Yaliyomo
Juni 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
AGOSTI 4-10, 2014
“Lazima Umpende Yehova Mungu Wako”
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 3, 65
AGOSTI 11-17, 2014
“Mpende Jirani Yako Kama Wewe Mwenyewe”
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 84, 72
AGOSTI 18-24, 2014
Je, Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Udhaifu wa Kibinadamu?
UKURASA WA 23 • NYIMBO: 77, 79
AGOSTI 25-31, 2014
Wasaidie Wengine Kufanya Yote Wawezayo
UKURASA WA 28 • NYIMBO: 42, 124
MAKALA ZA FUNZO
▪ “Lazima Umpende Yehova Mungu Wako”
▪ “Mpende Jirani Yako Kama Wewe Mwenyewe”
Makala hizi zinazungumzia zile amri mbili zilizo kuu za Sheria zilizotajwa na Yesu Kristo. Jifunze alichomaanisha Yesu aliposema kwamba tunapaswa kumpenda Yehova kwa moyo, nafsi, na akili yetu yote. Ona mambo tunayopaswa kufanya ili kuonyesha kwamba tunampenda jirani yetu kama tunavyojipenda wenyewe.
▪ Je, Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Udhaifu wa Kibinadamu?
▪ Wasaidie Wengine Kufanya Yote Wawezayo
Tunawezaje kuwasaidia wale wanaopambana na hisia za udhaifu? Jambo hilo linazungumziwa katika makala hizi. Zinaonyesha pia jinsi tunavyoweza kuwasaidia vijana au ndugu waliobatizwa hivi karibuni kufanya yote wanayoweza.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 “Lainisha Mapito ya Mguu Wako” Ili Ufanye Maendeleo
JALADA: Wavuvi wanaozungumza lugha ya Kimbukushu wanahubiriwa habari njema kwenye kingo za Mto Okavango huko Botswana
BOTSWANA
IDADI YA WATU
2,021,000
WAHUBIRI
2,096
MAKUTANIKO
47
HUDHURIO LA UKUMBUSHO MWAKA WA 2013
5,735