Yaliyomo
Februari 15, 2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO
APRILI 2-8, 2012
Iga Mfano Ambao Yesu Aliweka Katika Kukesha
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 108, 74
APRILI 9-15, 2012
“Uwe Hodari na Mwenye Nguvu Sana”
UKURASA WA 10 • NYIMBO: 101, 92
APRILI 16-22, 2012
UKURASA WA 18 • NYIMBO: 20, 75
APRILI 23-29, 2012
Unaweza Kupata Furaha Katika Familia Iliyogawanyika
UKURASA WA 26 • NYIMBO: 76, 56
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 3-7
Kwa nini Yesu aliwahimiza wafuasi wake waendelee kukesha? Makala hii inazungumzia njia tatu ambazo Kristo alionyesha kwamba anakesha alipokuwa hapa duniani, na jinsi tunavyoweza kuiga mfano wake maishani.
MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 10-14
Kwa nini tunaweza kufaidika kwa kuchunguza jinsi watumishi wa Yehova katika nyakati za Biblia walivyoonyesha uhodari? Swali hilo litazungumziwa katika makala hii iliyokusudiwa kutusaidia kutenda kwa uhodari.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 18-22
Kila mmoja wetu anaonyesha roho au mtazamo fulani. Makala hii inazungumzia jinsi tunavyoweza kusaidia kulinda roho nzuri katika kutaniko.
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 26-30
Wakristo katika nyumba iliyogawanyika kidini wanakabili matatizo kila siku. Makala hii inazungumzia jinsi waamini wanavyoweza kusitawisha amani katika familia na kudumisha hali ambazo zinaweza kuwasaidia washiriki wa familia wasioamini kuikubali ibada ya kweli.
PIA KATIKA TOLEO HILI
8 Walitangaza Neno la Mungu kwa Uhodari!
15 Wivu—Sifa Mbaya Inayoweza Kutia Sumu Akili Zetu
23 Nathani—Mteteaji Mshikamanifu wa Ibada Safi
31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale
JALADA: Katika kituo cha magari-moshi huko New Delhi, India. Magari-moshi zaidi ya 300 yanafika katika kituo hiki kila siku, ndugu huwahubiria wasafiri wanaotoka na kwenda sehemu zote nchini
INDIA
IDADI YA WATU
1,224,614,000
WAHUBIRI
33,182
ONGEZEKO LA WAHUBIRI
Asilimia 5