Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 6
JUMA LINALOANZA JULAI 6
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 7 ¶1-9, masanduku kwenye uku. 76, 78
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 17-20
Na. 1: Mambo ya Walawi 19:1-18
Na. 2: Je, Sisi Sote Tulikuwa Katika Makao ya Kiroho Kabla Hatujazaliwa Tukiwa Wanadamu? (rs uku. 197 ¶3–uku. 198 ¶3)
Na. 3: Usiwe Mwizi Kamwe! (lr sura ya 24)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 5: Mhoji mzee mmoja au wawili wa kutaniko, au watumishi wa huduma. Ni nini lililowachochea wafanye maendeleo ili kufanya kazi njema? (1 Tim. 3:1-9) Wengine waliwasaidia na kuwatia moyo jinsi gani? Wamepata baraka gani?
Dak. 25: “Je, Uko Tayari kwa Ajili ya Karamu ya Kiroho?” Sehemu hii ishughulikiwe na mwandishi wa kutaniko. Taja kusanyiko ambalo kutaniko limegawiwa kuhudhuria. Pitia sanduku “Vikumbusho vya Kusanyiko la Wilaya.” Wakati wa kuzungumzia fungu la 7, tumia muda mfupi kupitia barua na broshua Mavazi na Mapambo kwa Wanaotembelea Betheli au kitabu Tengenezo, ukurasa wa 138, fungu la 2, na ukurasa wa 139, fungu la 1.