12 “Kwa habari ya nyumba hii unayojenga, kama ukitembea katika sheria+ zangu na kutenda maamuzi yangu ya hukumu+ na kushika amri zangu zote kwa kutembea ndani yake,+ mimi pia hakika nitakutimizia neno nililomwambia Daudi baba yako;+
19 Lakini mkigeuka+ nyuma na kwa kweli mziache kanuni zangu+ na amri zangu+ ambazo nimeweka mbele yenu, nanyi kwa kweli mwende kuitumikia miungu mingine+ na kuiinamia,+