Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w98 12/15 uku. 31
  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1998

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1998
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1998
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • WALIFANYA MAPENZI YA YEHOVA
  • WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1998
w98 12/15 uku. 31

Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1998

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana

BIBLIA

Biblia Mpya Katika Kigiriki cha Kisasa, 9/1

“Biblia ya Kidole Kimoja,” 3/15

Je, Waweza Kuiamini Biblia? 10/15

Msomi Aipa Hati ya Biblia Tarehe Mpya, 12/15

“Tafsiri Bora Zaidi Ipatikanayo ya Agano Jipya Yenye Tafsiri

Katikati ya Mistari,” 2/1

Tafsiri ya Biblia Iliyoubadili Ulimwengu (Septuagint), 9/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Desturi za Mazishi, 7/15

Ni Kusifu au Ni Kurai? 2/1

Jihadhari na Usimoni! 11/15

Kuchukua Daraka la Utunzaji wa Familia, 6/1

Kujifunza Kutokana na Makosa ya Wakati Uliopita, 7/1

Kupanga Kimbele kwa Ajili ya Wapendwa, 1/15

Kuthamini Mapendeleo ya Utumishi Mtakatifu, 8/1

Mahari, 9/15

‘Moyo Mtiifu,’ 7/15

Nimwombe Ndugu Yangu Mkopo? 11/15

Shukrani, 2/15

Stahi Adhama Yao, 4/1

Tanguliza Mambo Yanayopasa Kutangulizwa! 9/1

Tatueni Matatizo kwa Amani, 11/1

Tumia Maisha Yako kwa Njia Ifaayo Kabisa, 8/15

Ufundi wa Ushawishi, 5/15

Utamaduni wa Wenyeji na Kanuni za Kikristo, 10/1

Unathamini Baraka za Yehova? 1/1

Walinde Watoto Wako, 7/15

Waweza Kufanya Maendeleo ya Kiroho, 5/15

Wazazi—Walindeni Salama Watoto Wenu! 2/15

Zidi Kufanya Maendeleo ya Kiroho! 10/1

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Baraka Kubwa Zaidi Kupitia Agano Jipya, 2/1

‘Endeleeni Kutembea Katika Muungano na Kristo,’ 6/1

‘Fanyeni Pigano Kali kwa Ajili ya Imani’! 6/1

Fulizeni Kufanyiza Wokovu Wenu Wenyewe! 11/1

Fulizeni Kutembea na Mungu, 1/15

Hii Ndiyo Siku ya Wokovu! 12/15

Hukumu Yatekelezwa Katika Bonde la Kukata Maneno, 5/1

Iigeni Rehema ya Yehova, 10/1

Imani na Wakati Ujao Wako, 4/15

Imani ya Kikristo Itajaribiwa, 5/15

Imani Yako Katika Ufufuo Ni Yenye Nguvu Kadiri Gani? 7/1

Je, Kazi Yako Itastahimili Moto? 11/1

Je, Umeingia Ndani ya Pumziko la Mungu? 7/15

Je, Wewe Hutambua kwa Shukrani Tengenezo la Yehova? 6/15

Je, ‘Wewe Walikuza Yerusalemu Zaidi ya Furaha Yako Iliyo Kuu’? 10/15

‘Je Moyo Wako Umenyoka Pamoja na Moyo Wangu?’ 1/1

Jihadhari na Ukosefu wa Imani, 7/15

Kaa Karibu na Theokrasi, 9/1

Kaa Salama Ukiwa Sehemu ya Tengenezo la Mungu, 9/1

Karibuni Uhuru Mtukufu kwa Ajili ya Watoto wa Mungu, 2/15

“Kifo Kitafanywa Kuwa Si Kitu,” 7/1

Kitabu Kutoka kwa Mungu, 4/1

Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, 4/1

Kondoo Wengine na Agano Jipya, 2/1

Kuishi Kulingana na Wakfu wa Kikristo Katika Uhuru, 3/15

Kuliimarisha Tumaini Letu Katika Uadilifu wa Mungu, 8/15

Kungoja kwa “Taraja Lenye Hamu,” 9/15

‘Kutembea kwa Imani, Si kwa Kuona,’ 1/15

Kutembea Pamoja na Mungu—Hatua za Mwanzo-Mwanzo, 11/15

Kutembea Pamoja na Mungu—Tukifikiria Umilele, 11/15

Kutetea Imani Yetu, 12/1

Kuthamini Makusanyiko ya Kikristo, 3/1

Misherehekeo ya Matukio Muhimu Katika Historia ya Israeli, 3/1

Mwige Yehova—Dhihirisha Haki na Uadilifu, 8/1

Ni Nani ‘Atakayeponyoka’? 5/1

Nyakati na Majira Mikononi mwa Yehova, 9/15

Siku ya Yehova Iko Karibu, 5/1

Tengenezo la Yehova Hutegemeza Huduma Yako, 6/15

Ubora wa Imani Yako—Wajaribiwa Sasa, 5/15

Usife Moyo Katika Shindano la Mbio la Kupata Uhai! 1/1

Wachukiwa kwa Sababu ya Imani Yao, 12/1

“Wafu Watafufuliwa,” 7/1

Wakfu na Uhuru wa Kuchagua, 3/15

Wokovu Hutoka kwa Yehova, 12/15

“Yehova, Mungu Mwenye Rehema na Neema,” 10/1

Yehova Apaswa Kuwa Tumaini Letu, 8/15

Yehova—Chanzo cha Haki na Uadilifu wa Kweli, 8/1

Yehova Huleta Wana Wengi Kwenye Utukufu, 2/15

Yehova Hutimiza Ahadi Zake kwa Waaminifu, 4/15

Yehova Ni Mungu wa Maagano, 2/1

Yerusalemu—“Jiji la Yule Mfalme Mkubwa,” 10/15

Yerusalemu Lililo Kama Vile Jina Lake Limaanishavyo, 10/15

MAMBO MENGINE

Barnaba—Yule “Mwana wa Faraja,” 4/15

Betheli—Jiji la Wema na Ubaya, 9/1

Dario, 11/15

Dini Zinaomba Msamaha, 3/1

Dunia—Kwa Nini Iko Hapa? 6/15

Eunike na Loisi, 5/15

Familia—Hatarini, 4/1

‘Fanyeni Wanafunzi Kutoka kwa Watu wa Mataifa Yote,’ 1/1

Filemoni na Onesimo, 1/15

Haki kwa Wote, 8/1

Haki ya Kweli—Lini na Jinsi Gani? 6/15

Hawakujifanyia Jina Maarufu, 3/15

Je, Dunia Itaangamizwa Kabisa? 6/15

Je, Krismasi Imempoteza Kristo? 12/15

Je, Makasisi Wote Huamini Wanayofundisha? 10/15

Je, Mali Zaweza Kukufanya Uwe Mwenye Furaha? 5/15

Je, Maria Alikufa Kutokana na Sababu za Kiasili? 8/1

Je, Tutahitaji Majeshi Sikuzote? 4/15

Je, Wakati Ujao Umeandikwa Kimbele? 4/15

Je, Waweza Kuamini Dhamiri Yako? 9/1

Je, Wewe Ni Mwenye Kutazamia Mema au Mabaya? 2/1

Jihadhari na Wadhihaki! 6/1

Kipawa—Sifa kwa Mwanadamu au Utukufu kwa Mungu? 2/15

Konstantino Mkubwa, 3/15

Kumwabudu Mungu Katika Kweli, 10/1

Kweli Hugeuza Maisha, 1/1

“Kweli Itawaweka Nyinyi Huru,” 10/1

Majambazi Wenye Silaha Washambuliapo, 12/15

Mbona Watu Wanaiacha Dini? 7/1

Mtawala Mwenye Kiburi (Belshaza), 9/15

Namna Malaika Wanavyoweza Kukusaidia, 11/15

Ngoja kwa Subira, 6/1

Ni Nani Aliyezibuni Zote Hizi? 5/1

Soko Lililokuwa Kitovu cha Athene la Kale, 7/15

Talmud, 5/15

Tatizo la Tumaini, 8/15

Tikiko, 7/15

Tito, 11/15

Uko Macho Kuelekea Nyakati Zetu? 9/15

Ukosefu wa Haki Ni Jambo Lisiloepukika? 8/1

Wahuguenoti, 8/15

Wamakabayo, 11/15

Watu ‘Wenye Hisia Kama Zetu,’ 3/1

Waweza Kutofautisha Lililo Jema na Lililo Baya? 9/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Arusi ya Pekee Sana (Msumbiji), 6/15

Biblia Mpya Katika Kigiriki cha Kisasa, 9/1

Ghorofa Ndefu za Jiji Hadi Nyika ya Tundra (Kanada), 4/15

Kazi Ambayo “Haiwezi Kushindwa Kutokeza Staha” (Italia), 8/15

‘Kielelezo cha Muungano na Udugu,’ 7/15

Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote Broshua, 4/1

Kuhitimu kwa Gileadi, 6/1, 12/1

Kuishi na Kuhubiri Karibu na Volkeno (Mexico), 8/15

Kulinda Kisheria Habari Njema, 12/1

Kuwafikia Wengi Hata Zaidi na Habari Njema, 2/15

Madaktari, Mahakimu, na Mashahidi wa Yehova, 3/1

Mioyo Migumu Ianzapo Kuitikia (Poland), 10/15

“Mungu Hupenda Mpaji Mchangamfu” (michango), 11/1

“Njia ya Mungu ya Maisha” Mikusanyiko, 2/15, 6/1

“Shikilieni Sana Mlicho Nacho” (Ugiriki), 9/1

Tukio Lisiloweza Kusahaulika Katika Ufaransa, 7/1

Uamuzi wa Kuchagua (Japani), 12/15

Ukristo Ukitenda—Katikati ya Msukosuko, 1/15

Viziwi Wamsifu Yehova (mikusanyiko ya viziwi), 2/15

Watumwa wa Wanadamu au Watumishi wa Mungu? 3/15

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

Badiliko la Mgawo Nikiwa na Umri wa Miaka 80 (G. Matthews), 5/1

‘Fadhili-Upendo Zako Ni Njema Kuliko Uhai’ (C. H. Holmes), 2/1

Hakuna Kitu Kilicho Bora Kuliko Kweli (G. N. Van der Bijl), 1/1

Kuacha Ibada ya Maliki na Kuanza Ibada ya Kweli (I. Sugiura), 12/1

Kumpendeza Yehova Ndilo Hangaiko Langu Kuu (T. Neros), 11/1

Kutegemezwa Katika Majaribu Makali Mno (É. Josefsson), 6/1

Maisha Yangu Nikiwa Mkoma (I. Adagbona), 4/1

Nilijifunza Kumtegemea Yehova (J. Korpa-Ondo), 9/1

Nilipata Kitu Bora Kuliko Utajiri (C. Mylton), 10/1

‘Tumefanya Lile Tulilopaswa Kufanya’ (G. Couch), 8/1

Wenye Shukrani kwa Sababu ya Urithi wa Kikristo (G. Gooch), 3/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Kusherehekea siku za ukumbusho wa arusi, siku za kuzaliwa, 10/15

Kushindwa kwa mitume kumponya mvulana (Mt 17:20; Mr 9:29), 8/1

Luka 13:24, 6/15

WALIFANYA MAPENZI YA YEHOVA

Eliya Amkweza Mungu wa Kweli, 1/1

Msamaria Athibitika Kuwa Jirani Mwema, 7/1

Paulo Atoa Ushahidi kwa Ujasiri, 9/1

Uaminifu-Maadili wa Ayubu Wathawabishwa, 5/1

Yesu Alitumia Wakati Pamoja na Watoto, 11/1

Yesu Awatuma Wanafunzi 70, 3/1

WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI

2/1, 3/1, 4/1, 6/1, 7/1, 8/1, 10/1, 11/1

YEHOVA

Je, Ni Halisi Kwako? 9/15

Yehova Ni Nani? 5/1

YESU KRISTO

Kuzaliwa, 12/15

Msingi wa Imani ya Kweli, 12/1

Mtawala ‘Ambaye Asili Yake Imekuwa Tangu Zamani za Kale,’ 6/15

Siku za Mwisho Duniani, 3/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki