Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye akakaa katika nyika ya Parani,+ na mama yake akamchukulia mke kutoka nchi ya Misri.

  • Hesabu 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wana wa Israeli wakaanza kuondoka katika namna ya kuondoka+ kwao kutoka katika nyika ya Sinai, nalo wingu likakaa katika nyika ya Parani.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema:

      “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

      Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+

      Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

      Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

      Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki