Mikutano ya Utumishi wa Shambani
MACHI 5-11
Kutoa kitabu God’s Word
1. Utatangulizaje Kichwa cha Mazungumzo? (Pitieni “Kutangaza Habari Njema” katika Huduma ya Ufalme Yetu ya Februari 1990.)
2. Utarejeza kwenye mambo gani hususa?
MACHI 12-18
Kuzuru tena tulikoangusha
1. Utajitangulizaje?
2. Utaongea juu ya nini?
3. Utadokezaje funzo la Biblia?
MACHI 19-25
Chakula cha Jioni cha Bwana
1. Kwa nini uanze kuongea juu ya sherehe ya Ukumbusho sasa?
2. Utawaalikaje walioanza kupendezwa karibuni?
3. Kwa nini ueleze yatakayotukia?
MACHI 26—Aprili 1
1. Kwa nini tunapaswa kuendelea kusema habari njema bila kuacha?
2. Tunaweza kudumishaje mtazamo unaofaa?
3. Kwa nini tutoe andikisho la Mnara wa Mlinzi?