Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w10 4/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
w10 4/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Aprili 15, 2010

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Mei (Mwezi wa 5) 31–Juni (Mwezi wa 6) 6

Vijana—Imarisheni Tamaa Yenu ya Kumtumikia Yehova

UKURASA WA 3

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 89, 41

Juni 7-13

Jinsi Yehova Anavyotumia Roho Takatifu Kutimiza Kusudi Lake

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 116, 19

Juni 14-20

Usiruhusu Macho Yako Yaone Mambo Yasiyofaa!

UKURASA WA 20

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 61, 52

Juni 21-27

Je, Unamfuata Kristo kwa Ukamili?

UKURASA WA 24

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 54, 17

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 3-7

Yehova anawaalika vijana wasikilize, wajifunze, na kufuata mwongozo wake. Makala hii inazungumzia jinsi ambavyo kusoma Biblia, kusali, na kuwa na mwenendo mzuri kunaweza kuwasaidia vijana wamwabudu Yehova kwa moyo wote.

MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-11

Tunajua kwamba hakuna jambo linaloweza kuzuia kusudi la Yehova lisitimizwe kikamili. Makala hii inachunguza jinsi Yehova alivyotumia roho takatifu wakati uliopita, jinsi anavyoitumia leo, na jinsi atakavyoitumia wakati ujao kutimiza kusudi lake.

MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 20-24

Ulimwengu wa Shetani unapokaribia mwisho wake, kuna picha na habari nyingi sana ambazo zinaweza kuharibu uhusiano wetu pamoja na Mungu. Katika habari hii, tutazungumzia mambo fulani ambayo Shetani anatumia, kwa nini anayatumia, na jinsi tunavyoweza kujilinda.

MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 24-28

Ni nini kitakachotusaidia kuendelea kumtumikia Mungu kwa bidii? Ni lazima tujilinde kutokana na mwelekeo gani wa kibinadamu ikiwa tunataka kuendelea kumfuata Kristo? Habari hii itazungumzia majibu ya maswali hayo ya maana.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Je, Unakumbuka? 12

Je, Unaacha Yehova Akuulize Maswali? 13

Kuvumilia Majaribu Kulitusaidia Kumtegemea Yehova Zaidi 16

Yehova Anataka Uwe “Salama Salimini” 29

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki