Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 3/01 uku. 2
  • Ratiba ya Mkutano wa Utumishi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Mkutano wa Utumishi
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2001
  • Vichwa vidogo
  • Juma Linaloanza Machi 12
  • Juma Linaloanza Machi 19
  • Juma Linaloanza Machi 26
  • Juma Linaloanza Aprili 2
Huduma Yetu ya Ufalme—2001
km 3/01 uku. 2

Ratiba ya Mkutano wa Utumishi

Juma Linaloanza Machi 12

Wimbo 112

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Matangazo yaliyoteuliwa kutoka katika Huduma Yetu ya Ufalme.

Dak. 15: Habari za Kitheokrasi na Kikumbusha. Ishughulikiwe na mwandishi. Tia moyo akina ndugu wasipuuze uhitaji wa kutegemeza kazi ya ulimwenguni pote. Soma na kuzungumzia kikumbusha juu ya michango.

Dak. 20: “Aprili—Wakati wa ‘Kufanya Kazi kwa Bidii na Kujikakamua Wenyewe.’” (Fungu la 1-13) Ishughulikiwe na mwangalizi-msimamizi. Mazungumzo yenye uchangamfu kuhusu yale tunayotaka kutimiza mwezi wa Aprili. Tia moyo kila mtu katika kutaniko lenu afanye sehemu yake ili kufikia mradi wa wahubiri wote kushiriki katika huduma mwezi huo.

Wimbo 147 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Machi 19

Wimbo 166

Dak. 8: Matangazo ya kwenu. Ripoti ya hesabu.

Dak. 17: Mahitaji ya kwenu.

Dak. 20: “Aprili—Wakati wa ‘Kufanya Kazi kwa Bidii na Kujikakamua Wenyewe.’” (Fungu la 14-30) Ishughulikiwe na mwangalizi wa utumishi. Hotuba yenye sehemu zilizoteuliwa za maswali na majibu. Kila mmoja apaswa kupanga ratiba ifaayo ya kushiriki kadiri iwezekanavyo katika huduma mwezi wa Aprili. Eleza ratiba nzima ya mikutano ya utumishi wa shambani iliyopangwa mwezi huo. Tia moyo wote wawezao kuwa mapainia-wasaidizi wachukue fomu ya ombi baada ya mkutano.

Wimbo 188 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Machi 26

Wimbo 204

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Eleza kwamba bado kuna fursa ya kuleta fomu ya ombi la kuwa painia-msaidizi katika mwezi wa Aprili. Tia moyo wote wasome sehemu ya usomaji wa Biblia kwa ajili ya Ukumbusho iliyoratibiwa kwa juma la Aprili 3-8, kama ionyeshwavyo katika kijitabu Kuyachunguza Maandiko Kila Siku—2001. Tangaza siku ambayo Funzo la Mnara wa Mlinzi litafanywa juma hilo la Ukumbusho. Usisahau hotuba ya pekee Jumapili, Aprili 1, yenye kichwa “Ni Nani Awezaye Kuokolewa?” Tia moyo kila mtu ashiriki katika huduma siku hiyo, kwa njia hiyo awe na mwanzo mzuri wa mwezi wa Aprili.

Dak. 20: “Acheni Sote Tumheshimu Yehova na Mwana Wake.” Hotuba ya Kimaandiko yenye kuchochea na itolewe na mzee. Tia moyo kila mtu ashiriki awezavyo katika utendaji wa pekee uliopangiwa Aprili na ajitahidi sana kualika watu kwenye Ukumbusho.

Dak. 15: Kutayarisha Utoaji Wetu Mbalimbali wa Magazeti. Tutatoa magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni! katika mwezi wa Aprili. Zungumzia ukurasa wa 8, fungu la 3 na la 10, katika Huduma Yetu ya Ufalme ya Oktoba 1996. Kazia (1) makala moja, (2) wazo lifaalo kuzungumziwa, (3) swali lenye kuamsha kupendezwa, na (4) andiko lifaalo liwezalo kutumiwa katika utoaji wa kila gazeti la karibuni. Jitahidi kutumia broshua Anataka au kitabu Ujuzi kuanzisha mafunzo ya Biblia na watu wanaopendezwa. Malizia kwa wonyesho uliotayarishwa vizuri wa jinsi hilo linavyoweza kufanywa katika ziara ya kwanza.

Wimbo 207 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Aprili 2

Wimbo 220

Dak. 9: Matangazo ya kwenu. Wakumbushe wahubiri watoe ripoti zao za utumishi wa shambani za Machi. Zungumzieni “Vikumbusha vya Ukumbusho.”

Dak. 18: “Upendo Hutuchochea Kuhubiri.”a Kazia maandiko yaliyo katika makala hiyo. Tia ndani mawazo yanayopatikana katika Buku la 2 la Insight, ukurasa wa 673, fungu la 1. Alika mhubiri ambaye amekuwa mtendaji kwa miaka mingi asimulie jinsi ambavyo kumpenda Mungu humchochea adumu katika kazi ya kuhubiri. Sihi wahubiri wote wahubiri mwezi wa Aprili na kila mwezi baada ya hapo.

Dak. 18: “Saidia Wengine Wahudhurie Mikutano.”b Nyongeza ya Huduma Yetu ya Ufalme ya Juni 1996, fungu la 14-16, hutoa madokezo ya ziada ya jinsi ya kuelekeza wanafunzi wa Biblia kwenye tengenezo. Onyesha jinsi broshua Anataka (somo la 5, fungu la 7) na kitabu Ujuzi (sura ya 5, fungu la 22) vinavyoweza kutumiwa mapema kutia moyo mwanafunzi ahudhurie mikutano. Ili kutoa mfano wa jambo hili, toa wonyesho uliotayarishwa vizuri wa mhubiri mwenye uwezo akimtia moyo kwa uchangamfu mwanafunzi afikirie kwa uzito juu ya kwenda mikutanoni.

Wimbo 47 na sala ya kumalizia.

[Maelezo ya Chini]

a Toa maelezo ya utangulizi yasiyozidi dakika moja, kisha mazungumzo ya maswali na majibu.

b Toa maelezo ya utangulizi yasiyozidi dakika moja, kisha mazungumzo ya maswali na majibu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki