Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w12 8/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 8/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Agosti 15, 2012

© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

Toleo La Funzo

MAKALA ZA FUNZO

SEPTEMBA 24-30, 2012

“Mimi Nipo Pamoja Nanyi”

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 65, 2

OKTOBA 1-7, 2012

Jiendesheni Kama Raia wa Ufalme!

UKURASA WA 11 • NYIMBO: 16, 98

OKTOBA 8-14, 2012

Jihadhari na Mitego ya Ibilisi!

UKURASA WA 20 • NYIMBO: 61, 25

OKTOBA 15-21, 2012

Simama Imara na Uepuke Mitego ya Shetani!

UKURASA WA 25 • NYIMBO: 32, 83

KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO

MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 3-7

Unabii wa Danieli ulitabiri kwamba “ujuzi wa kweli” utakuwa mwingi “wakati wa mwisho.” (Dan. 12:4) Makala hii inaeleza jinsi ambavyo unabii huo umetimizwa kwa njia ya pekee. Inataja pia mambo yanayothibitisha kwamba Yesu yupo pamoja na wale wanaomtumikia Yehova Mungu.

MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 11-15

Jifunze kuhusu wale ambao kwa kweli ni raia wa Ufalme. Makala hii inazungumzia matakwa wanayopaswa kutimiza. Pia, inaeleza jinsi wanavyoonyesha kwamba wanavipenda viwango vya Yehova.

MAKALA YA 3, 4 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 20-29

Mara nyingi Shetani anatumia mitego ambayo imefichwa kwa njia ya werevu ili kujaribu kuiharibu imani yetu. Makala hizi zinazungumzia jinsi tunavyoweza kujilinda wenyewe dhidi ya mitego mitano ya Shetani: usemi usiodhibitiwa, woga na msongo wa watu, kujihisi kuwa na hatia kupita kiasi, kupenda vitu vya kimwili, na kishawishi cha kufanya uzinzi.

PIA KATIKA TOLEO HILI

8 “Kuna Thawabu kwa Ajili ya Kazi Yenu”

16 Mkutano Uliokazia Umoja na Kuzungumzia Mipango Yenye Kusisimua

30 Je, Unakumbuka?

31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale

JALADA: Mhubiri wa Ufalme anamhubiria mchungaji katika jimbo la Bafatá huko Guinea-Bissau

GUINEA-BISSAU

IDADI YA WATU

1,515,000

WAHUBIRI

120

MAFUNZO YA BIBLIA

389

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki