Habari Za Kitheokrasi
Ethiopia: Mkusanyiko wa wilaya mkubwa na wa kwanza kabisa kupata kufanywa ulikuwa katika stediamu kuu ya Addis Ababa kukiwa na 7,573 waliohudhuria na 328 waliobatizwa.
Greenland: Vituo vingi vidogo-vidogo vya mbali vilitembelewa wakati wa mwezi wa Oktoba, na vichapo vingi vikaangushwa. Wahubiri wa makundi mawili yaliyo mbali kaskazini mwa nchi hiyo waliripoti wastani wa zaidi ya saa 22 katika utumishi mwezi huo.
Rwanda: Mkusanyiko wa wilaya mkubwa na wa kwanza kabisa kupata kufanywa ulikuwa katika Kigali kukiwa na kilele cha waliohudhuria 2,709 na 75 wakabatizwa.
Tuvalu: Katika Oktoba, kulikuwa na ongezeko la asilimia 27 katika wahubiri, kukiwa na 62 wenye kuripoti utumishi wa shambani.