Uhai–Ulipataje Kuwa Hapa? Kwa njia ya mageuzi au kwa uumbaji?
Wengi wametaka kujua hivi: Je! sisi ni wazao wa wanyama walio kama nyani walioishi mamilioni ya miaka iliyopita? Au Mungu aliumba mtu, na namna zote za uhai, kwa njia ya moja kwa moja na si kwa njia ya mageuzi? Sisi tulitoka wapi hasa? Kwa nini tupo hapa? Na tunaelekea wapi? Kitabu hiki katika Kiingereza ni kikubwa, kina kurasa 256, kina picha zenye kupendeza na kina vyanzo vya kutosha kabisa kuthibitisha yaliyomo. Kinaandaa majibu yenye kuridhisha, kikinakili maneno ya wanasayansi mashuhuri na pia ya Biblia yenyewe. Chapatikana kwa mchango wa Kshs. 40/- (Tshs. 150/-; RWF 250). (Mchango huelekea kubadilika.) Andika kwa kutumia anwani kutoka ukurasa wa mwisho.
Kitabu hiki katika Kiswahili kinazungumzia kweli za msingi za Biblia na kinakazia tumaini la uzima wa milele katika paradiso ya kidunia. Kinatia ndani majibu yenye kuridhisha ya Biblia kwa maulizo kama: Inakuwaje wakati wa kufa? Ufufuo—kwa ajili ya nani na wapi? Kwa nini Mungu ameruhusu uovu? Biblia inaweza kukusaidiaje wewe uwe na maisha ya jamaa yenye furaha? Ni rahisi kufahamu. Ni chenye picha zenye kupendeza, ni kikubwa, kina kurasa 256. Chapatikana kwa mchango wa Kshs. 40/- (Tshs. 150/-; RWF 250). (Mchango huelekea kubadilika.) Andika kwa kutumia anwani kutoka ukurasa wa mwisho.
Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani
Kitabu hiki katika Kiswahili kinazungumzia kweli za msingi za Biblia na kinakazia tumaini la uzima wa milele katika paradiso ya kidunia. Kinatia ndani majibu yenye kuridhisha ya Biblia kwa maulizo kama: Inakuwaje wakati wa kufa? Ufufuo—kwa ajili ya nani na wapi? Kwa nini Mungu ameruhusu uovu? Biblia inaweza kukusaidiaje wewe uwe na maisha ya jamaa yenye furaha? Ni rahisi kufahamu. Ni chenye picha zenye kupendeza, ni kikubwa, kina kurasa 256. Chapatikana kwa mchango wa Kshs. 40/- (Tshs. 150/-; RWF 250). (Mchango huelekea kubadilika.) Andika kwa kutumia anwani kutoka ukurasa wa mwisho.