Fumbo la Kujaza Maneno
Madokezo kulia
1. Mwana wa Benyamini (Mwanzo 46:21)
3. Idadi ya watu ambao Yesu alisema wangeipata njia nyembamba inayoongoza kwenye uzima (Mathayo 7:14)
7. Haiwekwi chini ya kitanda (Marko 4:21)
9. Mtajo wayo wa pekee katika Biblia unapatikana katika ndoto ya Yakobo (Mwanzo 28:12)
11. Upungufu wa kiroho au wa kiadili (Wafilipi 2:15)
15. Werevu (Marko 14:1)
17. Kile Yuda alikuja kuwa (Luka 6:16)
18. Katazo la kutia kitu hiki mwilini liliwakazia Waisraeli uhitaji wa kutotia chale katika mwili wa binadamu—uumbaji wa Mungu (Mambo ya Walawi 19:28)
21. Nchi ya Koreshi (Danieli 6:28)
22. Kile ambacho Mungu atawaletea watumishi wake wanaoteswa (2 Wathesalonike 1:7)
23. Katika kundi la Kikristo, Yesu tu ndiye ana cheo hiki (Mathayo 23:10)
24. Kuhani wa ukoo wa Adaya, aliyetumikia katika hekalu wakati wa Nehemia (Nehemia 11:12)
Madokezo chini
1. Ezra alijulikana kuwa stadi wa kazi hiyo (Ezra 7:6)
2. Kamata (Marko 9:18)
4. Mwana wake Amasa alikuwa mmoja wa wakuu wanne wa Efraimu waliosikia sihi ya nabii Odedi ya kuwarudisha waliotekwa nyara kutoka Yuda (2 Mambo ya Nyakati 28:12)
5. Mwangalizi wa wale waliolima shamba la Daudi (1 Mambo ya Nyakati 27:26)
6. Mwana wake alikuwa mfalme wa Babuloni wakati Hezekia alipokuwa mfalme wa Yuda (Isaya 39:1)
8. Kikundi cha askari (2 Mambo ya nyakati 25:13)
10. Masalio (Danieli 2:35)
12. Kitu kinachotolewa kuwa dhamana (Amosi 2:8)
13. Wakristo wanaijua kuwa “si kitu katika ulimwengu” (1 Wakorintho 8:4)
14. Maneno ya mwisho ya Yezebeli yalikumbusha juu ya matokeo mabaya yaliyompata mfalme huyu (2 Wafalme 9:31)
16. Mji wenye bandari kule Likia ambako yaelekea Paulo aliingia kwenye meli iliyoelekea Foinike (Matendo 21:1)
19. Kitu pekee ambacho Yesu aliwaruhusu wale 12 wabebe alipowatuma wawili-wawili (Marko 6:7, 8)
20. Kuteketeza (Amosi 7:4)
Ufumbuzi wa Fumbo katika ukurasa wa 21
M U P I M U W A C H A C H E
W A B A Z
A G T A A D J R
N G A Z 1 L M L E I
D A L A W A M A S
I R D K I H S
S Z E A A H I L A
H I H N P P N
I M S A L I T I A L A M A
R N T M
I I F A U
K I R
U A J E M I M M A L I P O
L B
A K I O N G O Z I A M Z I
1 2 3 4 5
6
7 8
9 10
11
12 13
14 15
16
17 18
19
20
21 22
23 24