Mwanzo 24:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Lakini yeye akawaambia: “Msinizuilie, kwa kuwa Yehova amefanikisha njia yangu.+ Acheni niende, ili nipate kwenda kwa bwana wangu.”+ Mwanzo 30:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ikawa kwamba Raheli alipokuwa amemzaa Yosefu, bila kukawia Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niende kwangu na katika nchi yangu.+ Kutoka 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na baadaye Musa na Haruni wakaingia ndani na kumwambia Farao:+ “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Waruhusu watu wangu waende zao, wakanifanyie sherehe nyikani.’”+
56 Lakini yeye akawaambia: “Msinizuilie, kwa kuwa Yehova amefanikisha njia yangu.+ Acheni niende, ili nipate kwenda kwa bwana wangu.”+
25 Ikawa kwamba Raheli alipokuwa amemzaa Yosefu, bila kukawia Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niende kwangu na katika nchi yangu.+
5 Na baadaye Musa na Haruni wakaingia ndani na kumwambia Farao:+ “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Waruhusu watu wangu waende zao, wakanifanyie sherehe nyikani.’”+