Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 33:1

Marejeo

  • +Mt 1:10
  • +2Fa 21:1

2 Mambo ya Nyakati 33:2

Marejeo

  • +2Fa 16:2
  • +Kum 18:9; 2Nya 28:3
  • +2Fa 21:2

2 Mambo ya Nyakati 33:3

Marejeo

  • +2Fa 18:4
  • +2Fa 18:22; 2Nya 32:12
  • +1Fa 16:32; 18:26
  • +Amu 2:11; 2Nya 28:2
  • +Kum 16:21; 1Fa 14:23; Yer 17:2
  • +Kum 4:19; 2Fa 17:16
  • +2Fa 23:5; Ayu 31:26
  • +2Fa 21:3

2 Mambo ya Nyakati 33:4

Marejeo

  • +2Fa 16:10; 2Nya 34:4
  • +Kum 12:11; 2Fa 21:4; 2Nya 6:6

2 Mambo ya Nyakati 33:5

Marejeo

  • +Kum 17:3; 2Fa 23:5; Yer 8:2
  • +1Fa 6:36; 7:12
  • +2Fa 21:5

2 Mambo ya Nyakati 33:6

Marejeo

  • +2Fa 16:3; 2Nya 28:3
  • +Yos 15:8; 2Fa 23:10
  • +Law 19:26
  • +Kum 18:10
  • +2Fa 9:22
  • +Law 20:6
  • +Kum 18:11
  • +2Fa 21:6

2 Mambo ya Nyakati 33:7

Marejeo

  • +2Fa 21:7
  • +2Fa 23:6
  • +Zb 132:14
  • +2Fa 23:27
  • +2Nya 7:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2021, kur. 3-4

2 Mambo ya Nyakati 33:8

Marejeo

  • +2Sa 7:10
  • +1Nya 17:9
  • +Kum 4:40
  • +Kum 4:44
  • +Kum 6:1
  • +Kum 11:1; 12:1
  • +Law 10:11

2 Mambo ya Nyakati 33:9

Marejeo

  • +2Fa 21:16
  • +1Fa 14:16; Mhu 9:18
  • +2Fa 21:11
  • +Law 18:24; Kum 2:21; Yos 24:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, uku. 25

2 Mambo ya Nyakati 33:10

Marejeo

  • +2Nya 36:16; Met 29:1; Zek 1:4; Mdo 7:51

2 Mambo ya Nyakati 33:11

Marejeo

  • +Kum 28:36
  • +Ne 9:32
  • +1Sa 13:6
  • +Ayu 36:8; Zb 107:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1988, uku. 28

2 Mambo ya Nyakati 33:12

Marejeo

  • +Law 26:40; Kum 4:30
  • +Zb 50:15
  • +2Nya 32:26; Lu 18:14; 1Pe 5:6

2 Mambo ya Nyakati 33:13

Marejeo

  • +1Nya 5:20; Ezr 8:23
  • +Isa 1:18
  • +Kum 29:6; Zb 9:16; Da 4:25

2 Mambo ya Nyakati 33:14

Marejeo

  • +2Nya 32:5
  • +2Sa 5:9
  • +2Nya 32:30
  • +Ne 3:3
  • +2Nya 27:3
  • +2Nya 11:11, 12

2 Mambo ya Nyakati 33:15

Marejeo

  • +Isa 2:18; Eze 18:21; Ho. 14:3; Mt 3:8
  • +2Fa 21:7; 2Nya 33:7; Isa 30:22
  • +2Fa 21:4, 5

2 Mambo ya Nyakati 33:16

Marejeo

  • +2Nya 29:18
  • +Law 3:1
  • +Law 7:12
  • +2Nya 14:4

2 Mambo ya Nyakati 33:17

Marejeo

  • +2Nya 32:12

2 Mambo ya Nyakati 33:18

Marejeo

  • +2Nya 33:12
  • +1Sa 9:9; Isa 29:10
  • +1Fa 15:31

2 Mambo ya Nyakati 33:19

Marejeo

  • +2Nya 33:12; Met 15:8
  • +2Nya 33:13; 1Yo 1:9
  • +2Fa 21:2
  • +2Fa 21:9
  • +2Fa 21:3
  • +2Fa 21:7
  • +2Nya 33:7
  • +2Nya 33:12

2 Mambo ya Nyakati 33:20

Marejeo

  • +2Fa 21:18
  • +2Nya 21:20; 28:27
  • +1Nya 3:14

2 Mambo ya Nyakati 33:21

Marejeo

  • +Mt 1:10
  • +2Fa 21:19

2 Mambo ya Nyakati 33:22

Marejeo

  • +1Fa 16:19; 2Nya 22:4
  • +2Fa 21:20; 2Nya 33:2; Eze 20:18
  • +Isa 44:15
  • +Kut 20:4; Kum 7:5
  • +2Fa 21:7; 2Nya 33:7
  • +2Fa 17:41; Isa 44:17

2 Mambo ya Nyakati 33:23

Marejeo

  • +2Nya 36:12; Yer 8:12
  • +2Nya 33:12
  • +2Nya 28:22; Yer 7:26; 2Ti 3:13

2 Mambo ya Nyakati 33:24

Marejeo

  • +1Fa 15:27; 2Nya 24:25; 25:27
  • +2Fa 21:23; Zb 55:23

2 Mambo ya Nyakati 33:25

Marejeo

  • +Mwa 9:6; Hes 35:31
  • +2Nya 25:3
  • +2Fa 21:24
  • +2Nya 36:1
  • +2Fa 21:26

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 33:1Mt 1:10
2 Nya. 33:12Fa 21:1
2 Nya. 33:22Fa 16:2
2 Nya. 33:2Kum 18:9; 2Nya 28:3
2 Nya. 33:22Fa 21:2
2 Nya. 33:32Fa 18:4
2 Nya. 33:32Fa 18:22; 2Nya 32:12
2 Nya. 33:31Fa 16:32; 18:26
2 Nya. 33:3Amu 2:11; 2Nya 28:2
2 Nya. 33:3Kum 16:21; 1Fa 14:23; Yer 17:2
2 Nya. 33:3Kum 4:19; 2Fa 17:16
2 Nya. 33:32Fa 23:5; Ayu 31:26
2 Nya. 33:32Fa 21:3
2 Nya. 33:42Fa 16:10; 2Nya 34:4
2 Nya. 33:4Kum 12:11; 2Fa 21:4; 2Nya 6:6
2 Nya. 33:5Kum 17:3; 2Fa 23:5; Yer 8:2
2 Nya. 33:51Fa 6:36; 7:12
2 Nya. 33:52Fa 21:5
2 Nya. 33:62Fa 16:3; 2Nya 28:3
2 Nya. 33:6Yos 15:8; 2Fa 23:10
2 Nya. 33:6Law 19:26
2 Nya. 33:6Kum 18:10
2 Nya. 33:62Fa 9:22
2 Nya. 33:6Law 20:6
2 Nya. 33:6Kum 18:11
2 Nya. 33:62Fa 21:6
2 Nya. 33:72Fa 21:7
2 Nya. 33:72Fa 23:6
2 Nya. 33:7Zb 132:14
2 Nya. 33:72Fa 23:27
2 Nya. 33:72Nya 7:16
2 Nya. 33:82Sa 7:10
2 Nya. 33:81Nya 17:9
2 Nya. 33:8Kum 4:40
2 Nya. 33:8Kum 4:44
2 Nya. 33:8Kum 6:1
2 Nya. 33:8Kum 11:1; 12:1
2 Nya. 33:8Law 10:11
2 Nya. 33:92Fa 21:16
2 Nya. 33:91Fa 14:16; Mhu 9:18
2 Nya. 33:92Fa 21:11
2 Nya. 33:9Law 18:24; Kum 2:21; Yos 24:8
2 Nya. 33:102Nya 36:16; Met 29:1; Zek 1:4; Mdo 7:51
2 Nya. 33:11Kum 28:36
2 Nya. 33:11Ne 9:32
2 Nya. 33:111Sa 13:6
2 Nya. 33:11Ayu 36:8; Zb 107:10
2 Nya. 33:12Law 26:40; Kum 4:30
2 Nya. 33:12Zb 50:15
2 Nya. 33:122Nya 32:26; Lu 18:14; 1Pe 5:6
2 Nya. 33:131Nya 5:20; Ezr 8:23
2 Nya. 33:13Isa 1:18
2 Nya. 33:13Kum 29:6; Zb 9:16; Da 4:25
2 Nya. 33:142Nya 32:5
2 Nya. 33:142Sa 5:9
2 Nya. 33:142Nya 32:30
2 Nya. 33:14Ne 3:3
2 Nya. 33:142Nya 27:3
2 Nya. 33:142Nya 11:11, 12
2 Nya. 33:15Isa 2:18; Eze 18:21; Ho. 14:3; Mt 3:8
2 Nya. 33:152Fa 21:7; 2Nya 33:7; Isa 30:22
2 Nya. 33:152Fa 21:4, 5
2 Nya. 33:162Nya 29:18
2 Nya. 33:16Law 3:1
2 Nya. 33:16Law 7:12
2 Nya. 33:162Nya 14:4
2 Nya. 33:172Nya 32:12
2 Nya. 33:182Nya 33:12
2 Nya. 33:181Sa 9:9; Isa 29:10
2 Nya. 33:181Fa 15:31
2 Nya. 33:192Nya 33:12; Met 15:8
2 Nya. 33:192Nya 33:13; 1Yo 1:9
2 Nya. 33:192Fa 21:2
2 Nya. 33:192Fa 21:9
2 Nya. 33:192Fa 21:3
2 Nya. 33:192Fa 21:7
2 Nya. 33:192Nya 33:7
2 Nya. 33:192Nya 33:12
2 Nya. 33:202Fa 21:18
2 Nya. 33:202Nya 21:20; 28:27
2 Nya. 33:201Nya 3:14
2 Nya. 33:21Mt 1:10
2 Nya. 33:212Fa 21:19
2 Nya. 33:221Fa 16:19; 2Nya 22:4
2 Nya. 33:222Fa 21:20; 2Nya 33:2; Eze 20:18
2 Nya. 33:22Isa 44:15
2 Nya. 33:22Kut 20:4; Kum 7:5
2 Nya. 33:222Fa 21:7; 2Nya 33:7
2 Nya. 33:222Fa 17:41; Isa 44:17
2 Nya. 33:232Nya 36:12; Yer 8:12
2 Nya. 33:232Nya 33:12
2 Nya. 33:232Nya 28:22; Yer 7:26; 2Ti 3:13
2 Nya. 33:241Fa 15:27; 2Nya 24:25; 25:27
2 Nya. 33:242Fa 21:23; Zb 55:23
2 Nya. 33:25Mwa 9:6; Hes 35:31
2 Nya. 33:252Nya 25:3
2 Nya. 33:252Fa 21:24
2 Nya. 33:252Nya 36:1
2 Nya. 33:252Fa 21:26
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 33:1-25

2 Mambo ya Nyakati

33 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 55 katika Yerusalemu.+

2 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.+ 3 Kwa hiyo akajenga tena mahali pa juu+ ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akasimamisha madhabahu+ kwa Mabaali+ na kutengeneza miti mitakatifu,+ naye akaanza kuliinamia+ jeshi lote la mbinguni+ na kulitumikia.+ 4 Naye akajenga madhabahu+ katika nyumba ya Yehova, ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Jina langu litakuwa katika Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.”+ 5 Naye akajenga madhabahu kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni+ katika nyua mbili+ za nyumba ya Yehova.+ 6 Naye mwenyewe akawapitisha wanawe mwenyewe motoni+ katika bonde la mwana wa Hinomu,+ akafanya uchawi+ na kutumia uaguzi+ na kufanya ulozi+ na kufanyiza wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio. Alifanya kwa kiasi kikubwa yale yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, na kumtia uchungu.+

7 Zaidi ya hayo, akaweka sanamu ya kuchongwa+ aliyokuwa ametengeneza katika nyumba ya Mungu wa kweli,+ ambayo Mungu alikuwa amemwambia Daudi na Sulemani mwana wake hivi kuihusu: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambalo nimelichagua+ kutoka katika makabila yote ya Israeli, nitaliweka jina langu+ mpaka wakati usio na kipimo.+ 8 Nami sitauondoa mguu wa Israeli tena utoke katika nchi niliyowagawia+ mababu zao,+ mradi tu wawe waangalifu kufanya yote ambayo nimewaamuru+ kuhusiana na sheria+ yote na masharti+ na maamuzi ya hukumu+ kupitia mkono wa Musa.”+ 9 Na Manase+ akaendelea kuwashawishi Yuda+ na wakaaji wa Yerusalemu wafanye mabaya zaidi+ kuliko yale mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya wana wa Israeli.+

10 Na Yehova akaendelea kusema na Manase na watu wake, lakini hawakusikiliza.+ 11 Mwishowe Yehova akaleta juu yao+ wakuu wa jeshi la mfalme wa Ashuru,+ nao wakamteka Manase katika mashimo+ na kumfunga+ kwa pingu mbili za shaba, wakampeleka Babiloni. 12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake. 13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+

14 Na baada ya hayo akajenga ukuta wa nje+ kwa ajili ya Jiji la Daudi+ upande wa magharibi wa Gihoni+ katika bonde la mto na mpaka Lango la Samaki,+ akauzungusha mpaka Ofeli+ na kuufanya kuwa mrefu sana. Tena akaweka wakuu wa jeshi katika majiji yote yenye ngome katika Yuda.+ 15 Naye akaiondoa miungu ya kigeni+ na ule mfano wa sanamu+ kutoka katika nyumba ya Yehova na madhabahu+ zote alizokuwa amejenga katika mlima wa nyumba ya Yehova na katika Yerusalemu, kisha akavitupa nje ya jiji. 16 Tena akatayarisha madhabahu ya Yehova+ na kuanza kutoa juu yake dhabihu za ushirika+ na dhabihu za shukrani,+ akaendelea kuwaambia Yuda wamtumikie Yehova Mungu wa Israeli.+ 17 Hata hivyo, watu walikuwa bado wanatoa dhabihu katika mahali pa juu;+ ila tu ilikuwa ni kwa Yehova Mungu wao.

18 Na yale mambo mengine ya Manase na sala+ yake kwa Mungu wake na maneno ya waonaji+ walioendelea kusema naye katika jina la Yehova Mungu wa Israeli, tazama, yamo kati ya mambo ya wafalme wa Israeli.+ 19 Na kuhusu sala+ yake na jinsi ombi+ lake lilivyojibiwa na dhambi+ yake yote na ukosefu wake wa uaminifu+ na vile vituo, mahali ambapo alijenga mahali pa juu+ na kusimamisha miti mitakatifu+ na sanamu za kuchongwa+ kabla ya kujinyenyekeza,+ tazama, yameandikwa kati ya maneno ya waonaji wake. 20 Mwishowe Manase akalala pamoja na mababu zake,+ nao wakamzika+ katika nyumba yake; na Amoni+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

21 Amoni+ alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka miwili katika Yerusalemu.+ 22 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kama alivyofanya Manase baba yake;+ na Amoni akatoa dhabihu+ kwa sanamu zote za kuchongwa+ ambazo Manase+ baba yake alikuwa ametengeneza, naye akaendelea kuzitumikia.+ 23 Naye hakujinyenyekeza+ kwa sababu ya Yehova kama Manase baba yake alivyojinyenyekeza,+ kwa maana Amoni ndiye aliyezidisha hatia.+ 24 Mwishowe watumishi wake wakampangia hila+ na kumuua ndani ya nyumba yake mwenyewe.+ 25 Lakini watu wa nchi wakawapiga na kuwaua+ wale wote waliompangia hila+ Mfalme Amoni,+ kisha watu+ wa nchi wakamfanya Yosia+ mwana wake kuwa mfalme mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki