Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wathesalonike 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wathesalonike 3:1

Marejeo

  • +Ro 15:30; 1Th 5:25; Ebr 13:18
  • +Isa 38:4; Mdo 8:25; 15:35; 1Th 1:8; 1Pe 1:25
  • +Mdo 19:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Wapiga-Mbiu, uku. 108

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1991, uku. 23

2 Wathesalonike 3:2

Marejeo

  • +Isa 25:4; 2Ko 1:8; Ufu 2:10
  • +Mdo 28:24; Ro 10:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2009, uku. 8

    5/15/1998, uku. 10

2 Wathesalonike 3:3

Marejeo

  • +Yoh 17:15; 1Ko 10:13; 2Pe 2:9

2 Wathesalonike 3:4

Marejeo

  • +Gal 5:10
  • +1Th 4:11

2 Wathesalonike 3:5

Marejeo

  • +1Yo 5:3
  • +Lu 21:19; Ro 5:3

2 Wathesalonike 3:6

Marejeo

  • +1Th 4:2; 1Ti 6:17; Tit 1:5
  • +Mt 18:17; 1Ko 5:11; 2Th 3:14; Tit 3:10
  • +Met 24:30; 1Th 5:14
  • +Ro 16:17; 1Ko 11:2; 2Th 2:15

2 Wathesalonike 3:7

Marejeo

  • +1Ko 4:16; 1Th 1:6
  • +1Th 2:10

2 Wathesalonike 3:8

Marejeo

  • +Mdo 20:34
  • +Mdo 18:3; 1Ko 4:12
  • +1Ko 9:15; 2Ko 11:9; 1Th 2:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2019, uku. 5

2 Wathesalonike 3:9

Marejeo

  • +Mt 10:10; 1Ko 9:6
  • +1Ko 11:1; Flp 3:17

2 Wathesalonike 3:10

Marejeo

  • +1Th 4:11
  • +Met 13:4; 20:4; Ro 12:11; 1Ti 5:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Huduma ya Ufalme,

    2/1994, uku. 7

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1987, uku. 18

2 Wathesalonike 3:11

Marejeo

  • +1Th 5:14
  • +1Ti 5:13; 1Pe 4:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 232

2 Wathesalonike 3:12

Marejeo

  • +Efe 4:28

2 Wathesalonike 3:13

Marejeo

  • +Gal 6:9

2 Wathesalonike 3:14

Marejeo

  • +2Th 3:6; 2Ti 2:18
  • +Law 19:17; Ro 16:17
  • +Ro 16:17; 1Ko 5:11; Tit 3:10; 2Yo 10
  • +Tit 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, kur. 144-145

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2016, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1999, kur. 29-31

2 Wathesalonike 3:15

Marejeo

  • +1Th 5:14; Tit 3:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2016, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1999, kur. 30-31

2 Wathesalonike 3:16

Marejeo

  • +Yoh 14:27

2 Wathesalonike 3:17

Marejeo

  • +1Ko 16:21; Kol 4:18

2 Wathesalonike 3:18

Marejeo

  • +Yoh 1:16

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 The. 3:1Ro 15:30; 1Th 5:25; Ebr 13:18
2 The. 3:1Isa 38:4; Mdo 8:25; 15:35; 1Th 1:8; 1Pe 1:25
2 The. 3:1Mdo 19:20
2 The. 3:2Isa 25:4; 2Ko 1:8; Ufu 2:10
2 The. 3:2Mdo 28:24; Ro 10:16
2 The. 3:3Yoh 17:15; 1Ko 10:13; 2Pe 2:9
2 The. 3:4Gal 5:10
2 The. 3:41Th 4:11
2 The. 3:51Yo 5:3
2 The. 3:5Lu 21:19; Ro 5:3
2 The. 3:61Th 4:2; 1Ti 6:17; Tit 1:5
2 The. 3:6Mt 18:17; 1Ko 5:11; 2Th 3:14; Tit 3:10
2 The. 3:6Met 24:30; 1Th 5:14
2 The. 3:6Ro 16:17; 1Ko 11:2; 2Th 2:15
2 The. 3:71Ko 4:16; 1Th 1:6
2 The. 3:71Th 2:10
2 The. 3:8Mdo 20:34
2 The. 3:8Mdo 18:3; 1Ko 4:12
2 The. 3:81Ko 9:15; 2Ko 11:9; 1Th 2:9
2 The. 3:9Mt 10:10; 1Ko 9:6
2 The. 3:91Ko 11:1; Flp 3:17
2 The. 3:101Th 4:11
2 The. 3:10Met 13:4; 20:4; Ro 12:11; 1Ti 5:8
2 The. 3:111Th 5:14
2 The. 3:111Ti 5:13; 1Pe 4:15
2 The. 3:12Efe 4:28
2 The. 3:13Gal 6:9
2 The. 3:142Th 3:6; 2Ti 2:18
2 The. 3:14Law 19:17; Ro 16:17
2 The. 3:14Ro 16:17; 1Ko 5:11; Tit 3:10; 2Yo 10
2 The. 3:14Tit 2:8
2 The. 3:151Th 5:14; Tit 3:10
2 The. 3:16Yoh 14:27
2 The. 3:171Ko 16:21; Kol 4:18
2 The. 3:18Yoh 1:16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wathesalonike 3:1-18

2 Wathesalonike

3 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kusali kwa ajili yetu,+ ili neno la Yehova+ liendelee kusonga haraka+ na kutukuzwa kama vile linavyofanya kwenu; 2 na ili tukombolewe kutoka kwa watu wenye madhara na waovu,+ kwa maana imani si mali ya watu wote.+ 3 Lakini Bwana ni mwaminifu, naye atawafanya ninyi kuwa imara na kuwaepusha na yule mwovu.+ 4 Zaidi ya hayo, tuna uhakika+ katika Bwana kuwahusu ninyi, kwamba mnafanya nanyi mtaendelea kufanya mambo tunayoagiza.+ 5 Bwana na aendelee kuielekeza mioyo yenu kwa mafanikio katika kumpenda+ Mungu na katika uvumilivu+ kwa ajili ya Kristo.

6 Sasa tunawapa ninyi maagizo,+ akina ndugu, katika jina la Bwana Yesu Kristo, mjiepushe+ na kila ndugu anayetembea bila utaratibu+ na si kulingana na pokeo mlilopokea kutoka kwetu.+ 7 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua njia mnayopaswa kutuiga,+ kwa sababu hatukujiendesha bila utaratibu katikati yenu+ 8 wala hatukula chakula kwa yeyote bure.+ Kinyume cha hilo, kwa kazi ya jasho na kutaabika+ usiku na mchana tulikuwa tukifanya kazi ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama.+ 9 Si kwamba hatuna mamlaka,+ bali ili tujitoe kuwa kielelezo kwenu ili mtuige sisi.+ 10 Kwa kweli, pia, tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwapa ninyi agizo hili:+ “Ikiwa yeyote hataki kufanya kazi, basi na asile chakula.”+ 11 Kwa maana tunasikia watu fulani wanatembea bila utaratibu+ katikati yenu, hawafanyi kazi hata kidogo bali wanajiingiza katika mambo yasiyowahusu wao.+ 12 Kwa watu wa namna hiyo tunawapa agizo na kuwahimiza katika Bwana Yesu Kristo kwamba kwa kufanya kazi kwa utulivu wale chakula ambacho wao wenyewe wanafanyia kazi.+

13 Kwa upande wenu, akina ndugu, msiache kutenda yaliyo sawa.+ 14 Lakini ikiwa yeyote hatii neno letu+ kupitia barua hii, mtieni alama mtu huyo,+ acheni kushirikiana naye,+ ili aone aibu.+ 15 Na bado msimwone yeye kuwa adui, bali endeleeni kumwonya+ kama ndugu.

16 Sasa Bwana wa amani mwenyewe na awape ninyi amani daima katika kila njia.+ Bwana na awe pamoja nanyi nyote.

17 Hii ni salamu yangu, ya Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe,+ ambayo ni ishara katika kila barua; hivi ndivyo mimi huandika.

18 Fadhili zisizostahiliwa+ za Bwana wetu Yesu Kristo na ziwe pamoja nanyi nyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki