Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • le kur. 6-7
  • Kwa Sababu Gani Wanadamu Wanakufa?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kwa Sababu Gani Wanadamu Wanakufa?
  • Furahia Milele Maisha Duniani!
  • Habari Zinazolingana
  • Wengine Wana Mamlaka Kuliko Sisi
    Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu
  • Maisha Yalikuwaje Katika Paradiso?
    Msikilize Mungu Uishi Milele
  • Yuko Aliye Juu Zaidi
    Kumsikiliza Mwalimu Mkuu
  • Sehemu ya 3
    Msikilize Mungu
Pata Habari Zaidi
Furahia Milele Maisha Duniani!
le kur. 6-7

Kwa Sababu Gani Wanadamu Wanakufa?

8 Yehova Mungu alitaka mwanadamu afanye dunia nzima ipendeze—iwe paradiso ya kufurahiwa na watu wote.—Mwanzo 1:28

Wanadamu wangaliweza kuishi milele kama Adamu na Hawa wangalitii Yehova. Walikatazwa kula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya.—Mwanzo 2:15-17

9 Malaika mmoja akawa mbaya akatumia nyoka kufanya Hawa na Adamu wasitii Mungu.—Mwanzo 3:1-6

10 Malaika aliyedanganya Hawa alikuja kuitwa ‘yule nyoka wa zamani, Ibilisi na Shetani.’—Ufunuo 12:9

11 Yehova alifukuza katika paradiso watu wawili hao ambao hawakutii.—Mwanzo 3:23, 24

12 Adamu na Hawa walizaa watoto, lakini jamaa nzima haikuwa na furaha.—Mwanzo 3:17, 18

13 Ikawa lazima wawe wazee na kufa, kama Yehova alivyokuwa amesema.—Mwanzo 3:19; Warumi 5:12

14 Basi walikufa kama wale wanyama.

Nafsi zote duniani zinakufa.—Mhubiri 3:18-20; Ezekieli 18:4, tafsiri ya Biblia ya New World na Zaire Swahili Bible

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki