Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1994
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana
BIBLIA
Biblia ya Kigothi, 5/15
Ilikusudiwa Kueleweka, 10/1
Kitabu Kinachofaa Kusomwa, 5/15
Thamani Yayo Hasa, 10/1
‘Ukurasa Mmoja Waweza Kupenya Giza Kama Nyota,’ 5/15
Unaithamini Biblia? 5/15
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Chanzo cha Moyo Mkuu wa Daima, 9/15
Funzo la Kibinafsi, 6/15
Heshimu Wengine Utoapo Shauri, 2/1
Jihadhari na Majivuno, 9/1
Jitenge Mbali Hatari Itishapo, 2/15
Kodi, 11/15
Kuazimia Kumtumikia Yehova! 4/15
Kudumisha Upatano Kati ya Wazee na Watumishi wa Huduma, 8/15
Kukabiliana na Tatizo la Kutamani Nyumbani, 5/15
Kumsaidia Mtoto Wako Amchague Yehova, 10/1
Kuonyesha Upendo wa Kikristo kwa Wazee-Wazee, 8/1
Kutoa Pongezi—Uhitaji wa Msingi wa Binadamu, 12/1
Kwa Nini Uwe Mwenye Kusamehe? 9/15
Kweli Ni Wizi? 4/15
Maktaba ya Kitheokrasi, 11/1
Mtihani wa Afya, 12/15
Saburi, 5/15
Thamini Utumishi Wako Mtakatifu, 9/1
Unafanya Mapenzi ya Mungu? 3/1
Ushindani Ndio Ufunguo wa Kufanikiwa? 3/1
Vizuizi Hukuvunja Moyo? 9/1
Wewe Husuluhishaje Matatizo? 7/15
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Ayubu Alivumilia—Hata Sisi Twaweza! 11/15
Daraka Huandamana na Kuijua Dini ya Kweli, 6/1
Fanya Fundisho Lenye Afya Liwe Njia Yako ya Maisha, 6/15
Fanya Ndoa Yako Iwe Muungano Wenye Kudumu, 7/15
Fanyia Jina la Yehova Tangazo la Peupe, 9/15
Furahia Manufaa za Ufundishaji wa Kimungu, 2/1
Hukumu ya Yehova Dhidi ya Wafundishaji Bandia, 3/1
“Jifanyieni Rafiki kwa Mali ya Udhalimu,” 12/1
Jitahidi Kwa Ajili Ya Wokovu wa Nyumba Yako, 7/15
Kuchunga Kundi la Mungu kwa Upendo, 10/1
Kunyenyekea Mamlaka kwa Shangwe, 7/1
Kushindana na Mshiko wa Dhambi juu ya Mwili Wenye Dhambi, 6/15
Kutoa Ushahidi kwa “Mataifa Yote,” 8/15
Mahali Pafaapo pa Ibada ya Yehova Maishani Mwetu, 12/1
Maoni ya Mkristo Kuhusu Mamlaka, 7/1
Matunda—Mazuri na Mabaya, 3/1
Mnara wa Mlinzi na Amkeni!—Majarida ya Wakati Ufaao Yenye Kweli, 1/1
Mtumaini Yehova Atimize Kusudi Lake, 3/15
Mtwikeni Yehova Hangaiko Lenu Lote, 11/15
Mwe Wenye Huruma Nyororo, 11/1
Mwimbie Yehova Sifa, 5/1
Ni Lazima Habari Njema Ihubiriwe Kwanza, 8/15
“Ni Nini Itakayokuwa Ishara ya Kuwapo Kwako?” 2/15
Pata Kimbilio Katika Yehova, 1/1
Sababu Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hufuliza Kulinda, 5/1
Shangilieni Katika Yehova! 9/1
Sitawisha Sifa ya Kukubali Sababu, 8/1
Tembea Kama Ufundishwavyo na Mungu, 4/15
Thawabu ya Ayubu—Chanzo cha Tumaini, 11/15
“Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?” 2/15
Tujapofanywa kwa Mavumbi, Songa Mbele! 9/1
Ufundishaji wa Kimungu Dhidi ya Mafundisho ya Mashetani, 4/1
Ufundishaji wa Kimungu Hushinda, 2/1
Ufundishaji Wenye Kusaidia Kwa Ajili Ya Nyakati Zetu Zenye Hatari, 4/15
Ugomvi wa Yehova na Mataifa, 3/1
Umeipata Dini ya Kweli? 6/1
Unajilisha Katika Meza Ipi? 7/1
Unakinza Roho ya Ulimwengu? 4/1
Vijana—Mnatii Mafundisho ya Nani? 5/15
Wachungaji na Kondoo Katika Theokrasi, 1/15
Wafundisha Kama Alivyofanya Yesu? 10/15
Wameungana Katika Kifungo Kikamilifu cha Upendo, 12/15
Wapiga-Mbiu ya Ufalme Walio Watendaji Duniani Pote, 5/1
Watumishi wa Mungu—Watu Waliopangwa Kitengenezo na Wenye Furaha, 10/1
Watwaeni Kama Kiolezo Manabii wa Mungu, 9/15
Wazazi, Watoto Wenu Wahitaji Uangalifu wa Pekee, 5/15
Wewe Husamehe Kama Afanyavyo Yehova? 10/15
Yehova Atawala—Kupitia Theokrasi, 1/15
Yehova Aweza Kukufanya Uwe Mwenye Nguvu, 12/15
Yehova—Baba Yetu Mwenye Huruma Nyororo, 11/1
Yehova—Mungu wa Kusudi, 3/15
Yehova Ni Mwenye Kukubali Sababu! 8/1
MAMBO MENGINE
Abrahamu—Kazikwa Hapa, na Bado yu Hai? 6/15
Alipewa Neema na Yehova (Mariamu), 11/15
Alitimiza Tamaa ya Moyo Wake (Simeoni), 3/15
Baraza la Dini za Ulimwengu, 2/1
Dini Inatosheleza Mahitaji Yako? 5/1
Fundisho la Kuchukuliwa Mbinguni, 2/15
Hakuwa Mzee Mno Asimtumikie Yehova (Ana), 5/15
Hofu Imeshika Ulimwengu, 7/15
Jitihada ya Kutafuta Dini ya Kweli, 6/1
Kaburi la Petro—Liko Vatikani? 10/15
Kalenda ya Kiyahudi, 7/15
Kanisa Lililogawanyika—Laweza Kudumu? 7/1
‘Kataa Hadithi Zisizo za Kweli,’ 4/1
Krismasi—Kweli Ni ya Kikristo? 12/15
Kufumbua Macho Ili Kuona Habari Njema, 8/15
Kukataa Kuwapo kwa Mungu, 12/1
“Lisha Kinywa, Si Miguu” (Desturi za mazishi za Kiafrika), 3/15
Mageuzi Yajaribiwa, 9/1
Masimulizi ya Matukio ya Yosefu Yenye Kuvutia, 3/15
Mateseko ya Binadamu—Mbona Mungu Anayaruhusu, 11/1
Mlo wa Jioni wa Bwana—Ufanywe Mara Nyingi Kadiri Gani? 3/15
Msiba Katika Rwanda, 12/15
Mtihani wa Afya, 12/15
Mtu Aweza Kuwaje Katika Mfano wa Mungu? 4/1
Mwongozo Wenye Kutumainika, 4/15
Ni Nini Kimepata Mamlaka? 7/1
Roho Waovu, 2/1
Sayansi, Dini, na Jitihada ya Kutafuta Kweli, 9/1
Sherehe za Siku ya Kuzaliwa, 7/15
Tisho la Nyukilia, 8/1
Tumaini kwa Vipofu, 8/15
Ulimwengu Bora Zaidi—Ni Ndoto Tu? 4/1
Upweke, 9/15
Vidhehebu—Hivyo Ni Nini? 2/15
Vita Vitaisha Wakati Wowote? 1/15
Wafu Wako Wapi? 11/15
Wafu Wanaweza Kutuona? 11/15
Wafu Waweza Kudhuru Walio Hai? 10/15
Walithawabishwa kwa Kutembea Bila Lawama (Zekaria, Elisabeti), 7/15
‘Wao Waijua Sauti Yake,’ 7/15
Wapendwa Wako Waliokufa—Utawaona Tena? 6/15
William Whiston—Mzushi au Msomi Mwenye Kufuatia Haki? 3/15
MASHAHIDI WA YEHOVA
Bahamas, 3/15
Ethiopia, 8/15
“Hofu ya Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya, 2/15
Imani Yenye Moyo Mkuu ya Ndugu Zetu Warwanda, 11/1
Jamhuri ya Ufilipino, 1/15
Kidhehebu au Wahudumu wa Mungu? 2/15
Kolombia, 7/15
Kusaidia Waamini Katika Bosnia, 11/1
Kutazama “Nyumba ya Mungu” kwa Uthamini (Betheli), 6/15
“Kuvua Samaki” Katika Maji ya Fiji, 6/15
Kwa Nini Mashahidi Huendelea Kutembelea Watu? 8/15
Malawi, 5/15
Mapainia Hutoa na Kupokea Baraka, 1/15
Mashahidi wa Yehova Wamenilinda!” 5/15
Mashariki Ikutanapo na Magharibi, 1/1
‘Matendo Yake Yamfuata’ (G. Gangas), 12/1
Mpaka wa Mwisho wa Alaska, 4/15
Msiba Katika Rwanda, 12/15
Nigeria, 9/15
“Nimeshika Imani” (B. Inconditi), 7/1
Poland, 11/15
Sambamba kwa Muda wa Miaka Kumi! 4/1
Thailand, 5/15
“Ufundishaji wa Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya, 1/15, 7/1, 8/15
Uhitimu wa Gileadi, 6/1, 12/1
Vijana ‘Wanaotumainia Yehova,’ 1/1
Wakimbizi Wanaofurahi Kumtumikia Mungu (Jamhuri ya Afrika ya Kati), 10/15
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Kutumikia Katika Tengenezo Lenye Kuendelea Zaidi (R. Hatzfeld), 8/1
Maisha Yenye Baraka Tele na Yenye Kuthawabisha Katika Utumishi wa Yehova (L. Kallio), 4/1
‘Mkono wa Yehova’ Maishani Mwangu (L. Thompson), 3/1
Mwenye Furaha Katika Udugu wa Kweli wa Ulimwenguni Pote (W. Davis), 9/1
Nchi Isiyozaa Yawa na Rutuba (A. Melin), 10/1
Nilipata Hazina Yenye Thamani Bora Zaidi (F. Widdowson), 1/1
Nilitegemezwa na Mungu Asiyeweza Kusema Uwongo (M. Willis), 5/1
Njia ya Maisha Yenye Kusudi (M. Wieland), 12/1
Tumeutafuta Ufalme Kwanza (O. Springate), 2/1
Walituwekea Sisi Kielelezo (C. Zanker), 6/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Askari-jeshi wa Sauli waliokula nyama pamoja na damu, 4/15
‘Dhambi ikiotea mlangoni’ (Mwa 4:7), 2/1
Kutangaza kufilisika, 9/15
Hawa, na Baadaye Adamu Walikula Tofaa? 10/15
“Mvulana asiye na baba,” laonyesha kutowafikiria wasichana? 1/15
Ni sawa kukubali albumini kutoka kwa damu? 10/1
Tarehe za “nyakati tatu na nusu” (Ufu 11:3), 8/1
Yesu “mzizi” wa Yese na Daudi, 8/15
WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI
1/1, 2/1, 3/1, 4/1, 5/1, 6/1, 8/1, 9/1, 10/1
YEHOVA
Kujifunza Kutokana na Mfunzi Wetu Mtukufu, 9/15
Michoro Yenye Maana ya Pekee, 8/15
JESU KRISTO
“Bwana”—Jinsi Gani na Wakati Gani? 6/1
Sali kwa Yesu? 12/15
Yesu Alikuwa na Imani Katika Mungu? 10/15