Utangulizi
UNA MAONI GANI?
Je, malaika ni viumbe halisi? Biblia inasema hivi:
“Msifuni Bwana, enyi malaika wake wote, mlio na nguvu nyingi, mnaotimiza amri zake, mnaposikia sauti ya neno lake.”—Zaburi 103:20, Verbum Bible.
Gazeti hili la Mnara wa Mlinzi linazungumzia mambo ambayo Biblia inasema kuhusu malaika na jinsi wanavyohusika katika maisha yetu.