Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Timotheo 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Timotheo 1:1

Marejeo

  • +Yoh 6:44; 2Ko 1:1
  • +Yoh 3:16; Ro 2:7; 1Pe 1:4
  • +Yoh 6:40

2 Timotheo 1:2

Marejeo

  • +1Ko 4:17
  • +1Ti 1:2; 2Yo 3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2020, uku. 28

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2003, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 1/1 28

2 Timotheo 1:3

Marejeo

  • +Ro 1:9; 12:1
  • +Ro 11:1
  • +Mdo 23:1
  • +1Th 1:2

2 Timotheo 1:4

Marejeo

  • +2Ti 4:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 15

2 Timotheo 1:5

Marejeo

  • +Mdo 16:2
  • +1Ti 1:5; 4:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2022, kur. 19-20

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 14

    7/1/1999, kur. 9-10

    5/15/1998, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/1 9-10; w98 5/15 8-9

2 Timotheo 1:6

Marejeo

  • +Ro 12:11; 1Th 5:19
  • +Mdo 19:6; 1Ko 14:1
  • +Mdo 13:3; 1Ti 4:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 24

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2020, kur. 28-29

    Vijana Huuliza, Buku la 2, uku. 116

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, uku. 26

    Amkeni!,

    3/22/1998, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    yp2 116; w98 2/15 26; g98 3/22 21

2 Timotheo 1:7

Marejeo

  • +Ro 8:15; 1Th 2:2; Ufu 21:8
  • +Lu 24:49; Mdo 1:8; 1Ko 1:18
  • +Efe 4:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 24

    Furahia Maisha Milele!, somo la 47

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2013, kur. 23-24

    5/15/2009, uku. 15

    10/1/2006, uku. 22

    10/15/1988, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 15; w06 10/1 22

2 Timotheo 1:8

Marejeo

  • +Ro 1:16
  • +Efe 3:1; 2Ti 2:9
  • +Kol 1:24; 2Ti 2:3
  • +2Ko 6:7; Flp 4:13; Kol 1:11; 1Pe 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/2003, kur. 9-10

    “Kila Andiko,” uku. 182

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 3/1 9-10

2 Timotheo 1:9

Marejeo

  • +Mdo 2:47; Efe 2:5
  • +Ro 8:28; Efe 1:4; Ebr 3:1
  • +Efe 2:8; Tit 3:5
  • +1Pe 1:20

2 Timotheo 1:10

Marejeo

  • +Yoh 1:14; Ebr 2:9
  • +1Ko 15:54; Ebr 2:14
  • +Yoh 1:9
  • +Yoh 1:4; 5:24; 1Yo 1:2
  • +1Pe 1:4
  • +Ro 1:16

2 Timotheo 1:11

Marejeo

  • +Mdo 9:15; Efe 3:7; 1Ti 2:7

2 Timotheo 1:12

Marejeo

  • +Mdo 9:16; Efe 3:1; 1Pe 4:19
  • +2Ko 4:2
  • +1Ti 6:20
  • +2Ti 4:8

2 Timotheo 1:13

Marejeo

  • +1Ti 6:3; Tit 1:9
  • +Flp 4:9; 2Ti 2:2; 3:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 31

    8/15/2008, uku. 24

    3/15/2006, uku. 31

    1/1/2003, uku. 29

    9/15/2002, kur. 16-17

    1/15/1996, uku. 12

    10/1/1989, kur. 19-20

    5/1/1988, kur. 12-13

    11/15/1987, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 8/15 24; w08 9/15 31; w06 3/15 31; w03 1/1 29; w02 9/15 16-17; w96 1/15 12

2 Timotheo 1:14

Marejeo

  • +Gal 2:7; 1Ti 4:14
  • +Ro 8:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2020, uku. 29

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, uku. 14

2 Timotheo 1:15

Marejeo

  • +Mdo 19:10
  • +2Ti 4:10

2 Timotheo 1:16

Marejeo

  • +2Ti 4:19
  • +Flm 7
  • +Mdo 28:20; Efe 6:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 20

    11/15/1997, kur. 29-30

    “Kila Andiko,” uku. 237

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 20; w97 11/15 29-30

2 Timotheo 1:17

Marejeo

  • +Mdo 28:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1997, kur. 29-30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/15 29-30

2 Timotheo 1:18

Marejeo

  • +Kut 34:6; Ro 9:15; Efe 2:4
  • +Sef 2:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1997, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/15 30-31

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Tim. 1:1Yoh 6:44; 2Ko 1:1
2 Tim. 1:1Yoh 3:16; Ro 2:7; 1Pe 1:4
2 Tim. 1:1Yoh 6:40
2 Tim. 1:21Ko 4:17
2 Tim. 1:21Ti 1:2; 2Yo 3
2 Tim. 1:3Ro 1:9; 12:1
2 Tim. 1:3Ro 11:1
2 Tim. 1:3Mdo 23:1
2 Tim. 1:31Th 1:2
2 Tim. 1:42Ti 4:9
2 Tim. 1:5Mdo 16:2
2 Tim. 1:51Ti 1:5; 4:6
2 Tim. 1:6Ro 12:11; 1Th 5:19
2 Tim. 1:6Mdo 19:6; 1Ko 14:1
2 Tim. 1:6Mdo 13:3; 1Ti 4:14
2 Tim. 1:7Ro 8:15; 1Th 2:2; Ufu 21:8
2 Tim. 1:7Lu 24:49; Mdo 1:8; 1Ko 1:18
2 Tim. 1:7Efe 4:23
2 Tim. 1:8Ro 1:16
2 Tim. 1:8Efe 3:1; 2Ti 2:9
2 Tim. 1:8Kol 1:24; 2Ti 2:3
2 Tim. 1:82Ko 6:7; Flp 4:13; Kol 1:11; 1Pe 1:5
2 Tim. 1:9Mdo 2:47; Efe 2:5
2 Tim. 1:9Ro 8:28; Efe 1:4; Ebr 3:1
2 Tim. 1:9Efe 2:8; Tit 3:5
2 Tim. 1:91Pe 1:20
2 Tim. 1:10Yoh 1:14; Ebr 2:9
2 Tim. 1:101Ko 15:54; Ebr 2:14
2 Tim. 1:10Yoh 1:9
2 Tim. 1:10Yoh 1:4; 5:24; 1Yo 1:2
2 Tim. 1:101Pe 1:4
2 Tim. 1:10Ro 1:16
2 Tim. 1:11Mdo 9:15; Efe 3:7; 1Ti 2:7
2 Tim. 1:12Mdo 9:16; Efe 3:1; 1Pe 4:19
2 Tim. 1:122Ko 4:2
2 Tim. 1:121Ti 6:20
2 Tim. 1:122Ti 4:8
2 Tim. 1:131Ti 6:3; Tit 1:9
2 Tim. 1:13Flp 4:9; 2Ti 2:2; 3:14
2 Tim. 1:14Gal 2:7; 1Ti 4:14
2 Tim. 1:14Ro 8:11
2 Tim. 1:15Mdo 19:10
2 Tim. 1:152Ti 4:10
2 Tim. 1:162Ti 4:19
2 Tim. 1:16Flm 7
2 Tim. 1:16Mdo 28:20; Efe 6:20
2 Tim. 1:17Mdo 28:30
2 Tim. 1:18Kut 34:6; Ro 9:15; Efe 2:4
2 Tim. 1:18Sef 2:3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Timotheo 1:1-18

2 Timotheo

Barua ya Pili kwa Timotheo

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kupitia mapenzi ya Mungu+ kulingana na ahadi ya uzima+ ulio katika muungano na Kristo Yesu,+ 2 kwa Timotheo, mtoto mpendwa:+

Na kuwe na fadhili zisizostahiliwa, rehema, amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.+

3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtolea utumishi mtakatifu+ kama mababu+ zangu walivyofanya na nikiwa na dhamiri safi,+ kwamba siachi kamwe kukukumbuka katika dua zangu,+ usiku na mchana 4 nikitamani kukuona wewe,+ ninapoyakumbuka machozi yako, ili nijawe na shangwe. 5 Kwa maana naikumbuka imani+ iliyo ndani yako isiyo na unafiki+ wowote, na ambayo ilikaa kwanza katika nyanya yako Loisi na mama yako Eunike, lakini ambayo mimi nina hakika imo ndani yako pia.

6 Kwa sababu hii nakukumbusha wewe uichochee kama moto+ zawadi+ ya Mungu iliyo ndani yako kupitia kuwekwa kwa mikono yangu juu yako.+ 7 Kwa maana Mungu hakutupa sisi roho ya woga,+ bali ile ya nguvu+ na ya upendo na ya utimamu wa akili.+ 8 Kwa hiyo usione aibu juu ya ule ushahidi kumhusu Bwana wetu,+ wala kunihusu mimi mfungwa kwa ajili yake,+ bali shiriki sehemu yako katika kuvumilia+ uovu kwa ajili ya habari njema kulingana na nguvu za Mungu.+ 9 Yeye alituokoa+ na kutuita kwa mwito mtakatifu,+ si kwa sababu ya matendo+ yetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili zisizostahiliwa. Tulipewa hizo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati za zamani za kale,+ 10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo+ wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu, ambaye amefuta kifo+ lakini ameangaza nuru+ juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+ 11 ambayo kwa ajili yake mimi niliwekwa rasmi kuwa mhubiri na mtume na mwalimu.+

12 Kwa sababu hii ninavumilia+ pia mambo haya, lakini sioni aibu.+ Kwa maana namjua yule ambaye nimemwamini, nami nina hakika anaweza kukilinda+ kile ambacho nimeweka amana kwake mpaka siku ile.+ 13 Endelea kushika kielelezo cha maneno yenye afya+ uliyosikia kutoka kwangu pamoja na imani na upendo vinavyohusiana na Kristo Yesu.+ 14 Amana+ hii nzuri ilinde kupitia roho takatifu inayokaa ndani yetu.+

15 Unajua hili, kwamba watu wote katika wilaya ya Asia+ wamegeuka na kuniacha mimi.+ Figelo na Hermogene ni kati ya hao. 16 Bwana na aipe rehema nyumba ya Onesiforo,+ kwa sababu mara nyingi aliniletea kiburudisho,+ naye hakuionea aibu minyororo yangu.+ 17 Kinyume cha hilo, alipokuwa katika Roma, alinitafuta kwa bidii naye akanipata.+ 18 Bwana na amruhusu apate rehema+ kutoka kwa Yehova katika siku ile.+ Na utumishi wote aliotoa katika Efeso wewe unaujua vema kabisa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki