2 Samweli 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+ “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+ 1 Mambo ya Nyakati 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 tangu zile siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli. Nami hakika nitawatiisha adui zako wote.+ Nami ninakuambia, ‘Pia Yehova atakujengea nyumba.’+ Zaburi 89:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini fadhili zangu zenye upendo sitamwondolea mbali,+Wala sitaufanya uaminifu wangu kuwa wauwongo.+
11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+ “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+
10 tangu zile siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli. Nami hakika nitawatiisha adui zako wote.+ Nami ninakuambia, ‘Pia Yehova atakujengea nyumba.’+
33 Lakini fadhili zangu zenye upendo sitamwondolea mbali,+Wala sitaufanya uaminifu wangu kuwa wauwongo.+