Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 8:1

Marejeo

  • +Mdo 15:20
  • +Ro 14:14; 1Ko 8:10
  • +1Ko 8:13; 13:5; Efe 3:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2018, kur. 12-16

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2017, uku. 27

    Amkeni!,

    11/2008, uku. 8

    11/22/1993, uku. 16

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2001, uku. 9

    11/15/1992, kur. 21-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 11/08 8; w01 1/1 9

1 Wakorintho 8:2

Marejeo

  • +Gal 6:3
  • +1Ti 6:4

1 Wakorintho 8:3

Marejeo

  • +1Yo 4:8
  • +Kut 33:12; Nah 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2019, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2018, uku. 8

1 Wakorintho 8:4

Marejeo

  • +1Ko 10:18
  • +Kum 32:21; 2Fa 19:18; Isa 44:10; Yer 16:20
  • +Kum 6:4; 32:39; Efe 4:6

1 Wakorintho 8:5

Marejeo

  • +Zb 82:1; Yoh 10:35
  • +Zb 8:5; Ebr 2:7
  • +Zb 82:6
  • +Zb 136:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1992, uku. 3

    12/1/1990, kur. 3-5

1 Wakorintho 8:6

Marejeo

  • +1Ti 2:5
  • +Mal 2:10; Mt 23:9
  • +Mdo 17:28; Ro 11:36
  • +Efe 4:5
  • +Flp 2:11
  • +Yoh 1:3; Kol 1:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Utatu, uku. 14

1 Wakorintho 8:7

Marejeo

  • +Ro 14:14; 1Ko 10:27
  • +1Ko 10:28
  • +Ro 14:23

1 Wakorintho 8:8

Marejeo

  • +Ro 14:17
  • +Ebr 13:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1989, uku. 10

1 Wakorintho 8:9

Marejeo

  • +Ro 14:13, 20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1989, uku. 10

1 Wakorintho 8:10

Marejeo

  • +Ufu 2:14

1 Wakorintho 8:11

Marejeo

  • +Mt 20:28; Ro 14:15

1 Wakorintho 8:12

Marejeo

  • +1Ko 10:29

1 Wakorintho 8:13

Marejeo

  • +Ro 14:15
  • +Mt 18:6; Ro 14:21; 2Ko 11:29

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 8:1Mdo 15:20
1 Kor. 8:1Ro 14:14; 1Ko 8:10
1 Kor. 8:11Ko 8:13; 13:5; Efe 3:19
1 Kor. 8:2Gal 6:3
1 Kor. 8:21Ti 6:4
1 Kor. 8:31Yo 4:8
1 Kor. 8:3Kut 33:12; Nah 1:7
1 Kor. 8:41Ko 10:18
1 Kor. 8:4Kum 32:21; 2Fa 19:18; Isa 44:10; Yer 16:20
1 Kor. 8:4Kum 6:4; 32:39; Efe 4:6
1 Kor. 8:5Zb 82:1; Yoh 10:35
1 Kor. 8:5Zb 8:5; Ebr 2:7
1 Kor. 8:5Zb 82:6
1 Kor. 8:5Zb 136:3
1 Kor. 8:61Ti 2:5
1 Kor. 8:6Mal 2:10; Mt 23:9
1 Kor. 8:6Mdo 17:28; Ro 11:36
1 Kor. 8:6Efe 4:5
1 Kor. 8:6Flp 2:11
1 Kor. 8:6Yoh 1:3; Kol 1:16
1 Kor. 8:7Ro 14:14; 1Ko 10:27
1 Kor. 8:71Ko 10:28
1 Kor. 8:7Ro 14:23
1 Kor. 8:8Ro 14:17
1 Kor. 8:8Ebr 13:9
1 Kor. 8:9Ro 14:13, 20
1 Kor. 8:10Ufu 2:14
1 Kor. 8:11Mt 20:28; Ro 14:15
1 Kor. 8:121Ko 10:29
1 Kor. 8:13Ro 14:15
1 Kor. 8:13Mt 18:6; Ro 14:21; 2Ko 11:29
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 8:1-13

1 Wakorintho

8 Basi kuhusu vyakula vinavyotolewa kwa sanamu:+ tunajua sisi sote tuna ujuzi.+ Ujuzi huleta majivuno, lakini upendo hujenga.+ 2 Yeyote akifikiri amejipatia ujuzi juu ya kitu fulani,+ bado hajakijua kama vile anavyopaswa kukijua.+ 3 Lakini ikiwa yeyote anampenda Mungu,+ huyo anajulikana naye.+

4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+ 5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa “miungu,”+ iwe wako mbinguni+ au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi,+ 6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye.

7 Hata hivyo, si watu wote walio na ujuzi huu;+ bali wengine, wakiwa wameizoea sanamu mpaka sasa, hula chakula kama kitu kilichotolewa dhabihu kwa sanamu,+ na dhamiri yao, kwa kuwa ni dhaifu, inatiwa unajisi.+ 8 Lakini chakula hakitatupendekeza kwa Mungu;+ tukikosa kula, hatupungukiwi, na, tukila, hatupati sifa kwetu wenyewe.+ 9 Lakini endeleeni kuangalia kwamba hii mamlaka yenu isije kuwa kwa njia fulani kikwazo kwa wale walio dhaifu.+ 10 Kwa maana yeyote akikuona wewe, uliye na ujuzi, ukiwa umeketi kwenye mlo katika hekalu la sanamu, je, dhamiri ya huyo aliye dhaifu haitajengwa kufikia hatua ya kula vyakula vilivyotolewa kwa sanamu?+ 11 Kwa kweli, kwa ujuzi wako, mtu ambaye ni dhaifu anaharibiwa, ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+ 12 Lakini ninyi mnapotenda dhambi hivyo juu ya ndugu zenu na kuiumiza dhamiri+ yao iliyo dhaifu, mnamtendea dhambi Kristo. 13 Kwa hiyo, ikiwa chakula kinamkwaza ndugu yangu,+ mimi sitakula nyama tena kamwe, ili nisije nikamkwaza+ ndugu yangu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki