Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 2
JUMA LINALOANZA MACHI 2
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 1 ¶10-18, sanduku kwenye uku. 13
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 36-39
Na. 1: Mwanzo 39:1-6
Na. 2: Wengine Wana Mamlaka Kuliko Sisi (lr sura ya 8)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Ndio Suluhisho Pekee kwa Mahitaji Halisi ya Wanadamu (rs uku. 267 ¶3–uku. 268 ¶1)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kutangaza Jina la Mungu. Hotuba yenye kusisimua itolewe ikitegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 273-274.
Dak. 10: Kujibu Maswali Kuhusu Kutiwa Damu Mishipani. Hotuba na mazungumzo pamoja na wasikilizaji yakitegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 46-48. Mwalike painia aonyeshe jinsi anavyoweza kutumia kitabu Kutoa Sababu kujibu swali la mwenye nyumba kuhusu kutiwa damu.
Dak. 10: Toleo la Mwezi wa Machi. Eleza kifupi yaliyomo katika kitabu kinachotolewa. Waombe wasikilizaji wataje swali na andiko ambalo wanapanga kutumia wanapokitoa. Panga onyesho moja au mawili ya jinsi ya kutoa kitabu hicho.