Yaliyomo
Oktoba 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
MAKALA ZA FUNZO
DESEMBA 1-7
Uwe na Imani Isiyotikisika Katika Ufalme
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 108, 129
DESEMBA 8-14
UKURASA WA 13 • NYIMBO: 98, 102
DESEMBA 15-21
Thamini Pendeleo Lako la Kufanya Kazi na Yehova!
UKURASA WA 23 • NYIMBO: 120, 44
DESEMBA 22-28
“Endeleeni Kukaza Akili Zenu juu ya Mambo Yaliyo Juu”
UKURASA WA 28 • NYIMBO: 70, 57
MAKALA ZA FUNZO
▪ Uwe na Imani Isiyotikisika Katika Ufalme
▪ Mtakuwa “Ufalme wa Makuhani”
Ufalme wa Kimasihi ndio njia anayotumia Yehova kutimiza kusudi lake kuelekea dunia na wanadamu. Tunapozungumzia jinsi maagano kadhaa yanayotajwa katika Biblia yanavyohusiana na serikali hiyo ya mbinguni, angalia sababu zinazotufanya tuwe na imani isiyotikisika katika Ufalme huo.
▪ Thamini Pendeleo Lako la Kufanya Kazi na Yehova!
Makala hii itazungumzia mifano ya watumishi wa Yehova katika nyakati za zamani na leo. Itatusaidia kuthamini sana pendeleo tulilo nalo la kufanya kazi na Mungu wetu, jambo tunalopaswa kuthamini kwelikweli.
▪ “Endeleeni Kukaza Akili Zenu juu ya Mambo Yaliyo Juu”
Katika siku hizi za mwisho, imani yetu inajaribiwa kwa njia nyingi. Tunajifunza nini kutokana na wanaume waaminifu wa kale kama vile Abrahamu na Musa waliokabili majaribu kama hayo? Funzo hili litatusaidia kuvumilia kwa kututia moyo tuendelee kumkazia akili Yehova Mungu na Ufalme wake.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari Nchini Taiwan
18 Matukio Muhimu Katika Maisha Yangu Nikiwa Mhubiri wa Ufalme
JALADA: Karibu na milima ya Mbololo kusini-mashariki mwa Kenya, dada wawili wanawahubiria wapita-njia katika barabara kuu ya mji mdogo wa Tausa, Wilaya ya Taita
KENYA
IDADI YA WATU
44,250,000
WAHUBIRI
26,060
MAFUNZO YA BIBLIA
43,034
HUDHURIO LA UKUMBUSHO LA 2013
60,166