Mwanzo 21:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye akakaa katika nyika ya Parani,+ na mama yake akamchukulia mke kutoka nchi ya Misri. Hesabu 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wana wa Israeli wakaanza kuondoka katika namna ya kuondoka+ kwao kutoka katika nyika ya Sinai, nalo wingu likakaa katika nyika ya Parani.+ Kumbukumbu la Torati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+
12 Nao wana wa Israeli wakaanza kuondoka katika namna ya kuondoka+ kwao kutoka katika nyika ya Sinai, nalo wingu likakaa katika nyika ya Parani.+
2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+