Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w14 10/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 10/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Oktoba 15, 2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

MAKALA ZA FUNZO

DESEMBA 1-7

Uwe na Imani Isiyotikisika Katika Ufalme

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 108, 129

DESEMBA 8-14

Mtakuwa “Ufalme wa Makuhani”

UKURASA WA 13 • NYIMBO: 98, 102

DESEMBA 15-21

Thamini Pendeleo Lako la Kufanya Kazi na Yehova!

UKURASA WA 23 • NYIMBO: 120, 44

DESEMBA 22-28

“Endeleeni Kukaza Akili Zenu juu ya Mambo Yaliyo Juu”

UKURASA WA 28 • NYIMBO: 70, 57

MAKALA ZA FUNZO

▪ Uwe na Imani Isiyotikisika Katika Ufalme

▪ Mtakuwa “Ufalme wa Makuhani”

Ufalme wa Kimasihi ndio njia anayotumia Yehova kutimiza kusudi lake kuelekea dunia na wanadamu. Tunapozungumzia jinsi maagano kadhaa yanayotajwa katika Biblia yanavyohusiana na serikali hiyo ya mbinguni, angalia sababu zinazotufanya tuwe na imani isiyotikisika katika Ufalme huo.

▪ Thamini Pendeleo Lako la Kufanya Kazi na Yehova!

Makala hii itazungumzia mifano ya watumishi wa Yehova katika nyakati za zamani na leo. Itatusaidia kuthamini sana pendeleo tulilo nalo la kufanya kazi na Mungu wetu, jambo tunalopaswa kuthamini kwelikweli.

▪ “Endeleeni Kukaza Akili Zenu juu ya Mambo Yaliyo Juu”

Katika siku hizi za mwisho, imani yetu inajaribiwa kwa njia nyingi. Tunajifunza nini kutokana na wanaume waaminifu wa kale kama vile Abrahamu na Musa waliokabili majaribu kama hayo? Funzo hili litatusaidia kuvumilia kwa kututia moyo tuendelee kumkazia akili Yehova Mungu na Ufalme wake.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari Nchini Taiwan

18 Matukio Muhimu Katika Maisha Yangu Nikiwa Mhubiri wa Ufalme

JALADA: Karibu na milima ya Mbololo kusini-mashariki mwa Kenya, dada wawili wanawahubiria wapita-njia katika barabara kuu ya mji mdogo wa Tausa, Wilaya ya Taita

KENYA

IDADI YA WATU

44,250,000

WAHUBIRI

26,060

MAFUNZO YA BIBLIA

43,034

HUDHURIO LA UKUMBUSHO LA 2013

60,166

[Grafu katika ukurasa wa 2]
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki