Mwa 19:37; Ru 4:10
  • +1Fa 14:21
  • +Kum 23:7
  • +1Fa 16:31
  • +Mwa 26:34

1 Wafalme 11:2

Marejeo

  • +Kum 7:3
  • +Kut 34:16; Yos 23:12; Ezr 9:12; 10:2; 2Ko 6:14
  • +Mwa 34:3

1 Wafalme 11:3

Marejeo

  • +Met 28:14; Yer 18:12; Ebr 3:12

1 Wafalme 11:4

Marejeo

  • +1Fa 11:42
  • +Kum 7:4; 17:17; Ne 13:26
  • +Kum 31:16; 32:21; 1Ko 8:4
  • +Ufu 2:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    7/1/2005, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 7/1 29

1 Wafalme 11:5

Marejeo

  • +Amu 2:13; 1Sa 12:10
  • +Law 18:21; 2Fa 23:13

1 Wafalme 11:6

Marejeo

  • +2Sa 7:14
  • +1Fa 15:5

1 Wafalme 11:7

Marejeo

  • +Law 26:30; Hes 33:52; 2Fa 21:3
  • +Hes 21:29; Yer 48:13
  • +Kum 13:14; 27:15; Ufu 17:4
  • +2Fa 23:13; Mt 26:30; Mdo 1:12
  • +Eze 11:23

1 Wafalme 11:8

Marejeo

  • +Ne 13:26
  • +Yer 1:16; 7:18

1 Wafalme 11:9

Marejeo

  • +Zb 90:7
  • +Kum 7:4; Met 4:23; Ebr 3:12
  • +1Fa 3:5; 9:2

1 Wafalme 11:10

Marejeo

  • +1Fa 6:12; 2Nya 7:19

1 Wafalme 11:11

Marejeo

  • +2Fa 17:21

1 Wafalme 11:12

Marejeo

  • +1Fa 21:29
  • +Zb 89:35
  • +2Nya 10:18

1 Wafalme 11:13

Marejeo

  • +2Sa 7:15; 1Nya 17:13; Zb 89:33
  • +1Fa 12:20; 2Nya 11:1
  • +Kum 12:11; 1Fa 11:32; Isa 60:14

1 Wafalme 11:14

Marejeo

  • +Mwa 27:40; 1Sa 29:4; 1Fa 5:4
  • +Kum 31:17; 2Sa 7:14
  • +2Sa 8:14; 1Nya 18:12; Zb 60:utangulizi

1 Wafalme 11:15

Marejeo

  • +2Sa 8:13
  • +Kum 20:13

1 Wafalme 11:18

Marejeo

  • +Mwa 25:2
  • +Mwa 21:21; Hes 10:12; Kum 33:2

1 Wafalme 11:19

Marejeo

  • +Mwa 39:4
  • +Mwa 41:45

1 Wafalme 11:20

Marejeo

  • +Mwa 21:8; 1Sa 1:23

1 Wafalme 11:21

Marejeo

  • +1Fa 2:10
  • +1Fa 2:34
  • +Mwa 24:56; 30:25; Kut 5:1

1 Wafalme 11:23

Marejeo

  • +1Sa 26:19; 2Sa 24:1; 1Fa 11:14; 1Nya 5:26
  • +2Sa 8:3
  • +2Sa 10:8; 1Nya 19:6

1 Wafalme 11:24

Marejeo

  • +2Sa 10:18
  • +Mwa 14:15; 1Fa 19:15; 20:34; Isa 7:8; Mdo 9:2

1 Wafalme 11:25

Marejeo

  • +1Fa 5:4
  • +Mwa 34:30; Zb 68:1

1 Wafalme 11:26

Marejeo

  • +1Fa 11:31; 12:2, 32; 14:10; 2Nya 11:14; 13:3, 20
  • +1Fa 9:22; 2Nya 13:6
  • +Met 30:32

1 Wafalme 11:27

Marejeo

  • +1Fa 9:15, 24
  • +2Sa 5:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, kur. 2025-2026

1 Wafalme 11:28

Marejeo

  • +1Sa 14:52
  • +Met 22:29; Ro 12:11
  • +1Fa 5:16; Met 12:24
  • +2Fa 25:12; Yer 39:10
  • +Amu 1:22; 2Sa 19:20; Amo 5:6

1 Wafalme 11:29

Marejeo

  • +1Fa 12:15; 14:2; 2Nya 9:29
  • +Yos 18:1

1 Wafalme 11:30

Marejeo

  • +1Sa 15:27
  • +Mwa 49:28; Kut 24:4

1 Wafalme 11:31

Marejeo

  • +1Fa 12:16

1 Wafalme 11:32

Marejeo

  • +2Nya 11:1
  • +Mwa 49:10; 1Fa 6:12; 12:20
  • +Kum 12:5; 1Fa 11:13; 2Fa 21:4; 23:27; Zb 132:13

1 Wafalme 11:33

Marejeo

  • +Kum 28:15; 2Nya 15:2
  • +Amu 2:13; 10:6; 1Sa 7:3
  • +Hes 21:29; Yer 48:13
  • +Law 18:21; 20:2; Sef 1:5; Mdo 7:43

1 Wafalme 11:34

Marejeo

  • +1Fa 9:4; 11:4; Zb 89:49; 132:17; Isa 9:7

1 Wafalme 11:35

Marejeo

  • +1Fa 12:20; 2Nya 10:16

1 Wafalme 11:36

Marejeo

  • +2Sa 7:29; 14:7; 1Fa 15:4; 2Fa 8:19; Lu 1:69; Mdo 15:16
  • +1Fa 11:32

1 Wafalme 11:37

Marejeo

  • +2Sa 3:21

1 Wafalme 11:38

Marejeo

  • +1Fa 3:14; 15:5
  • +Yos 1:5
  • +2Sa 7:11; 1Nya 17:10; Zb 89:33

1 Wafalme 11:39

Marejeo

  • +1Fa 12:16; 14:8
  • +Mwa 49:10; Isa 11:1; Lu 1:32

1 Wafalme 11:40

Marejeo

  • +Met 19:21; 21:30
  • +2Nya 10:2
  • +1Fa 14:25; 2Nya 12:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    7/1/2005, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 7/1 30

1 Wafalme 11:42

Marejeo

  • +2Nya 9:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” kur. 284-285

1 Wafalme 11:43

Marejeo

  • +1Fa 1:21; 2Nya 9:31
  • +1Fa 2:10; 2Nya 21:20
  • +1Nya 3:10; 2Nya 13:7; Mt 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    7/15/2005, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 7/15 31

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 11:1Kum 17:17; Ne 13:26
1 Fal. 11:11Fa 3:1
1 Fal. 11:1Mwa 19:37; Ru 4:10
1 Fal. 11:11Fa 14:21
1 Fal. 11:1Kum 23:7
1 Fal. 11:11Fa 16:31
1 Fal. 11:1Mwa 26:34
1 Fal. 11:2Kum 7:3
1 Fal. 11:2Kut 34:16; Yos 23:12; Ezr 9:12; 10:2; 2Ko 6:14
1 Fal. 11:2Mwa 34:3
1 Fal. 11:3Met 28:14; Yer 18:12; Ebr 3:12
1 Fal. 11:41Fa 11:42
1 Fal. 11:4Kum 7:4; 17:17; Ne 13:26
1 Fal. 11:4Kum 31:16; 32:21; 1Ko 8:4
1 Fal. 11:4Ufu 2:4
1 Fal. 11:5Amu 2:13; 1Sa 12:10
1 Fal. 11:5Law 18:21; 2Fa 23:13
1 Fal. 11:62Sa 7:14
1 Fal. 11:61Fa 15:5
1 Fal. 11:7Law 26:30; Hes 33:52; 2Fa 21:3
1 Fal. 11:7Hes 21:29; Yer 48:13
1 Fal. 11:7Kum 13:14; 27:15; Ufu 17:4
1 Fal. 11:72Fa 23:13; Mt 26:30; Mdo 1:12
1 Fal. 11:7Eze 11:23
1 Fal. 11:8Ne 13:26
1 Fal. 11:8Yer 1:16; 7:18
1 Fal. 11:9Zb 90:7
1 Fal. 11:9Kum 7:4; Met 4:23; Ebr 3:12
1 Fal. 11:91Fa 3:5; 9:2
1 Fal. 11:101Fa 6:12; 2Nya 7:19
1 Fal. 11:112Fa 17:21
1 Fal. 11:121Fa 21:29
1 Fal. 11:12Zb 89:35
1 Fal. 11:122Nya 10:18
1 Fal. 11:132Sa 7:15; 1Nya 17:13; Zb 89:33
1 Fal. 11:131Fa 12:20; 2Nya 11:1
1 Fal. 11:13Kum 12:11; 1Fa 11:32; Isa 60:14
1 Fal. 11:14Mwa 27:40; 1Sa 29:4; 1Fa 5:4
1 Fal. 11:14Kum 31:17; 2Sa 7:14
1 Fal. 11:142Sa 8:14; 1Nya 18:12; Zb 60:utangulizi
1 Fal. 11:152Sa 8:13
1 Fal. 11:15Kum 20:13
1 Fal. 11:18Mwa 25:2
1 Fal. 11:18Mwa 21:21; Hes 10:12; Kum 33:2
1 Fal. 11:19Mwa 39:4
1 Fal. 11:19Mwa 41:45
1 Fal. 11:20Mwa 21:8; 1Sa 1:23
1 Fal. 11:211Fa 2:10
1 Fal. 11:211Fa 2:34
1 Fal. 11:21Mwa 24:56; 30:25; Kut 5:1
1 Fal. 11:231Sa 26:19; 2Sa 24:1; 1Fa 11:14; 1Nya 5:26
1 Fal. 11:232Sa 8:3
1 Fal. 11:232Sa 10:8; 1Nya 19:6
1 Fal. 11:242Sa 10:18
1 Fal. 11:24Mwa 14:15; 1Fa 19:15; 20:34; Isa 7:8; Mdo 9:2
1 Fal. 11:251Fa 5:4
1 Fal. 11:25Mwa 34:30; Zb 68:1
1 Fal. 11:261Fa 11:31; 12:2, 32; 14:10; 2Nya 11:14; 13:3, 20
1 Fal. 11:261Fa 9:22; 2Nya 13:6
1 Fal. 11:26Met 30:32
1 Fal. 11:271Fa 9:15, 24
1 Fal. 11:272Sa 5:7
1 Fal. 11:281Sa 14:52
1 Fal. 11:28Met 22:29; Ro 12:11
1 Fal. 11:281Fa 5:16; Met 12:24
1 Fal. 11:282Fa 25:12; Yer 39:10
1 Fal. 11:28Amu 1:22; 2Sa 19:20; Amo 5:6
1 Fal. 11:291Fa 12:15; 14:2; 2Nya 9:29
1 Fal. 11:29Yos 18:1
1 Fal. 11:301Sa 15:27
1 Fal. 11:30Mwa 49:28; Kut 24:4
1 Fal. 11:311Fa 12:16
1 Fal. 11:322Nya 11:1
1 Fal. 11:32Mwa 49:10; 1Fa 6:12; 12:20
1 Fal. 11:32Kum 12:5; 1Fa 11:13; 2Fa 21:4; 23:27; Zb 132:13
1 Fal. 11:33Kum 28:15; 2Nya 15:2
1 Fal. 11:33Amu 2:13; 10:6; 1Sa 7:3
1 Fal. 11:33Hes 21:29; Yer 48:13
1 Fal. 11:33Law 18:21; 20:2; Sef 1:5; Mdo 7:43
1 Fal. 11:341Fa 9:4; 11:4; Zb 89:49; 132:17; Isa 9:7
1 Fal. 11:351Fa 12:20; 2Nya 10:16
1 Fal. 11:362Sa 7:29; 14:7; 1Fa 15:4; 2Fa 8:19; Lu 1:69; Mdo 15:16
1 Fal. 11:361Fa 11:32
1 Fal. 11:372Sa 3:21
1 Fal. 11:381Fa 3:14; 15:5
1 Fal. 11:38Yos 1:5
1 Fal. 11:382Sa 7:11; 1Nya 17:10; Zb 89:33
1 Fal. 11:391Fa 12:16; 14:8
1 Fal. 11:39Mwa 49:10; Isa 11:1; Lu 1:32
1 Fal. 11:40Met 19:21; 21:30
1 Fal. 11:402Nya 10:2
1 Fal. 11:401Fa 14:25; 2Nya 12:2
1 Fal. 11:422Nya 9:30
1 Fal. 11:431Fa 1:21; 2Nya 9:31
1 Fal. 11:431Fa 2:10; 2Nya 21:20
1 Fal. 11:431Nya 3:10; 2Nya 13:7; Mt 1:7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 11:1-43

1 Wafalme

11 Na Mfalme Sulemani akawapenda wake+ wengi wageni pamoja na binti ya Farao,+ wanawake Wamoabu,+ Waamoni,+ Waedomu,+ Wasidoni+ na Wahiti,+ 2 kutoka kwa mataifa ambayo Yehova alikuwa amewaambia wana wa Israeli: “Msiingie kati yao,+ nao wasije kati yenu; kwa hakika watageuza moyo wenu uifuate miungu yao.”+ Hao ndio Sulemani alishikamana+ nao na kuwapenda. 3 Naye akawa na wake mia saba, binti za kifalme, na masuria mia tatu; na mwishowe wake zake wakaugeuza+ moyo wake. 4 Na ikawa kwamba wakati Sulemani alipokuwa mzee,+ wake zake wakawa wameugeuza+ moyo wake ukaifuata miungu mingine;+ na moyo wake haukuwa mkamilifu+ kwa Yehova Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake. 5 Na Sulemani akaanza kufuata Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni na kufuata Milkomu,+ chukizo la Waamoni. 6 Na Sulemani akaanza kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, naye hakumfuata Yehova kikamilifu kama Daudi baba yake.+

7 Ndipo Sulemani akajenga mahali pa juu+ kwa ajili ya Kemoshi,+ chukizo+ la Moabu juu ya mlima+ uliokuwa mbele+ ya Yerusalemu, na kwa ajili ya Moleki, chukizo la wana wa Amoni. 8 Naye akawafanyia hivyo wake zake wote wa kigeni+ waliokuwa wakifukiza moshi na kutoa dhabihu kwa miungu yao.+

9 Na Yehova akamkasirikia+ Sulemani, kwa sababu moyo wake ulikuwa umegeuka ukamwacha Yehova Mungu wa Israeli,+ yeye aliyemtokea mara mbili.+ 10 Na katika jambo hilo alikuwa amemwamuru asiifuate miungu mingine;+ lakini hakushika yale ambayo Yehova alikuwa ameamuru. 11 Sasa Yehova akamwambia Sulemani: “Kwa sababu umefanya jambo hili wala hukushika agano langu na sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme kutoka kwako, nami nitampa mtumishi wako.+ 12 Hata hivyo, sitafanya jambo hilo katika siku zako,+ kwa ajili ya Daudi baba yako.+ Nitaurarua kutoka mkononi mwa mwana wako.+ 13 Ila tu sitaurarua ufalme wote.+ Nitampa mwana wako kabila moja, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu+ na kwa ajili ya Yerusalemu ambalo nimelichagua.”+

14 Na Yehova akaanza kusimamisha mtu wa kumpinga+ Sulemani,+ yaani, Hadadi, Mwedomu, wa uzao wa mfalme. Yeye alikuwa katika Edomu.+ 15 Na ikawa, Daudi alipopiga Edomu,+ wakati Yoabu mkuu wa jeshi alipokuja kuzika waliouawa, kwamba alijaribu kumpiga na kumuua kila mwanamume katika Edomu.+ 16 (Kwa maana Yoabu na Israeli wote walikaa huko miezi sita mpaka alipokuwa amemkatilia mbali kila mwanamume katika Edomu.) 17 Na Hadadi akakimbia, yeye na wanaume fulani Waedomu wa watumishi wa baba yake pamoja naye, kwenda Misri, Hadadi alipokuwa mvulana mdogo. 18 Basi wakaondoka Midiani,+ wakaingia Parani na kuchukua pamoja nao watu kutoka Parani,+ wakaenda Misri kwa Farao mfalme wa Misri, kisha akampa nyumba. Pia akampa mkate, na kumpa shamba. 19 Na Hadadi akaendelea kupata kibali+ sana machoni pa Farao, hivi kwamba akampa mke,+ dada ya mke wake mwenyewe, dada ya Tapenesi aliyekuwa malkia. 20 Baada ya muda dada ya Tapenesi akamzalia Genubathi mwana wake, na Tapenesi akamwachisha kunyonya+ katika nyumba ya Farao; na Genubathi akaendelea kukaa katika nyumba ya Farao kati ya wana wa Farao.

21 Na Hadadi akasikia akiwa Misri kwamba Daudi amelala pamoja na mababu zake+ na kwamba Yoabu mkuu wa jeshi amekufa.+ Basi Hadadi akamwambia Farao: “Acha niende zangu,+ niende katika nchi yangu.” 22 Lakini Farao akamwambia: “Una uhitaji wa nini ukiwa pamoja nami hivi kwamba unatafuta kwenda katika nchi yako?” Naye akasema: “Hakuna; lakini inakupasa uniache niende tu.”

23 Na Mungu akamsimamishia mpinzani+ mwingine, yaani, Rezoni mwana wa Eliada, aliyekuwa amekimbia kutoka kwa Hadadezeri+ mfalme wa Soba+ bwana wake. 24 Naye akazidi kukusanya watu upande wake, akawa mkuu wa kikundi cha waporaji, Daudi alipowaua watu wa Soba.+ Basi wakaenda Damasko,+ wakaanza kukaa humo na kuanza kutawala katika Damasko. 25 Naye akawa mpinzani wa Israeli siku zote za Sulemani,+ na jambo hilo kuongezea yale madhara ambayo Hadadi alifanya; naye akawachukia sana+ Israeli alipokuwa akitawala juu ya Siria.

26 Na palikuwa na Yeroboamu+ mwana wa Nebati, Mwefraimu, kutoka katika Sereda, mtumishi wa Sulemani,+ na jina la mama yake lilikuwa Serua, mwanamke mjane. Yeye pia akaanza kunyoosha mkono wake juu ya mfalme.+ 27 Na hii ndiyo sababu alinyoosha mkono wake juu ya mfalme: Sulemani alikuwa amekijenga Kilima.+ Alikuwa ameziba pengo la Jiji la Daudi baba yake.+ 28 Sasa Yeroboamu alikuwa mwanamume shujaa, mwenye nguvu.+ Sulemani alipoona kwamba huyo kijana alikuwa mfanyakazi mwenye bidii,+ ndipo akamfanya mwangalizi+ juu ya utumishi wote wa lazima+ wa nyumba ya Yosefu.+ 29 Na ikawa kwamba wakati huo Yeroboamu akatoka katika Yerusalemu, na Ahiya,+ Mshilo,+ nabii, akamkuta njiani, na Ahiya alikuwa amevaa vazi jipya; na hao wawili walikuwa peke yao shambani. 30 Basi Ahiya akashika lile vazi jipya alilokuwa amelivaa, akalirarua+ vipande kumi na viwili.+ 31 Naye akamwambia Yeroboamu:

“Chukua wewe vipande kumi; kwa maana Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Tazama, ninaurarua ufalme kutoka mkononi mwa Sulemani, nami hakika nitakupa wewe makabila kumi.+ 32 Na kabila moja+ ndilo litakalobaki likiwa lake kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi+ na kwa ajili ya Yerusalemu,+ jiji ambalo nimelichagua kutoka katika makabila yote ya Israeli. 33 Sababu ni kwamba wameniacha,+ wakaanza kuinama mbele ya Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni, na Kemoshi,+ mungu wa Moabu na Milkomu,+ mungu wa wana wa Amoni; nao hawakutembea katika njia zangu kwa kufanya yaliyo sawa machoni pangu na sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu kama Daudi baba yake. 34 Lakini sitauchukua ufalme wote kutoka mkononi mwake, kwa sababu nitamweka kuwa mkuu siku zote za maisha yake, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu niliyemchagua,+ kwa sababu alizishika amri zangu na sheria zangu. 35 Nami kwa hakika nitauchukua ufalme kutoka mkononi mwa mwana wake na kukupa wewe, naam, makabila kumi.+ 36 Nami nitampa mwana wake kabila moja, ili Daudi mtumishi wangu aendelee kuwa na taa sikuzote mbele zangu katika Yerusalemu,+ jiji ambalo nimejichagulia ili kuweka jina langu humo.+ 37 Nami nitakuchukua wewe, nawe hakika utatawala juu ya yote ambayo nafsi yako inatamani,+ nawe hakika utakuwa mfalme juu ya Israeli. 38 Na itatukia kwamba, ukitii yote ambayo nitakuamuru, nawe utembee katika njia zangu na kwa kweli ufanye yaliyo sawa machoni pangu kwa kushika sheria zangu na amri zangu, kama Daudi mtumishi wangu alivyofanya,+ mimi pia nitakuwa pamoja nawe,+ nami nitakujengea nyumba yenye kudumu, kama nilivyomjengea Daudi,+ nami nitakupa Israeli. 39 Nami nitaufedhehesha uzao wa Daudi kwa sababu ya jambo hili,+ ila tu si sikuzote.’”+

40 Na Sulemani akaanza kutafuta kumuua Yeroboamu.+ Kwa hiyo Yeroboamu akaondoka, akakimbia+ kwenda Misri kwa Shishaki+ mfalme wa Misri, naye akaendelea kukaa katika Misri mpaka Sulemani alipokufa.

41 Na mambo mengine ya Sulemani na yote aliyofanya na hekima yake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya Sulemani? 42 Na siku ambazo Sulemani alitawala katika Yerusalemu juu ya Israeli yote zilikuwa miaka 40.+ 43 Kisha Sulemani akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi+ baba yake; na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki