Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1988
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inaonekana
BIBLIA
Biblia na Adili ya Utineja, 4/15
Inajipinganisha Yenyewe? 2/1
Inastahili Kufanyiwa Fasiri Yoyote Tu? 12/15
Ithibati ya Uhifadhi wa Kimungu, 11/15
Kitabu cha Asili na Biblia, 3/1
Kodeksi ya Alexandrine, 12/15
Kuiponyosha Codex Sinaiticus, 10/15
Lile Fumbo la Malango, 8/15
Mapokeo ya Kidini na Biblia, 12/1
Nani Aliandika Biblia? 2/1
Sarafu za Kale Zashuhudia Ukweli wa Kiunabii Talaka—Biblia Inasema Nini Hasa? 5/15
KUJUA YALIYO KATIKA HABARI
(1/15, 2/15, 4/15, 5/15, 6/15, 7/15, 8/15, 10/15, 11/15, 12/15)
MAISHA NA HUDUMA YA YESU
(Makala zinatokea katika kila toleo.)
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Kudumisha Umoja Wetu wa Kikristo, 8/15
Kujiweza, 2/15
Kumbuka Kanuni za Kikristo, 10/1
Kutimiza Mahitaji ya Walio na Umri Mkubwa Kati Yetu—Takwa Gumu la Kikristo, 7/15
Kuwa Mhudumu Mwagizwa Rasmi—Njia ya Mungu! 6/15
Kuwa Mwenye Shukrani, 7/1
“Maneno ya Kiroho” kwa Wenye Kutaabika Akilini, 11/15
Mtaabiko wa Akilini—Wakati Unaposumbua Mkristo, 10/15
“Neno Lenye Kusemwa Kwenye Wakati Ule Unaofaa,” 2/1
Ni Jinsi Gani Sisi Tutamlipa Yehova Marudishio? 12/1
Utii Unafaa Sikuzote? 4/1
Watoto ‘kwa Kuazimwa’—Zoea Hili Ni la Hekima Kadiri Gani? 9/1
Wewe Unaweza Kuhamisha Milima! 12/15
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Dhihirisha Itibari Katika Yehova—Kwa Kuzoea Mambo Uliyojifunza, 8/15
Endelea Kuhubiri Ule Ufalme, 1/1
Fanya Yehova Awe Itibari Yako, 4/15
“Habari Njema Lazima Zihubiriwe Kwanza,” 1/1
“Hii Ndiyo Siku ya Siku Zote,” 10/15
“Hofuni Mungu na Kumpa Yeye Utukufu,” 12/15
Hukumu za Mungu Lazima Zitangazwe, 4/1
Itibari Katika Yah Yehova! 1/15
Itibari Katika Yehova Inaongoza Kwenye Wakfu na Ubatizo, 3/15
Jamii ya Watu Wanaotembea Katika Hatua za Nyayo za Yesu, 5/1
Je! Maskani Yako Ni Mahali pa Pumziko na Amani? 11/1
Je! Mungu Amekuita Wewe Kwenye Amani? 11/1
Jenga Itibari Katika Yehova—Kwa Kujifunza Neno Lake kwa Bidii-Endelevu, 8/15
Je! Wewe Unathamini Mambo Matakatifu? 6/15
Je! Wewe Utakuwa Shahidi kwa Ajili ya Yule Mungu wa Kweli? 2/1
Jumbe za Kimalaika kwa Siku Yetu, 12/15
Jumuiya ya Wakristo Yafichuliwa Kuwa Ndiyo Mwendelezaji wa Ibada Bandia, 4/1
Katika Nyakati Zetu Zenye Hofu, Ni Nani Unayeweza Kuitibari Kikweli? 4/15
Kesi ya Mahakama ya Ulimwengu Wote Mzima Ambayo Inakuhusisha Wewe Ndani, 2/1
Kirihi Kabisa Mwendo Wenye Aibu wa Ulimwengu, 6/15
Kuifunua Wazi Sura ya Yule Nyoka, 9/1 Kusaidia Wengine Waabudu Mungu, 11/15
Kutumikia Yehova Tukiwa Wafanya Kazi Wenzake Wenye Kuitibari, 3/15
Lile Takwa Gumu la Kufuata Katika Hatua za Nyayo Zake, 5/1
Maarifa Sahihi ya Kujua Mungu na Mwana Wake Yanaongoza Kwenye Uhai, 6/1
“Mjionyeshe Wenyewe Kuwa Wenye Shukrani,” 7/1
“Msiache Mioyo Yenu Ninyi Ifadhaike,” 2/15
Mungu Si Mwenye Upendeleo, 5/15
“Mwendelee Kuwachukua Watu wa Namna Hiyo Kuwa Wapendwa Wanaothaminika,” 10/1
Nani Atakuwa Mwenye Kukubaliwa na Yehova? 11/15
Nidhamu Inayoweza Kuzaa Tunda Lenye Kuamanika, 4/15
“Ninyi na Mwe na Amani,” 2/15
Sikiliza—Mlinzi wa Yehova Anena! 9/15
Siku ya Bwana Itamaanisha Nini Kwako Wewe? 10/15
Simama Imara Dhidi ya Hila za Shetani, 9/1
Toa Uangalifu Daima kwa Fundisho Lako, 7/15
Tumikieni Yehova kwa Upatano Mmoja, 5/15
Usichoke Kutenda Yaliyo Mema, 7/15
Uthamini kwa Ndugu Zetu, 10/1
Uzazi Miongoni mwa Watu wa Mungu, 3/1
Uzazi Unaojali Madaraka ya Kuzaa Katika Huu Wakati wa Mwisho, 3/1
Vijana—Lindeni Dhidi ya Kuendesha Maisha Maradufu, 8/1
Wakati Amani ya Ndoa Inapotishika, 11/1
Wakati Yehova Alipofunza Wafalme Masomo, 12/1
Wazazi—Fikieni Moyo wa Mtoto Wenu Kutoka Utoto Mchanga, 8/1
“Watalazimika Kujua Kwamba Mimi Ni Yehova,” 9/15
Yehova Achomoa Upanga Wake Kutoka Ala! 9/15
Yehova Huthawabisha Imani na Ushujaa, 12/1
Yehova—Uthabiti Wetu, 1/15
Yeremia—Nabii wa Hukumu za Mungu Asiyependwa na Wengi, 4/1
Yesu Kristo—Mwana Mpendwa wa Mungu, 6/1
Zile Siku za Mwisho—Wakati wa Mavuno, 1/1
MAMBO MENGINE
Afanywa Mwenye Hekima kwa ‘‘Kutozwa Faini,” 6/1
Ashuru Yenye Ukatili—Ile Serikali Kubwa ya Pili ya Ulimwengu, 2/15
Babuloni Wenye Uweza—Ile Serikali Kubwa ya Tatu ya Ulimwengu, 3/1
Cayman—Visiwa Vilivyosahaulika Baada ya Muda Kupita, 10/15
Chanzo cha Furaha, 8/15
“Haki ya Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya, 2/15
Ibada ya Shetani Katika Wakati Wetu, 9/1
Ile Ishara—Wewe Umeiona? 10/1
Ile Ishara—Wewe Unaitii? 10/15
Ile Serikali Kubwa ya Sita ya Ulimwengu—Roma! 5/1
Jinsi ya Kuimarisha Vifungo vya Kijamaa, 4/1
Jinsi ya Kuwa Mzazi Mwenye Mafanikio, 5/1
Kubadili Dini, 6/1
Kudhabihu Vijana—Hakutoki kwa Mungu, 1/15
Kutazama Ugiriki, 10/1
Kwa Sababu Gani Kuna Watoto Wengi Sana Wanaotoroka? 4/1
Kweli Wanasema na Wafu? 1/15
Maandiko ya Biblia Yachunguzwa, 9/1
Mfinyo wa Kupata Mafanikio, 8/15
Mifano ya Kidini, 8/1
Misri ya Kale—Ya Kwanza ya Zile Serikali Kubwa za Ulimwengu, 2/1
Mzee-Mzee Mwenye Uthamini, 1/15
Sababu Inayofanya Wewe Upaswe Kupendezwa, 2/1
Sala Ambazo Zinajibiwa, 3/15
Sala Juu ya Mlima Hiei, 3/15
Serikali Kubwa za Ulimwengu za Historia ya Biblia Zapiga Miguu Kwenda Kwenye Mwisho Wazo! 2/1
‘Shaba Inayolia au Upatu Unaovuma,’ 11/1
Shetani—Je’ Yeye Ni Halisi? 9/1
Tai au Ndege-Wanofua-Mizoga? 10/15
“Toka Katika Bara Lako na Kutoka kwa Watu wa Ukoo Wako,” 8/15
Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Uumbaji wa Mungu? 3/1
Ufuataji Haki, 2/15
Ugiriki—Ile Serikali Kubwa ya Tano ya Ulimwengu, 4/15
Ule Msafara Mrefu wa Serikali Kubwa za Ulimwengu Wakaribia Mwisho Wao, 6/1
Ule Ulimwengu Mpya—Paradiso Iliyopatikana Tena! 11/15
Umedi-Uajemi—Ile Serikali Kubwa ya Nne ya Ulimwengu Katika Historia ya Biblia, 3/15
Utawala wa Ulimwengu Unabadilika, 6/15
Vita Ambayo Itavimaliza Vita, 11/1
Wakati Ujao Mwangavu wa Dunia Chini ya Ufalme wa Mungu, 6/15
Wakati Watoto Wanapozaa Watoto, 4/15
Wale Mamajusi Watatu—Ni Uhakika au Ni Hadithi Tu? 12/15
Wapendwa Wetu Wafu Wako Wapi Sasa? 9/15
Watu Wema Wote Huenda Mbinguni? 9/15
Ya Mwisho ya Zile Serikali Kubwa za Ulimwengu, 5/15
“Yehova Ni Mchungaji Wangu,” 7/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
Darasa la 84 la Gileadi, 6/1
Darasa la 85 Lenye Kuhitimu, 12/1
Hatua Kubwa Nyingine Katika Elimu ya Biblia, 3/15
Haya Mbele, Enyi Mashahidi! 3/15
Je! Ni Wanyonyaji Wanaotumia ‘Umaskini na Ujinga’? 7/1
Kisiwa Thursday Chasikia Zile Habari Njema, 2/15
Kupainia Kandokando ya Mto Amazon, 11/15
Kutangaza Ukweli Katika Misafa ya Milima Mirefu ya Austria, 3/15
Kutukuza Jina la Yehova Katika Visiwa vya Bahari, 7/1
Mkusanyiko Ambao Uliongeza Itibari Yetu Katika Yehova, 1/15
Mlango Ulio Wazi wa Kwenda Kwenye Visiwa vya San Blas, 5/15
Mpiganaji Thabiti kwa Ajili ya Ukweli, 9/15
Safari Yetu Isiyosahaulika ya Kwenda Vanuatu, 7/15
Waeneza-Evanjeli Wavuna Mavuno Ulimwenguni Pote, 1/1
Wakati Mmoja Ulishirikiana na Tengenezo la Yehova? 1/15
Wakristo—Imara Lakini Wenye Kupindikana, 9/15
Wao Walisadikishwa Juu ya Upendo wa Yehova, 6/15
‘Wamejiweka Wakfu Milele kwa Yule Mungu Mkuu Yehova,’ 4/1
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
‘Kamba Zimeniangukia Mahali Pema,’ 8/1
Maisha Yangu Katika Tengenezo la Yehova Lenye Kuelekezwa kwa Roho (Albert D. Schroeder), 3/1
Maisha Yetu Yenye Kuthawabisha Tukiwa Wamisionari Katika Afrika (John Miles), 10/1
Mimi Nilipata Haki—Si Katika Siasa Bali Katika Ukristo wa Kweli (Xavier Noll), 7/1
Sisi Tuligeukia Chanzo cha Uadilifu wa Kweli (Erwin Grosse), 12/1
Uenzi wa Kipainia—Muda wa Maisha Yote (Maud Clark na Mary Grant), 9/1
Yehova Ajaza Kila Uhitaji Wangu (John E. (Ted) Sewell), 11/1
Yehova Haachi Watumishi Wake (Matsue Ishii), 5/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Abrahamu angewezaje kufukuza Hagari na Ishmaeli hivi hivi tu? 2/15
Kulikuwa na maana gani Yehova kumwambia Ezekieli uso wake ungekuwa mgumu kama nyuso za Wayahudi? 7/15
Kulingana na maneno ya Yesu kwenye Yohana 15:15, je! Wakristo wajione kuwa “watumwa” wake, au “marafiki” zake? 6/15
Kwa nini Danieli alipatwa akivaa nguo na mkufu baadaye? 10/1
Kwa sababu gani ni wachache sana wa Mashahidi wa Yehova ambao wanashiriki sehemu ya ule mkate na ile divai? 2/1
Ni nani “wale kumi na wawili” ambao Yesu alijionyesha kwao, 1 Wakorintho 15:5? 1/15
Wagonjwa na viwete waliponywa katika maji ya Bethzatha? 9/1
Yehova kumwambia Ezekieli uso wake ungekuwa mgumu kama nyuso za Wayahudi, 7/15
Yesu alifanya nini “kutayarisha mahali” mbinguni kwa ajili ya wafuasi wake? 5/15
Yesu alikuwa akirejeza kwa Yuda alipomwambia Pilato: “Mwanamume aliyenipa mimi kwako ana dhambi kubwa?” 7/15
Yesu alikuwa akirejeza kwenye kitu gani alipokuwa akiuliza Petro, “Wewe wanipenda kuliko hawa”? 11/1
Yohana 9:41—Yesu alimaanisha kwamba wanadamu fulani hawana dhambi? 8/1
Wale ambao Yehova aliharibu katika Sodoma na Gomora watafufuliwa? 6/1
Wayahudi walikuwa na mamlaka yo yote ya kisheria kumfisha Yesu? 7/1
WATANGAZAJI WA UFALME WARIPOTI
(Katika kila toleo la tarehe ya kwanza ya mwezi.)
YEHOVA
Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu—Usikose Kusudi Lazo! 8/1
Je! Ye Yote Ameona Mungu? 5/15
Jina la Mungu na Watafsiri wa Biblia, 8/1
Yehova Hutoa Tumaini Katikati ya Majonzi, 9/1
YESU KRISTO
“Kristo, Mwana wa Mungu Aliye Hai,” 7/15
Ni Jinsi Gani Makutano Yalivyomsikia Yesu? 6/15
Uzawa wa Yesu—Je! Ni Hekaya Tu? 6/1
Yesu Kristo—Ni Mungu, Mwanadamu, au Mtu wa Hadithi Tu? 7/15