Yaliyomo
Julai 15, 2011
Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Agosti (Mwezi wa 8) 29–Septemba (Mwezi wa 9) 4, 2011
Je, Utafuata Mwongozo wa Yehova Wenye Upendo?
UKURASA WA 10
Septemba 5-11, 2011
Je, Utatii Maonyo Yaliyo Wazi Kutoka kwa Yehova?
UKURASA WA 15
Septemba 12-18, 2011
UKURASA WA 24
Septemba 19-25, 2011
Je, Umeingia Katika Pumziko la Mungu?
UKURASA WA 28
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 10-19
Kwa kuwa Yehova anatupenda anatupatia mwongozo tunaohitaji ili tuishi milele. Pia, anatuonya kuhusu hatari ambazo zinaweza kufanya tusimtii. Katika habari au makala hizi mbili, tutazungumzia hatari sita na jinsi tunavyoweza kuziepuka.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 24-32
Biblia inasema kwamba baada ya kuumba wanadamu, Yehova ‘alipumzika’ siku ya saba. (Ebr. 4:4) Habari au makala ya tatu itaeleza ni kwa nini Mungu alipumzika katika siku ya saba na kwa nini siku yake ya pumziko ni ya maana kwetu. Makala ya nne itazungumzia jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba sisi binafsi tumeingia katika pumziko la Yehova.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Mnara wa Mlinzi Katika Kiingereza Rahisi
4 Ushindi wa Kisheria Baada ya Kupambana kwa Muda Mrefu!
20 Niliogopa Kifo—Sasa Ninangoja ‘Uzima kwa Wingi’