Yaliyomo
Aprili 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Mei (Mwezi wa 5) 31–Juni (Mwezi wa 6) 6
Vijana—Imarisheni Tamaa Yenu ya Kumtumikia Yehova
UKURASA WA 3
Juni 7-13
Jinsi Yehova Anavyotumia Roho Takatifu Kutimiza Kusudi Lake
UKURASA WA 7
Juni 14-20
Usiruhusu Macho Yako Yaone Mambo Yasiyofaa!
UKURASA WA 20
Juni 21-27
Je, Unamfuata Kristo kwa Ukamili?
UKURASA WA 24
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 3-7
Yehova anawaalika vijana wasikilize, wajifunze, na kufuata mwongozo wake. Makala hii inazungumzia jinsi ambavyo kusoma Biblia, kusali, na kuwa na mwenendo mzuri kunaweza kuwasaidia vijana wamwabudu Yehova kwa moyo wote.
MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-11
Tunajua kwamba hakuna jambo linaloweza kuzuia kusudi la Yehova lisitimizwe kikamili. Makala hii inachunguza jinsi Yehova alivyotumia roho takatifu wakati uliopita, jinsi anavyoitumia leo, na jinsi atakavyoitumia wakati ujao kutimiza kusudi lake.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 20-24
Ulimwengu wa Shetani unapokaribia mwisho wake, kuna picha na habari nyingi sana ambazo zinaweza kuharibu uhusiano wetu pamoja na Mungu. Katika habari hii, tutazungumzia mambo fulani ambayo Shetani anatumia, kwa nini anayatumia, na jinsi tunavyoweza kujilinda.
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 24-28
Ni nini kitakachotusaidia kuendelea kumtumikia Mungu kwa bidii? Ni lazima tujilinde kutokana na mwelekeo gani wa kibinadamu ikiwa tunataka kuendelea kumfuata Kristo? Habari hii itazungumzia majibu ya maswali hayo ya maana.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Je, Unaacha Yehova Akuulize Maswali? 13
Kuvumilia Majaribu Kulitusaidia Kumtegemea Yehova Zaidi 16
Yehova Anataka Uwe “Salama Salimini” 29