Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w77 1/1 uku. 21
  • Biblia Inasaidia Kuendeleza Umoja wa Jamaa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Biblia Inasaidia Kuendeleza Umoja wa Jamaa
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
  • Habari Zinazolingana
  • Maisha ya Jamaa—Namna Unavyoweza Kufanikiwa
    Furaha​—Namna ya Kuipata
  • Ukweli wa Biblia Unaleta Umoja na Furaha ya Kijamaa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1986
  • Je! Ilifaa Nijitahidi Kushinda Watu Wote?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
  • Kutumia Mashauri ya Biblia Kunaendeleza Umoja wa Jamaa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
w77 1/1 uku. 21

Biblia Inasaidia Kuendeleza Umoja wa Jamaa

KWA SABABU ya kutokutumia shauri la Biblia katika maisha zao, leo jamaa nyingi zinapata matatizo mazito. Walakini, mara wanapoanza kufuata shauri hilo, kunatokea mabadiliko ya ajabu ya kuwa na maisha bora ya jamaa.

Mwanamume anayeishi katika nchi ya Spania anasimulia hivi: “Hali yangu ya uchumi katika ulimwengu ilikuwa yenye kufanikiwa sana. Nilikuwa na idara yangu ya uenezaji wa habari iliyofanikiwa sana. Walakini, ndoa yangu ilivunjwa na uzinzi. Kila mmoja wetu aliishi maisha yaliyo tofauti hata kuwa na siku iliyowekwa ya kufanya uzinzi. Siku iliyokuwa zamu ya mke wangu mimi nilibaki nyumbani na kuangalia watoto wawili na mambo mengine. Ingawaje, nilifahamu kwamba hali haiwezi kuendelea namna hiyo. Nikataka nitengeneze maisha yangu. Nilimwomba Mungu anisaidie, na msaada huo ukaja kwa njia isiyotazamiwa.

“Nilikuwa katika chumba cha mchoraji picha pamoja na rafiki wengine wakati mmoja wao, alipotazama saa yake, alisema: ‘Ninakwenda. Nina Shahidi anayeningojea nyumbani.’ Nikamwuliza, ‘Hicho ni nini?’ Jibu lake liliamsha kupendezwa kwangu nikaenda naye nikasikilize. Nilionyeshwa Mashahidi wa Yehova waliko katika mtaa wangu, kisha mke wangu na mimi tukaanza kujifunza. Kidogo kidogo tulifanya mabadiliko katika maisha yetu wenyewe, si katika maisha mema tu, bali hata kwa kadiri ya kuacha kampuni yangu ya uenezaji wa habari ili kuepuka kushirikiana na watu wasiofaa. Asante kwa Yehova, sasa jamaa ina umoja.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki