Mikutano ya Utumishi wa Shambani
AGOSTI 7-13
Unatoaje broshua kwa
1. Mwanamume?
2. Mwanamke?
3. Kijana?
AGOSTI 14-20
Ikiwa toleo la fasihi linakataliwa, tunaweza
1. Kutoaje trakti?
2. Kuzushaje swali kwa ajili ya ziara ya kurudia?
AGOSTI 21-27
Tunapohubiri
1. Tunaweza kujifunzaje kutoka mmoja na mwenzake?
2. Tunaweza kuwasaidiaje wapya wajieleze wenyewe?
3. Wazazi wanaweza kuwazoezaje watoto?
AGOSTI 28-SEPTEMBA 3
Kwa nini urudie
1. Mahali ulipoangusha broshua?
2. Mahali ambapo hakukuwa na mtu nyumbani?
3. Mtu ambaye kwa kweli alikuwa na shughuli?