Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • le uku. 8
  • Kifo ni Nini?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kifo ni Nini?
  • Furahia Milele Maisha Duniani!
  • Habari Zinazolingana
  • Uchawi Waenea Pote—Je! Ni Hatari?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
  • Ukweli Kuhusu Malaika
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Viumbe wa Roho Wanahusikaje Katika Maisha Yetu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Je, Wanadamu Huwa Malaika Wanapokufa?
    Amkeni!—2006
Pata Habari Zaidi
Furahia Milele Maisha Duniani!
le uku. 8

Kifo ni Nini?

15 Wakati mwanadamu anapokufa, anarudi katika mavumbi. Sasa anakuwa hajui jambo lo lote tena.—Zaburi 146:4

Watu waliokufa hawawezi kusema na wewe na hawawezi kufanya jambo lo lote.—Mhubiri 9:5, 10

16 Lakini malaika wengi waligeuka wakawa wabaya. Sasa wanajifanya kwamba wao ndio watu ambao wamekufa. Wanataka tuamini kwamba tunapokufa tunaendelea kuishi.—Mwanzo 6:1, 2; Yuda 6

17 Kwa hiyo Yehova Mungu hataki sisi tuamini maneno ya malaika hao wabaya, wanaoitwa mashetani.—Kutoka 22:18; Kumbukumbu la Torati 18:10, 11; 32:17

Yeye hataki tuendee wachawi, tufanye mambo ya ulogi na kuvaa hirizi. —Wagalatia 5:19-21

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki