‘Mwisho wa Ukamilifu’
Mtunga zaburi alisema: “Nimeona ukamilifu wote kuwa na mwisho, bali agizo lako ni pana mno.” (Zab. 119:96) Cho chote kionekanacho kuwa kikamalifu kulingana na maoni ya mwanadamu, kina kasoro. Lakini, agizo la Yehova halina kasoro hizo bali linatoa uongozi bora kabisa wa pande zote za maisha. The Jerusalem Bible yatafsiri maneno ya mtunga zaburi ifuatavyo: “Nimeona kasoro katika ukamilifu wote lakini, lakini amri yako haina mipaka hata kidogo.”