Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Miujiza

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Miujiza
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
  • Vichwa vidogo
  • Miujiza Katika Biblia
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

MIUJIZA

(Ona pia Biblia, Usahihi wa; Lugha, Kusema kwa; Uponyaji [Maponyo])

Biblia ni muujiza: w05 2/15 6-7

dini ya Ubudha: w05 2/15 3-4

dini zinazodai kuwa za Kikristo: w05 2/15 4-5

madaktari wamechunguza uponyaji: w08 12/1 23

Isaya na wanawe walikuwa kama ‘ishara na miujiza’ (Isa 8:18): ip-1 116

Kanisa Katoliki:

sanamu ya Maria ‘yalia machozi ya damu’: g98 3/8 31; g96 6/8 28-29

kuamini miujiza: w12 8/1 3

maelezo: w12 8/1 3-10; w05 2/15 3-8

miujiza haiwatambulishi Wakristo wa kweli leo: rs 120, 122-124, 357-358; ol 22, 24; jv 705

miujiza si muhimu ili mtu amwamini Mungu: w97 3/15 3-7

miujiza ya siku hizi: w09 5/1 28

chanzo cha miujiza inayofanana na ile inayotajwa katika Biblia: rs 355-357, 359

leo hakuna miujiza kama ile inayotajwa katika Biblia: w09 6/1 22; w05 2/15 4

miujiza halisi ambayo watu wameona: w05 2/15 5-7

miujiza ya wakati ujao: w12 8/1 8-10

ufafanuzi: w12 8/1 3; w05 2/15 3, 5

Uislamu: w05 2/15 3-4

Miujiza Katika Biblia

Elisha: w05 8/1 10

amfufua mwana wa Mshunamu: w10 8/1 27; w05 5/1 5-6; my 68

amponya Naamani mwenye ukoma: w08 6/1 24-25; w99 6/15 21-22

baada ya kufa kwake: w05 8/1 11

mjane ajaziwa mafuta: w12 2/1 29-30

Eliya:

akimbia na kulipita gari la kukokotwa la Ahabu: w11 7/1 18; w08 4/1 20

amfufua mwana wa mjane: w07 5/15 28-29; w05 5/1 5; my 68; cl 83-84; w99 4/1 16

moto kutoka mbinguni: w08 1/1 19-21; w98 1/1 30-31; w97 9/15 11-12

ukame: w08 4/1 17-20

Haruni:

fimbo yageuka kuwa nyoka: w96 1/15 24

kusudi: w97 3/15 6; jv 236, 705

katika karne ya kwanza: w10 4/15 9; rs 358

mitume waachiliwa kutoka gerezani: bt 38-39; my 106

miujiza haikutukia mara nyingi: jv 705

miujiza ni matukio halisi: w12 8/1 7-8; w12 8/15 30; g 11/07 22; g97 7/8 26

ni jambo la akili kuamini kwamba miujiza ilitukia: w09 1/1 29; ct 126-127

si mifano tu ya kufundisha maadili: w05 2/15 5

vipingamizi: w12 8/1 4-6

wanasayansi hawawezi kuthibitisha kwamba haikutukia: w02 12/15 3

mtu aliyewafukuza roho waovu ijapokuwa hakumfuata Yesu: w08 3/15 31

Musa: my 39-41

agawanya Bahari Nyekundu: my 33; ct 124-127; g98 1/22 28

mapigo kumi: my 31-32

Paulo:

amfufua Eutiko: bt 12, 165, 168-169

ampofusha Elima: bt 87-88

amponya baba ya Publio: bt 210

Efeso: bt 162

hakufa alipoumwa na nyoka: bt 210; w99 5/1 30-31

Petro:

amponya mwombaji kilema: bt 28-29

roho takatifu iliwawezesha watu kufanya miujiza: w10 4/15 9

si mambo ya asili tu: w12 8/1 6

Wakristo wa karne ya kwanza:

kusema kwa lugha: w10 10/1 29-30

uponyaji: rs 356-358

zawadi za roho: w10 4/15 9

zawadi za roho zilivyopitishwa: bt 63

zawadi za roho zingekoma: w09 5/1 28; rs 123-124, 358

wanafunzi wa Yesu:

washindwa kumponya mvulana (Mt 17:20; Mk 9:29): w98 8/1 30

Yehova: my 30-35, 39-42

Eliya aona matukio yenye kustaajabisha karibu na Mlima Horebu (1Fa 19): w11 7/1 21-22; cl 37, 43

giza la muda Yesu alipokufa: w08 3/15 32; g 3/08 29

jua na mwezi vyasimama tuli: w04 12/1 11; my 49

kivuli charudi nyuma vipandio kumi: w07 1/15 8; ip-1 394-395

kuta za Yeriko zaanguka: my 46

mana: w99 8/15 25

Maria achukua mimba ya Yesu: bh 42; rs 182; lr 32-33; g99 8/8 30; ct 145-146

moto kutoka mbinguni wateketeza dhabihu ya Eliya: w08 1/1 19-21; w98 1/1 30-31; w97 9/15 11-12

Waisraeli wavuka Yordani: my 45

Yona amezwa na samaki: w09 1/1 28-29; g 12/09 16-17

Yesu Kristo: bm 21; cl 92-93; w99 7/1 5-6

alaani mtini: w03 5/15 26

alivyotumia mate: cl 94

aliwaagiza wale ambao aliwaponya wasiwaambie wengine: w08 2/15 28

amfufua binti Yairo: w07 5/1 7; my 92; rs 323-324; lr 183-185

amfufua Lazaro: w11 4/1 13-15; w10 8/1 14-15; w09 3/1 24; w08 1/1 31; w08 5/1 24; g 10/07 29; w06 3/15 4; w06 6/15 5-6; w05 5/1 7; bh 67-68, 70-71; we 26-30; rs 323; lr 178-179; g01 7/8 13; w00 9/15 14-15; w99 4/1 17; ct 158-160; ie 25-26

amfufua mwana wa mjane: w08 3/1 23; w07 5/1 6; cf 155-156; w05 5/1 6; lr 185-186; cl 296

amponya binti ya mwanamke Mfoinike: w10 10/15 4-5; w08 5/1 23; cf 147; cl 218

amponya mama-mkwe wa Petro: ct 150

amponya mtumwa ambaye sikio lake lilikatwa: ct 155

amponya mtu mwenye mkono uliopooza: lr 139-140; w98 8/1 9-10; w97 10/15 30

amponya mwanamke anayetokwa na damu: w10 5/15 9; w10 8/15 29-30; w09 9/15 9; g 1/08 4-5; w03 8/15 25; w02 8/15 13; w01 12/15 19-20; w98 8/1 11; w96 9/1 16

atembea juu ya maji: w09 10/1 24-25; lr 174-175

atengeneza divai katika karamu ya arusi huko Kana: cf 144-145; w97 6/15 13

atuliza dhoruba: lr 173-175; cl 87-88; w00 1/1 32

awafukuza roho waovu: w98 8/1 30

awalisha maelfu: w10 10/15 4; cf 155; my 93

awaponya vipofu: g 5/11 6-7; w08 2/15 29; w08 4/1 30; w08 4/15 29; w08 5/1 23; w07 8/1 5; cf 150, 152, 154; w03 8/1 19; w00 2/15 17

awaponya viziwi: cf 154; cl 94-95; w00 2/15 17; w96 3/1 5-6

awaponya watu waliopooza: lr 122-124

awaponya wenye ukoma: w09 1/15 6-7; w08 8/1 14-15; w08 8/15 15; w08 12/1 5; cf 153; w06 8/1 5-6; lr 97-101; cl 293-295; w98 2/15 4-5

idadi ya miujiza aliyofanya: w04 8/15 30; cl 92

Kana: cf 144-145

kusudi: w11 4/1 6; bm 21; w00 2/15 24; rq 6

maponyo ya roho ya siku hizi ni tofauti na jinsi Yesu alivyoponya: w08 12/1 22-23

miujiza ya Yesu inaonyesha baraka zitakazokuja: w10 8/15 29-30; cl 95-96

miujiza ya Yesu si uthibitisho wa kwamba yeye ni Mungu: rs 434

miujiza ya Yesu si uthibitisho wa kwamba yeye ni sehemu ya Utatu: rs 434

muujiza wa kwanza: cf 144-145

mwonjo wa Ufalme: w10 8/15 29-30; w09 3/15 12; g05 4/22 11; w02 5/1 4-6; cl 95-96

samaki wengi wavuliwa: w09 10/1 22-23; w04 7/1 9-10

uponyaji: w12 11/1 9; my 96; w97 7/1 4-6

uthibitisho wa kwamba alifanya miujiza: w04 7/15 3-7

uthibitisho wa kwamba Yehova anamjali mtu mmojammoja: w96 3/1 5-6

watu waliofufuliwa: rs 323-324; cl 93

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki