Yaliyomo
Agosti 15, 2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
Toleo La Funzo
MAKALA ZA FUNZO
SEPTEMBA 24-30, 2012
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 65, 2
OKTOBA 1-7, 2012
Jiendesheni Kama Raia wa Ufalme!
UKURASA WA 11 • NYIMBO: 16, 98
OKTOBA 8-14, 2012
Jihadhari na Mitego ya Ibilisi!
UKURASA WA 20 • NYIMBO: 61, 25
OKTOBA 15-21, 2012
Simama Imara na Uepuke Mitego ya Shetani!
UKURASA WA 25 • NYIMBO: 32, 83
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 3-7
Unabii wa Danieli ulitabiri kwamba “ujuzi wa kweli” utakuwa mwingi “wakati wa mwisho.” (Dan. 12:4) Makala hii inaeleza jinsi ambavyo unabii huo umetimizwa kwa njia ya pekee. Inataja pia mambo yanayothibitisha kwamba Yesu yupo pamoja na wale wanaomtumikia Yehova Mungu.
MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 11-15
Jifunze kuhusu wale ambao kwa kweli ni raia wa Ufalme. Makala hii inazungumzia matakwa wanayopaswa kutimiza. Pia, inaeleza jinsi wanavyoonyesha kwamba wanavipenda viwango vya Yehova.
MAKALA YA 3, 4 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 20-29
Mara nyingi Shetani anatumia mitego ambayo imefichwa kwa njia ya werevu ili kujaribu kuiharibu imani yetu. Makala hizi zinazungumzia jinsi tunavyoweza kujilinda wenyewe dhidi ya mitego mitano ya Shetani: usemi usiodhibitiwa, woga na msongo wa watu, kujihisi kuwa na hatia kupita kiasi, kupenda vitu vya kimwili, na kishawishi cha kufanya uzinzi.
PIA KATIKA TOLEO HILI
8 “Kuna Thawabu kwa Ajili ya Kazi Yenu”
16 Mkutano Uliokazia Umoja na Kuzungumzia Mipango Yenye Kusisimua
31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale
JALADA: Mhubiri wa Ufalme anamhubiria mchungaji katika jimbo la Bafatá huko Guinea-Bissau
GUINEA-BISSAU
IDADI YA WATU
1,515,000
WAHUBIRI
120
MAFUNZO YA BIBLIA
389