16 Nami nitasema nao hukumu zangu juu ya ubaya wao wote,+ kwa kuwa wameniacha+ nao wanaendelea kufukizia miungu mingine+ moshi wa dhabihu na kuinamia kazi za mikono yao wenyewe.’+
18 Wana wanaokota kuni, na akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumfanyia ‘malkia wa mbingu’ keki za dhabihu;+ na miungu mingine inamiminiwa matoleo ya kinywaji+ kusudi wanitie uchungu.+