Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w94 12/15 uku. 31
  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1994

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1994
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1994
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI
  • YEHOVA
  • JESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1994
w94 12/15 uku. 31

Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1994

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana

BIBLIA

Biblia ya Kigothi, 5/15

Ilikusudiwa Kueleweka, 10/1

Kitabu Kinachofaa Kusomwa, 5/15

Thamani Yayo Hasa, 10/1

‘Ukurasa Mmoja Waweza Kupenya Giza Kama Nyota,’ 5/15

Unaithamini Biblia? 5/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Chanzo cha Moyo Mkuu wa Daima, 9/15

Funzo la Kibinafsi, 6/15

Heshimu Wengine Utoapo Shauri, 2/1

Jihadhari na Majivuno, 9/1

Jitenge Mbali Hatari Itishapo, 2/15

Kodi, 11/15

Kuazimia Kumtumikia Yehova! 4/15

Kudumisha Upatano Kati ya Wazee na Watumishi wa Huduma, 8/15

Kukabiliana na Tatizo la Kutamani Nyumbani, 5/15

Kumsaidia Mtoto Wako Amchague Yehova, 10/1

Kuonyesha Upendo wa Kikristo kwa Wazee-Wazee, 8/1

Kutoa Pongezi—Uhitaji wa Msingi wa Binadamu, 12/1

Kwa Nini Uwe Mwenye Kusamehe? 9/15

Kweli Ni Wizi? 4/15

Maktaba ya Kitheokrasi, 11/1

Mtihani wa Afya, 12/15

Saburi, 5/15

Thamini Utumishi Wako Mtakatifu, 9/1

Unafanya Mapenzi ya Mungu? 3/1

Ushindani Ndio Ufunguo wa Kufanikiwa? 3/1

Vizuizi Hukuvunja Moyo? 9/1

Wewe Husuluhishaje Matatizo? 7/15

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Ayubu Alivumilia—Hata Sisi Twaweza! 11/15

Daraka Huandamana na Kuijua Dini ya Kweli, 6/1

Fanya Fundisho Lenye Afya Liwe Njia Yako ya Maisha, 6/15

Fanya Ndoa Yako Iwe Muungano Wenye Kudumu, 7/15

Fanyia Jina la Yehova Tangazo la Peupe, 9/15

Furahia Manufaa za Ufundishaji wa Kimungu, 2/1

Hukumu ya Yehova Dhidi ya Wafundishaji Bandia, 3/1

“Jifanyieni Rafiki kwa Mali ya Udhalimu,” 12/1

Jitahidi Kwa Ajili Ya Wokovu wa Nyumba Yako, 7/15

Kuchunga Kundi la Mungu kwa Upendo, 10/1

Kunyenyekea Mamlaka kwa Shangwe, 7/1

Kushindana na Mshiko wa Dhambi juu ya Mwili Wenye Dhambi, 6/15

Kutoa Ushahidi kwa “Mataifa Yote,” 8/15

Mahali Pafaapo pa Ibada ya Yehova Maishani Mwetu, 12/1

Maoni ya Mkristo Kuhusu Mamlaka, 7/1

Matunda—Mazuri na Mabaya, 3/1

Mnara wa Mlinzi na Amkeni!—Majarida ya Wakati Ufaao Yenye Kweli, 1/1

Mtumaini Yehova Atimize Kusudi Lake, 3/15

Mtwikeni Yehova Hangaiko Lenu Lote, 11/15

Mwe Wenye Huruma Nyororo, 11/1

Mwimbie Yehova Sifa, 5/1

Ni Lazima Habari Njema Ihubiriwe Kwanza, 8/15

“Ni Nini Itakayokuwa Ishara ya Kuwapo Kwako?” 2/15

Pata Kimbilio Katika Yehova, 1/1

Sababu Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hufuliza Kulinda, 5/1

Shangilieni Katika Yehova! 9/1

Sitawisha Sifa ya Kukubali Sababu, 8/1

Tembea Kama Ufundishwavyo na Mungu, 4/15

Thawabu ya Ayubu—Chanzo cha Tumaini, 11/15

“Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?” 2/15

Tujapofanywa kwa Mavumbi, Songa Mbele! 9/1

Ufundishaji wa Kimungu Dhidi ya Mafundisho ya Mashetani, 4/1

Ufundishaji wa Kimungu Hushinda, 2/1

Ufundishaji Wenye Kusaidia Kwa Ajili Ya Nyakati Zetu Zenye Hatari, 4/15

Ugomvi wa Yehova na Mataifa, 3/1

Umeipata Dini ya Kweli? 6/1

Unajilisha Katika Meza Ipi? 7/1

Unakinza Roho ya Ulimwengu? 4/1

Vijana—Mnatii Mafundisho ya Nani? 5/15

Wachungaji na Kondoo Katika Theokrasi, 1/15

Wafundisha Kama Alivyofanya Yesu? 10/15

Wameungana Katika Kifungo Kikamilifu cha Upendo, 12/15

Wapiga-Mbiu ya Ufalme Walio Watendaji Duniani Pote, 5/1

Watumishi wa Mungu—Watu Waliopangwa Kitengenezo na Wenye Furaha, 10/1

Watwaeni Kama Kiolezo Manabii wa Mungu, 9/15

Wazazi, Watoto Wenu Wahitaji Uangalifu wa Pekee, 5/15

Wewe Husamehe Kama Afanyavyo Yehova? 10/15

Yehova Atawala—Kupitia Theokrasi, 1/15

Yehova Aweza Kukufanya Uwe Mwenye Nguvu, 12/15

Yehova—Baba Yetu Mwenye Huruma Nyororo, 11/1

Yehova—Mungu wa Kusudi, 3/15

Yehova Ni Mwenye Kukubali Sababu! 8/1

MAMBO MENGINE

Abrahamu—Kazikwa Hapa, na Bado yu Hai? 6/15

Alipewa Neema na Yehova (Mariamu), 11/15

Alitimiza Tamaa ya Moyo Wake (Simeoni), 3/15

Baraza la Dini za Ulimwengu, 2/1

Dini Inatosheleza Mahitaji Yako? 5/1

Fundisho la Kuchukuliwa Mbinguni, 2/15

Hakuwa Mzee Mno Asimtumikie Yehova (Ana), 5/15

Hofu Imeshika Ulimwengu, 7/15

Jitihada ya Kutafuta Dini ya Kweli, 6/1

Kaburi la Petro—Liko Vatikani? 10/15

Kalenda ya Kiyahudi, 7/15

Kanisa Lililogawanyika—Laweza Kudumu? 7/1

‘Kataa Hadithi Zisizo za Kweli,’ 4/1

Krismasi—Kweli Ni ya Kikristo? 12/15

Kufumbua Macho Ili Kuona Habari Njema, 8/15

Kukataa Kuwapo kwa Mungu, 12/1

“Lisha Kinywa, Si Miguu” (Desturi za mazishi za Kiafrika), 3/15

Mageuzi Yajaribiwa, 9/1

Masimulizi ya Matukio ya Yosefu Yenye Kuvutia, 3/15

Mateseko ya Binadamu—Mbona Mungu Anayaruhusu, 11/1

Mlo wa Jioni wa Bwana—Ufanywe Mara Nyingi Kadiri Gani? 3/15

Msiba Katika Rwanda, 12/15

Mtihani wa Afya, 12/15

Mtu Aweza Kuwaje Katika Mfano wa Mungu? 4/1

Mwongozo Wenye Kutumainika, 4/15

Ni Nini Kimepata Mamlaka? 7/1

Roho Waovu, 2/1

Sayansi, Dini, na Jitihada ya Kutafuta Kweli, 9/1

Sherehe za Siku ya Kuzaliwa, 7/15

Tisho la Nyukilia, 8/1

Tumaini kwa Vipofu, 8/15

Ulimwengu Bora Zaidi—Ni Ndoto Tu? 4/1

Upweke, 9/15

Vidhehebu—Hivyo Ni Nini? 2/15

Vita Vitaisha Wakati Wowote? 1/15

Wafu Wako Wapi? 11/15

Wafu Wanaweza Kutuona? 11/15

Wafu Waweza Kudhuru Walio Hai? 10/15

Walithawabishwa kwa Kutembea Bila Lawama (Zekaria, Elisabeti), 7/15

‘Wao Waijua Sauti Yake,’ 7/15

Wapendwa Wako Waliokufa—Utawaona Tena? 6/15

William Whiston—Mzushi au Msomi Mwenye Kufuatia Haki? 3/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Bahamas, 3/15

Ethiopia, 8/15

“Hofu ya Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya, 2/15

Imani Yenye Moyo Mkuu ya Ndugu Zetu Warwanda, 11/1

Jamhuri ya Ufilipino, 1/15

Kidhehebu au Wahudumu wa Mungu? 2/15

Kolombia, 7/15

Kusaidia Waamini Katika Bosnia, 11/1

Kutazama “Nyumba ya Mungu” kwa Uthamini (Betheli), 6/15

“Kuvua Samaki” Katika Maji ya Fiji, 6/15

Kwa Nini Mashahidi Huendelea Kutembelea Watu? 8/15

Malawi, 5/15

Mapainia Hutoa na Kupokea Baraka, 1/15

Mashahidi wa Yehova Wamenilinda!” 5/15

Mashariki Ikutanapo na Magharibi, 1/1

‘Matendo Yake Yamfuata’ (G. Gangas), 12/1

Mpaka wa Mwisho wa Alaska, 4/15

Msiba Katika Rwanda, 12/15

Nigeria, 9/15

“Nimeshika Imani” (B. Inconditi), 7/1

Poland, 11/15

Sambamba kwa Muda wa Miaka Kumi! 4/1

Thailand, 5/15

“Ufundishaji wa Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya, 1/15, 7/1, 8/15

Uhitimu wa Gileadi, 6/1, 12/1

Vijana ‘Wanaotumainia Yehova,’ 1/1

Wakimbizi Wanaofurahi Kumtumikia Mungu (Jamhuri ya Afrika ya Kati), 10/15

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

Kutumikia Katika Tengenezo Lenye Kuendelea Zaidi (R. Hatzfeld), 8/1

Maisha Yenye Baraka Tele na Yenye Kuthawabisha Katika Utumishi wa Yehova (L. Kallio), 4/1

‘Mkono wa Yehova’ Maishani Mwangu (L. Thompson), 3/1

Mwenye Furaha Katika Udugu wa Kweli wa Ulimwenguni Pote (W. Davis), 9/1

Nchi Isiyozaa Yawa na Rutuba (A. Melin), 10/1

Nilipata Hazina Yenye Thamani Bora Zaidi (F. Widdowson), 1/1

Nilitegemezwa na Mungu Asiyeweza Kusema Uwongo (M. Willis), 5/1

Njia ya Maisha Yenye Kusudi (M. Wieland), 12/1

Tumeutafuta Ufalme Kwanza (O. Springate), 2/1

Walituwekea Sisi Kielelezo (C. Zanker), 6/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Askari-jeshi wa Sauli waliokula nyama pamoja na damu, 4/15

‘Dhambi ikiotea mlangoni’ (Mwa 4:7), 2/1

Kutangaza kufilisika, 9/15

Hawa, na Baadaye Adamu Walikula Tofaa? 10/15

“Mvulana asiye na baba,” laonyesha kutowafikiria wasichana? 1/15

Ni sawa kukubali albumini kutoka kwa damu? 10/1

Tarehe za “nyakati tatu na nusu” (Ufu 11:3), 8/1

Yesu “mzizi” wa Yese na Daudi, 8/15

WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI

1/1, 2/1, 3/1, 4/1, 5/1, 6/1, 8/1, 9/1, 10/1

YEHOVA

Kujifunza Kutokana na Mfunzi Wetu Mtukufu, 9/15

Michoro Yenye Maana ya Pekee, 8/15

JESU KRISTO

“Bwana”—Jinsi Gani na Wakati Gani? 6/1

Sali kwa Yesu? 12/15

Yesu Alikuwa na Imani Katika Mungu? 10/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki