Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 3
JUMA LINALOANZA AGOSTI 3
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 4-6
Na. 1: Hesabu 4:1-16
Na. 2: Jinsi ya Kujua Yule Tunayepaswa Kumtii (lr sura ya 28)
Na. 3: Je, Ni Lazima Mtu Aende Mbinguni Ndipo Awe na Maisha Yenye Furaha Kweli Kweli? (rs uku. 199 ¶1-3)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Wahoji wahubiri wawili au watatu ambao wametumika katika eneo lenye uhitaji mkubwa au eneo lisilohubiriwa kwa ukawaida. Walikuwa na mahangaiko gani, na waliyashughulikiaje? Yehova alibariki jitihada zao jinsi gani? Waombe waeleze au waigize kifupi jambo moja au mawili yaliyoonwa ambayo walifurahia katika huduma.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Mtegemee Yehova Akusaidie Kusitawisha Ustadi wa Kufundisha. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 56, fungu la 1 hadi ukurasa wa 57, fungu la 2.