Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w88 12/15 uku. 31
  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1988

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1988
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • KUJUA YALIYO KATIKA HABARI
  • MAISHA NA HUDUMA YA YESU
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • WATANGAZAJI WA UFALME WARIPOTI
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
w88 12/15 uku. 31

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1988

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inaonekana

BIBLIA

Biblia na Adili ya Utineja, 4/15

Inajipinganisha Yenyewe? 2/1

Inastahili Kufanyiwa Fasiri Yoyote Tu? 12/15

Ithibati ya Uhifadhi wa Kimungu, 11/15

Kitabu cha Asili na Biblia, 3/1

Kodeksi ya Alexandrine, 12/15

Kuiponyosha Codex Sinaiticus, 10/15

Lile Fumbo la Malango, 8/15

Mapokeo ya Kidini na Biblia, 12/1

Nani Aliandika Biblia? 2/1

Sarafu za Kale Zashuhudia Ukweli wa Kiunabii Talaka​—Biblia Inasema Nini Hasa? 5/15

KUJUA YALIYO KATIKA HABARI

(1/15, 2/15, 4/15, 5/15, 6/15, 7/15, 8/15, 10/15, 11/15, 12/15)

MAISHA NA HUDUMA YA YESU

(Makala zinatokea katika kila toleo.)

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Kudumisha Umoja Wetu wa Kikristo, 8/15

Kujiweza, 2/15

Kumbuka Kanuni za Kikristo, 10/1

Kutimiza Mahitaji ya Walio na Umri Mkubwa Kati Yetu​—Takwa Gumu la Kikristo, 7/15

Kuwa Mhudumu Mwagizwa Rasmi​—Njia ya Mungu! 6/15

Kuwa Mwenye Shukrani, 7/1

“Maneno ya Kiroho” kwa Wenye Kutaabika Akilini, 11/15

Mtaabiko wa Akilini​—Wakati Unaposumbua Mkristo, 10/15

“Neno Lenye Kusemwa Kwenye Wakati Ule Unaofaa,” 2/1

Ni Jinsi Gani Sisi Tutamlipa Yehova Marudishio? 12/1

Utii Unafaa Sikuzote? 4/1

Watoto ‘kwa Kuazimwa’​—Zoea Hili Ni la Hekima Kadiri Gani? 9/1

Wewe Unaweza Kuhamisha Milima! 12/15

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Dhihirisha Itibari Katika Yehova​—Kwa Kuzoea Mambo Uliyojifunza, 8/15

Endelea Kuhubiri Ule Ufalme, 1/1

Fanya Yehova Awe Itibari Yako, 4/15

“Habari Njema Lazima Zihubiriwe Kwanza,” 1/1

“Hii Ndiyo Siku ya Siku Zote,” 10/15

“Hofuni Mungu na Kumpa Yeye Utukufu,” 12/15

Hukumu za Mungu Lazima Zitangazwe, 4/1

Itibari Katika Yah Yehova! 1/15

Itibari Katika Yehova Inaongoza Kwenye Wakfu na Ubatizo, 3/15

Jamii ya Watu Wanaotembea Katika Hatua za Nyayo za Yesu, 5/1

Je! Maskani Yako Ni Mahali pa Pumziko na Amani? 11/1

Je! Mungu Amekuita Wewe Kwenye Amani? 11/1

Jenga Itibari Katika Yehova​—Kwa Kujifunza Neno Lake kwa Bidii-Endelevu, 8/15

Je! Wewe Unathamini Mambo Matakatifu? 6/15

Je! Wewe Utakuwa Shahidi kwa Ajili ya Yule Mungu wa Kweli? 2/1

Jumbe za Kimalaika kwa Siku Yetu, 12/15

Jumuiya ya Wakristo Yafichuliwa Kuwa Ndiyo Mwendelezaji wa Ibada Bandia, 4/1

Katika Nyakati Zetu Zenye Hofu, Ni Nani Unayeweza Kuitibari Kikweli? 4/15

Kesi ya Mahakama ya Ulimwengu Wote Mzima Ambayo Inakuhusisha Wewe Ndani, 2/1

Kirihi Kabisa Mwendo Wenye Aibu wa Ulimwengu, 6/15

Kuifunua Wazi Sura ya Yule Nyoka, 9/1 Kusaidia Wengine Waabudu Mungu, 11/15

Kutumikia Yehova Tukiwa Wafanya Kazi Wenzake Wenye Kuitibari, 3/15

Lile Takwa Gumu la Kufuata Katika Hatua za Nyayo Zake, 5/1

Maarifa Sahihi ya Kujua Mungu na Mwana Wake Yanaongoza Kwenye Uhai, 6/1

“Mjionyeshe Wenyewe Kuwa Wenye Shukrani,” 7/1

“Msiache Mioyo Yenu Ninyi Ifadhaike,” 2/15

Mungu Si Mwenye Upendeleo, 5/15

“Mwendelee Kuwachukua Watu wa Namna Hiyo Kuwa Wapendwa Wanaothaminika,” 10/1

Nani Atakuwa Mwenye Kukubaliwa na Yehova? 11/15

Nidhamu Inayoweza Kuzaa Tunda Lenye Kuamanika, 4/15

“Ninyi na Mwe na Amani,” 2/15

Sikiliza​—Mlinzi wa Yehova Anena! 9/15

Siku ya Bwana Itamaanisha Nini Kwako Wewe? 10/15

Simama Imara Dhidi ya Hila za Shetani, 9/1

Toa Uangalifu Daima kwa Fundisho Lako, 7/15

Tumikieni Yehova kwa Upatano Mmoja, 5/15

Usichoke Kutenda Yaliyo Mema, 7/15

Uthamini kwa Ndugu Zetu, 10/1

Uzazi Miongoni mwa Watu wa Mungu, 3/1

Uzazi Unaojali Madaraka ya Kuzaa Katika Huu Wakati wa Mwisho, 3/1

Vijana​—Lindeni Dhidi ya Kuendesha Maisha Maradufu, 8/1

Wakati Amani ya Ndoa Inapotishika, 11/1

Wakati Yehova Alipofunza Wafalme Masomo, 12/1

Wazazi​—Fikieni Moyo wa Mtoto Wenu Kutoka Utoto Mchanga, 8/1

“Watalazimika Kujua Kwamba Mimi Ni Yehova,” 9/15

Yehova Achomoa Upanga Wake Kutoka Ala! 9/15

Yehova Huthawabisha Imani na Ushujaa, 12/1

Yehova​—Uthabiti Wetu, 1/15

Yeremia​—Nabii wa Hukumu za Mungu Asiyependwa na Wengi, 4/1

Yesu Kristo​—Mwana Mpendwa wa Mungu, 6/1

Zile Siku za Mwisho​—Wakati wa Mavuno, 1/1

MAMBO MENGINE

Afanywa Mwenye Hekima kwa ‘‘Kutozwa Faini,” 6/1

Ashuru Yenye Ukatili​—Ile Serikali Kubwa ya Pili ya Ulimwengu, 2/15

Babuloni Wenye Uweza​—Ile Serikali Kubwa ya Tatu ya Ulimwengu, 3/1

Cayman​—Visiwa Vilivyosahaulika Baada ya Muda Kupita, 10/15

Chanzo cha Furaha, 8/15

“Haki ya Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya, 2/15

Ibada ya Shetani Katika Wakati Wetu, 9/1

Ile Ishara​—Wewe Umeiona? 10/1

Ile Ishara​—Wewe Unaitii? 10/15

Ile Serikali Kubwa ya Sita ya Ulimwengu​—Roma! 5/1

Jinsi ya Kuimarisha Vifungo vya Kijamaa, 4/1

Jinsi ya Kuwa Mzazi Mwenye Mafanikio, 5/1

Kubadili Dini, 6/1

Kudhabihu Vijana​—Hakutoki kwa Mungu, 1/15

Kutazama Ugiriki, 10/1

Kwa Sababu Gani Kuna Watoto Wengi Sana Wanaotoroka? 4/1

Kweli Wanasema na Wafu? 1/15

Maandiko ya Biblia Yachunguzwa, 9/1

Mfinyo wa Kupata Mafanikio, 8/15

Mifano ya Kidini, 8/1

Misri ya Kale​—Ya Kwanza ya Zile Serikali Kubwa za Ulimwengu, 2/1

Mzee-Mzee Mwenye Uthamini, 1/15

Sababu Inayofanya Wewe Upaswe Kupendezwa, 2/1

Sala Ambazo Zinajibiwa, 3/15

Sala Juu ya Mlima Hiei, 3/15

Serikali Kubwa za Ulimwengu za Historia ya Biblia Zapiga Miguu Kwenda Kwenye Mwisho Wazo! 2/1

‘Shaba Inayolia au Upatu Unaovuma,’ 11/1

Shetani​—Je’ Yeye Ni Halisi? 9/1

Tai au Ndege-Wanofua-Mizoga? 10/15

“Toka Katika Bara Lako na Kutoka kwa Watu wa Ukoo Wako,” 8/15

Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Uumbaji wa Mungu? 3/1

Ufuataji Haki, 2/15

Ugiriki​—Ile Serikali Kubwa ya Tano ya Ulimwengu, 4/15

Ule Msafara Mrefu wa Serikali Kubwa za Ulimwengu Wakaribia Mwisho Wao, 6/1

Ule Ulimwengu Mpya​—Paradiso Iliyopatikana Tena! 11/15

Umedi-Uajemi​—Ile Serikali Kubwa ya Nne ya Ulimwengu Katika Historia ya Biblia, 3/15

Utawala wa Ulimwengu Unabadilika, 6/15

Vita Ambayo Itavimaliza Vita, 11/1

Wakati Ujao Mwangavu wa Dunia Chini ya Ufalme wa Mungu, 6/15

Wakati Watoto Wanapozaa Watoto, 4/15

Wale Mamajusi Watatu​—Ni Uhakika au Ni Hadithi Tu? 12/15

Wapendwa Wetu Wafu Wako Wapi Sasa? 9/15

Watu Wema Wote Huenda Mbinguni? 9/15

Ya Mwisho ya Zile Serikali Kubwa za Ulimwengu, 5/15

“Yehova Ni Mchungaji Wangu,” 7/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Darasa la 84 la Gileadi, 6/1

Darasa la 85 Lenye Kuhitimu, 12/1

Hatua Kubwa Nyingine Katika Elimu ya Biblia, 3/15

Haya Mbele, Enyi Mashahidi! 3/15

Je! Ni Wanyonyaji Wanaotumia ‘Umaskini na Ujinga’? 7/1

Kisiwa Thursday Chasikia Zile Habari Njema, 2/15

Kupainia Kandokando ya Mto Amazon, 11/15

Kutangaza Ukweli Katika Misafa ya Milima Mirefu ya Austria, 3/15

Kutukuza Jina la Yehova Katika Visiwa vya Bahari, 7/1

Mkusanyiko Ambao Uliongeza Itibari Yetu Katika Yehova, 1/15

Mlango Ulio Wazi wa Kwenda Kwenye Visiwa vya San Blas, 5/15

Mpiganaji Thabiti kwa Ajili ya Ukweli, 9/15

Safari Yetu Isiyosahaulika ya Kwenda Vanuatu, 7/15

Waeneza-Evanjeli Wavuna Mavuno Ulimwenguni Pote, 1/1

Wakati Mmoja Ulishirikiana na Tengenezo la Yehova? 1/15

Wakristo​—Imara Lakini Wenye Kupindikana, 9/15

Wao Walisadikishwa Juu ya Upendo wa Yehova, 6/15

‘Wamejiweka Wakfu Milele kwa Yule Mungu Mkuu Yehova,’ 4/1

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

‘Kamba Zimeniangukia Mahali Pema,’ 8/1

Maisha Yangu Katika Tengenezo la Yehova Lenye Kuelekezwa kwa Roho (Albert D. Schroeder), 3/1

Maisha Yetu Yenye Kuthawabisha Tukiwa Wamisionari Katika Afrika (John Miles), 10/1

Mimi Nilipata Haki​—Si Katika Siasa Bali Katika Ukristo wa Kweli (Xavier Noll), 7/1

Sisi Tuligeukia Chanzo cha Uadilifu wa Kweli (Erwin Grosse), 12/1

Uenzi wa Kipainia​—Muda wa Maisha Yote (Maud Clark na Mary Grant), 9/1

Yehova Ajaza Kila Uhitaji Wangu (John E. (Ted) Sewell), 11/1

Yehova Haachi Watumishi Wake (Matsue Ishii), 5/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Abrahamu angewezaje kufukuza Hagari na Ishmaeli hivi hivi tu? 2/15

Kulikuwa na maana gani Yehova kumwambia Ezekieli uso wake ungekuwa mgumu kama nyuso za Wayahudi? 7/15

Kulingana na maneno ya Yesu kwenye Yohana 15:15, je! Wakristo wajione kuwa “watumwa” wake, au “marafiki” zake? 6/15

Kwa nini Danieli alipatwa akivaa nguo na mkufu baadaye? 10/1

Kwa sababu gani ni wachache sana wa Mashahidi wa Yehova ambao wanashiriki sehemu ya ule mkate na ile divai? 2/1

Ni nani “wale kumi na wawili” ambao Yesu alijionyesha kwao, 1 Wakorintho 15:5? 1/15

Wagonjwa na viwete waliponywa katika maji ya Bethzatha? 9/1

Yehova kumwambia Ezekieli uso wake ungekuwa mgumu kama nyuso za Wayahudi, 7/15

Yesu alifanya nini “kutayarisha mahali” mbinguni kwa ajili ya wafuasi wake? 5/15

Yesu alikuwa akirejeza kwa Yuda alipomwambia Pilato: “Mwanamume aliyenipa mimi kwako ana dhambi kubwa?” 7/15

Yesu alikuwa akirejeza kwenye kitu gani alipokuwa akiuliza Petro, “Wewe wanipenda kuliko hawa”? 11/1

Yohana 9:41—Yesu alimaanisha kwamba wanadamu fulani hawana dhambi? 8/1

Wale ambao Yehova aliharibu katika Sodoma na Gomora watafufuliwa? 6/1

Wayahudi walikuwa na mamlaka yo yote ya kisheria kumfisha Yesu? 7/1

WATANGAZAJI WA UFALME WARIPOTI

(Katika kila toleo la tarehe ya kwanza ya mwezi.)

YEHOVA

Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu​—Usikose Kusudi Lazo! 8/1

Je! Ye Yote Ameona Mungu? 5/15

Jina la Mungu na Watafsiri wa Biblia, 8/1

Yehova Hutoa Tumaini Katikati ya Majonzi, 9/1

YESU KRISTO

“Kristo, Mwana wa Mungu Aliye Hai,” 7/15

Ni Jinsi Gani Makutano Yalivyomsikia Yesu? 6/15

Uzawa wa Yesu​—Je! Ni Hekaya Tu? 6/1

Yesu Kristo​—Ni Mungu, Mwanadamu, au Mtu wa Hadithi Tu? 7/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki