MIUJIZA
(Ona pia Biblia, Usahihi wa; Lugha, Kusema kwa; Uponyaji [Maponyo])
Biblia ni muujiza: w05 2/15 6-7
dini ya Ubudha: w05 2/15 3-4
dini zinazodai kuwa za Kikristo: w05 2/15 4-5
madaktari wamechunguza uponyaji: w08 12/1 23
Isaya na wanawe walikuwa kama ‘ishara na miujiza’ (Isa 8:18): ip-1 116
Kanisa Katoliki:
sanamu ya Maria ‘yalia machozi ya damu’: g98 3/8 31; g96 6/8 28-29
kuamini miujiza: w12 8/1 3
maelezo: w12 8/1 3-10; w05 2/15 3-8
miujiza haiwatambulishi Wakristo wa kweli leo: rs 120, 122-124, 357-358; ol 22, 24; jv 705
miujiza si muhimu ili mtu amwamini Mungu: w97 3/15 3-7
miujiza ya siku hizi: w09 5/1 28
chanzo cha miujiza inayofanana na ile inayotajwa katika Biblia: rs 355-357, 359
leo hakuna miujiza kama ile inayotajwa katika Biblia: w09 6/1 22; w05 2/15 4
miujiza halisi ambayo watu wameona: w05 2/15 5-7
miujiza ya wakati ujao: w12 8/1 8-10
ufafanuzi: w12 8/1 3; w05 2/15 3, 5
Uislamu: w05 2/15 3-4
Miujiza Katika Biblia
Elisha: w05 8/1 10
amfufua mwana wa Mshunamu: w10 8/1 27; w05 5/1 5-6; my 68
amponya Naamani mwenye ukoma: w08 6/1 24-25; w99 6/15 21-22
baada ya kufa kwake: w05 8/1 11
mjane ajaziwa mafuta: w12 2/1 29-30
Eliya:
akimbia na kulipita gari la kukokotwa la Ahabu: w11 7/1 18; w08 4/1 20
amfufua mwana wa mjane: w07 5/15 28-29; w05 5/1 5; my 68; cl 83-84; w99 4/1 16
moto kutoka mbinguni: w08 1/1 19-21; w98 1/1 30-31; w97 9/15 11-12
ukame: w08 4/1 17-20
Haruni:
fimbo yageuka kuwa nyoka: w96 1/15 24
kusudi: w97 3/15 6; jv 236, 705
katika karne ya kwanza: w10 4/15 9; rs 358
mitume waachiliwa kutoka gerezani: bt 38-39; my 106
miujiza haikutukia mara nyingi: jv 705
miujiza ni matukio halisi: w12 8/1 7-8; w12 8/15 30; g 11/07 22; g97 7/8 26
ni jambo la akili kuamini kwamba miujiza ilitukia: w09 1/1 29; ct 126-127
si mifano tu ya kufundisha maadili: w05 2/15 5
vipingamizi: w12 8/1 4-6
wanasayansi hawawezi kuthibitisha kwamba haikutukia: w02 12/15 3
mtu aliyewafukuza roho waovu ijapokuwa hakumfuata Yesu: w08 3/15 31
Musa: my 39-41
agawanya Bahari Nyekundu: my 33; ct 124-127; g98 1/22 28
mapigo kumi: my 31-32
Paulo:
amfufua Eutiko: bt 12, 165, 168-169
ampofusha Elima: bt 87-88
amponya baba ya Publio: bt 210
Efeso: bt 162
hakufa alipoumwa na nyoka: bt 210; w99 5/1 30-31
Petro:
amponya mwombaji kilema: bt 28-29
roho takatifu iliwawezesha watu kufanya miujiza: w10 4/15 9
si mambo ya asili tu: w12 8/1 6
Wakristo wa karne ya kwanza:
kusema kwa lugha: w10 10/1 29-30
uponyaji: rs 356-358
zawadi za roho: w10 4/15 9
zawadi za roho zilivyopitishwa: bt 63
zawadi za roho zingekoma: w09 5/1 28; rs 123-124, 358
wanafunzi wa Yesu:
washindwa kumponya mvulana (Mt 17:20; Mk 9:29): w98 8/1 30
Eliya aona matukio yenye kustaajabisha karibu na Mlima Horebu (1Fa 19): w11 7/1 21-22; cl 37, 43
giza la muda Yesu alipokufa: w08 3/15 32; g 3/08 29
jua na mwezi vyasimama tuli: w04 12/1 11; my 49
kivuli charudi nyuma vipandio kumi: w07 1/15 8; ip-1 394-395
kuta za Yeriko zaanguka: my 46
mana: w99 8/15 25
Maria achukua mimba ya Yesu: bh 42; rs 182; lr 32-33; g99 8/8 30; ct 145-146
moto kutoka mbinguni wateketeza dhabihu ya Eliya: w08 1/1 19-21; w98 1/1 30-31; w97 9/15 11-12
Waisraeli wavuka Yordani: my 45
Yona amezwa na samaki: w09 1/1 28-29; g 12/09 16-17
Yesu Kristo: bm 21; cl 92-93; w99 7/1 5-6
alaani mtini: w03 5/15 26
alivyotumia mate: cl 94
aliwaagiza wale ambao aliwaponya wasiwaambie wengine: w08 2/15 28
amfufua binti Yairo: w07 5/1 7; my 92; rs 323-324; lr 183-185
amfufua Lazaro: w11 4/1 13-15; w10 8/1 14-15; w09 3/1 24; w08 1/1 31; w08 5/1 24; g 10/07 29; w06 3/15 4; w06 6/15 5-6; w05 5/1 7; bh 67-68, 70-71; we 26-30; rs 323; lr 178-179; g01 7/8 13; w00 9/15 14-15; w99 4/1 17; ct 158-160; ie 25-26
amfufua mwana wa mjane: w08 3/1 23; w07 5/1 6; cf 155-156; w05 5/1 6; lr 185-186; cl 296
amponya binti ya mwanamke Mfoinike: w10 10/15 4-5; w08 5/1 23; cf 147; cl 218
amponya mama-mkwe wa Petro: ct 150
amponya mtumwa ambaye sikio lake lilikatwa: ct 155
amponya mtu mwenye mkono uliopooza: lr 139-140; w98 8/1 9-10; w97 10/15 30
amponya mwanamke anayetokwa na damu: w10 5/15 9; w10 8/15 29-30; w09 9/15 9; g 1/08 4-5; w03 8/15 25; w02 8/15 13; w01 12/15 19-20; w98 8/1 11; w96 9/1 16
atembea juu ya maji: w09 10/1 24-25; lr 174-175
atengeneza divai katika karamu ya arusi huko Kana: cf 144-145; w97 6/15 13
atuliza dhoruba: lr 173-175; cl 87-88; w00 1/1 32
awafukuza roho waovu: w98 8/1 30
awalisha maelfu: w10 10/15 4; cf 155; my 93
awaponya vipofu: g 5/11 6-7; w08 2/15 29; w08 4/1 30; w08 4/15 29; w08 5/1 23; w07 8/1 5; cf 150, 152, 154; w03 8/1 19; w00 2/15 17
awaponya viziwi: cf 154; cl 94-95; w00 2/15 17; w96 3/1 5-6
awaponya watu waliopooza: lr 122-124
awaponya wenye ukoma: w09 1/15 6-7; w08 8/1 14-15; w08 8/15 15; w08 12/1 5; cf 153; w06 8/1 5-6; lr 97-101; cl 293-295; w98 2/15 4-5
idadi ya miujiza aliyofanya: w04 8/15 30; cl 92
Kana: cf 144-145
kusudi: w11 4/1 6; bm 21; w00 2/15 24; rq 6
maponyo ya roho ya siku hizi ni tofauti na jinsi Yesu alivyoponya: w08 12/1 22-23
miujiza ya Yesu inaonyesha baraka zitakazokuja: w10 8/15 29-30; cl 95-96
miujiza ya Yesu si uthibitisho wa kwamba yeye ni Mungu: rs 434
miujiza ya Yesu si uthibitisho wa kwamba yeye ni sehemu ya Utatu: rs 434
muujiza wa kwanza: cf 144-145
mwonjo wa Ufalme: w10 8/15 29-30; w09 3/15 12; g05 4/22 11; w02 5/1 4-6; cl 95-96
samaki wengi wavuliwa: w09 10/1 22-23; w04 7/1 9-10
uponyaji: w12 11/1 9; my 96; w97 7/1 4-6
uthibitisho wa kwamba alifanya miujiza: w04 7/15 3-7
uthibitisho wa kwamba Yehova anamjali mtu mmojammoja: w96 3/1 5-6
watu waliofufuliwa: rs 323-324; cl 93